Mbona China,Korea na Wahindi wana miungu yao ya asili?
Lakini sio masikini km Haiti?
aiseehh!!Unlike hayo mataifa uliyoyataja, Haiti wali declare public kuwa nchi yao ni ya voodoo ambao ni ushetani wa kiwango cha juu
aiseehh!!
duuhh!!!
wamevurugwa hao!
Ina maaana wao wanaabudu mashetani!Ndicho kinacho ws cost
Nilichokuja kugundua kua Rais wa USA ni pambo tu....kuna real people wako behind wanarun U.S.
Nasikia kuna wayahudi wenye nguvu ndo "wanaimiliki" nchi ile. Ndo mana kila mtia nia ya urais America ni traditionally afanye mazungumzo na PM wa Israel.
Kuna mengi hatuyajui na hatutakuja kuyajua.
Sijaongelea kumuunga mkono mtu...Siyo kweli, benyamin netanyau alimuunga mkono mitty romney kwenye uchaguzi uliopita na bado alipigwa chini
Haiti ni moja kati ya mataifa yaliyojikabidhi kwa shetani kikamilifu. Kwa mtindo huo usitarajie Mungu kuwa upande wao. Mungu anasema yeye ni Mungu mwenye wivu.... Ndo maana majanga hayaishi huko nchini mwao. Mara tetemeko mara kimbunga , kipindupindu nacho kinawamalizaga ukiachilia mbali ukimwi ambao upo kwa kiwango kikubwa.
Siyo kweli, benyamin netanyau alimuunga mkono mitty romney kwenye uchaguzi uliopita na bado alipigwa chini
Haitians originally ni watumwa hivyo ni watu ambao hawapo civilised kwa kiwango kikubwa sana na juu ya hilo their present settlements ni maeneo ambayo whites walijua before kuwa ni maeneo yenye natural calamities za kutosha kama Matetemeko, Floods na mengineyo hivyo siyo salama kwa ajili ya human settlements.
Ndio maana Nchi ya Haiti ipo katikati ya Nchi za watu weupe lakini Haiti ni weusi tu, waliachiwa Ardhi yote hiyo baada ya biashara ya utumwa kukoma wakijua ni unproductive na ina matatizo mengi.
Namlizia kwa kusema matatizo yote yanayotokea Haiti ni ya Kihistoria.
Sijaongelea kumuunga mkono mtu...
naongelea kua kila mtia nia ya urais ama rais lazima akubaliwe ama "afanye mazungumzo" na Wayahudi, huko kushinda ama kutoshinda ni mambo mengine..ila wagombea lazima "wapitishwe" na wayahudi
View attachment 419153
Naona unataka kuleta stori za kefa na mtui hapaSiyo kweli, ingia kwenye forum zote za usa hicho unachosema hata hakina nguvu kubwa hivyo
Ni aina flani ya wapumbavu walioko jf sikuona maana ya kureply uzi uzi mzima kama alivyofanya
Ina maaana wao wanaabudu mashetani!