Haipendezi serikali kuiba kura

Haipendezi serikali kuiba kura

Mkiiba kura msiende kwenye nyumba za Ibada ni kufuru.
 
Mkiuwa watu na kuwateka kisa uchaguzi msifungue mikutano ya matukio ya kitaifa kwa sala na maombi ni kufuru.
 
Ile sala ya kuliombea bunge na taifa ya bunge la tulia akson lililoingia bungeni kupitia uchaguzi wa magufuli 2020 ni kufuru mbele ya Mungu
 
Wasiibe kura halafu maisha yao yataendaje? Umeshawahi kupanda V8 VXR wewe!!!
 
Sala ya kuliombea bunge lililoingia kwa udanganyifu mauwaji na utekaji ni kufuru mbele ya Mungu.
 
Inashusha heshima ya serikali kuiba kura au kufumbia wizi wa kura serikali ni chombo kitakatifu hakipaswi kufanya hayo.
NAFIKIRI UJUMBE UMEFIKA KWA VIONGOZI WA SERIKALI WENYE AKILI, UKISIKIA WATU WAKIANZA KUDHARAU VIONGOZI, KAMA YULE MKUU WA MKOA FULANI ALIYEISEMA YANGA, NI mambo ya hivi Sheria za HOVYO zinatungwa ili kuhalalisha wizi WA KURA, bdae wanaona Mali za umma
 
Usiogope neno serikali, humo wamo wajinga na wahuni wengi tu mkuu!.
Na ndio wameshika hatamu
 
Back
Top Bottom