fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Huu ni ukweli ulio wazi kwa Tanzania hakuna kampuni ya usafirishaji abiria itakayoweza kuzidi ubora wa huduma zilizokuwa zikitolewa na Scandinavian Express.
Kuanzia safety,reliability,comfort na coverage hawa jamaa walijipanga vizuri sana
1.Huwezi kukuta basi zao zimetaga njiani (kuharibika) na ikitokea hivyo kuna backup buses za haraka
2.Sikumbuki kama zilikuwa zinapata ajali hovyo
3.Mwendo safi sio wa kunyata wala sio mkali
4.Wanazingatia sana muda ukiambiwa saa nane basi la mwisho kwenda Iringa kama bado upo mbali na Kamata (zilipokuwa ofisi zao) jipange kukodi taxi ya kuanza kufukuzia
5.Hata kama basi lina abiria wawili linaenda Mwanza litaondoka na abiria hao wawili
6.Hazisimami hovyo njiani mfano basi la kwenda Iringa likiiinuka Kamata litapita Ubungo Terminal likitoka hapo ni mpaka Maili moja. Likitoka Maili moja ni mpaka Chalinze kisha Morogoro .
7.Madereva na kondakta wapo smart kimavazi.Nguo zimenyooshwa vizuri kabisa
8.Walikuwa wanafika Tanzania nzima kwa kuanzia Dar na nchi zote za Afrika Mashariki
Kwa sasa hakuna kampuni ya usafirishaji abiria iliyo na uwezo kuzidi huduma za kampuni hiyo
Kuanzia safety,reliability,comfort na coverage hawa jamaa walijipanga vizuri sana
1.Huwezi kukuta basi zao zimetaga njiani (kuharibika) na ikitokea hivyo kuna backup buses za haraka
2.Sikumbuki kama zilikuwa zinapata ajali hovyo
3.Mwendo safi sio wa kunyata wala sio mkali
4.Wanazingatia sana muda ukiambiwa saa nane basi la mwisho kwenda Iringa kama bado upo mbali na Kamata (zilipokuwa ofisi zao) jipange kukodi taxi ya kuanza kufukuzia
5.Hata kama basi lina abiria wawili linaenda Mwanza litaondoka na abiria hao wawili
6.Hazisimami hovyo njiani mfano basi la kwenda Iringa likiiinuka Kamata litapita Ubungo Terminal likitoka hapo ni mpaka Maili moja. Likitoka Maili moja ni mpaka Chalinze kisha Morogoro .
7.Madereva na kondakta wapo smart kimavazi.Nguo zimenyooshwa vizuri kabisa
8.Walikuwa wanafika Tanzania nzima kwa kuanzia Dar na nchi zote za Afrika Mashariki
Kwa sasa hakuna kampuni ya usafirishaji abiria iliyo na uwezo kuzidi huduma za kampuni hiyo