Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Nasema kweli hata kama watu wachukie na wanune. Kile kilikuwa ni chama kilichojua kila mikakati ya kisiasa. Iwe ni propaganda au ishu ya ukweli.
Chama kile hakikuwa na ukabila wala ukanda, kilijaa kila kabila na wasomi kedekede.Alikuwemo Mabere Marando, Marehemu Dk Sengondo Mvungi(Rip),Masumbuko Lamwai na wengine wengi.
Uchaguzi wa 1995 walitetemesha na kutingisha nchi mpaka Mwl JKN akaingilia kati kuinusuru CCM. Ikabidi asimame majukwaani ili kuiokoa CCM.
Nilikuwa Mwanza watu walisukuma gari iliyombeba L. Mrema toka uwanja wa Nyamagana mpaka iko hotel Capripoint iliyokuwa inamilikiwa na Cosmas Chenyenge.
Leo hii Chadema imejaa matapeli na wahuni tu. CCM haitikiswi wala kutishwa. Chadema wamejaa watu hata propaganda tu hawawezi.
Bora sisi wakulima tusio na vyama tukae kimya,tusubiri matokeo.
Chama kile hakikuwa na ukabila wala ukanda, kilijaa kila kabila na wasomi kedekede.Alikuwemo Mabere Marando, Marehemu Dk Sengondo Mvungi(Rip),Masumbuko Lamwai na wengine wengi.
Uchaguzi wa 1995 walitetemesha na kutingisha nchi mpaka Mwl JKN akaingilia kati kuinusuru CCM. Ikabidi asimame majukwaani ili kuiokoa CCM.
Nilikuwa Mwanza watu walisukuma gari iliyombeba L. Mrema toka uwanja wa Nyamagana mpaka iko hotel Capripoint iliyokuwa inamilikiwa na Cosmas Chenyenge.
Leo hii Chadema imejaa matapeli na wahuni tu. CCM haitikiswi wala kutishwa. Chadema wamejaa watu hata propaganda tu hawawezi.
Bora sisi wakulima tusio na vyama tukae kimya,tusubiri matokeo.