Haijapata kutokea, licha ya majigambo ya ukusanyaji ni 34% tu ya fedha za maendeleo ndo zimepatikana

Nina imani kubwa na serikali hii lakini kwa hoja yako mashaka yanaanza kuongezeka kwenye maigizo na uhalisia!
Hata mimi napata mashaka sana ukiangalia kwa kina nchi imeporomoka sema wanaangalia namna ya kutuchota akili huku wakijaribu kunusuru situation, lakini tatizo ni tatizo linazidi na kuzidi
 
Nimesikia redioni asubuhi (sijui ni Dr. Bana) akisifia na kusema kuwa haijawahi kutokea popote duniani predictions zikawa sawa na reality. Napenda tu kumkumbusha kuwa prediction nzuri haipungui 95% ambayo ni sawa na ikifika 90% basi ni worst, sasa ukisema 35% basi kama unajiita dokta inabidi uachie hata waganga wa kienyeji wajaribu!
Huyo njaa Kali,forecast nzuri ni ile isiyozidi 10%,atakuwa kasomea ujinga
 
PAMOJA NA KUWAKAMUA WATU HADI WAMEKUWA MASIKINI KUMBE NI ASILIMIA 34 TU NDO ZIMEKWENDA KWENYE MAENDELEO
 
Tutafika tu hakuna sababu ya kukatishana tamaa.Nyie mnaobeza ebu takwimu za budget za maendeleo za miaka 5 nyuma na % zilizopatikana.
Issue sio kufika au kuhesabu miaka, issue ya msingi ni je tunafikaje? Huwezi kufika ndugu kwa kutekeleza bajeti kwa asilimia 2 katika sekta inayochuka watanzania 80%!!! This is a big joke.
 
Hahahahaha dikteta uchwara chaliiii! Bajeti ya 29 trilioni pesa zilizotolewa ni 35%! Yuko busy kutoa vitisho kukejeli Watanzania kusema uongo na usanii usiokwisha! Tanzania ya viwonder!

Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango, kati ya Tsh.11.3 Trilioni zilizopangwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2016 -2017, mpaka sasa zimetolewa Tshs. Trilioni 3.9 tu ambazo ni sawa na asilimia 34 (34%) ya utekelezaji wa bajeti nzima. Hiyo ina maana, bajeti ya Maendeleo ya mwaka fedha uliopita, IMEFELI kwa asilimia 66. View attachment 488306
 
...hiyo bajeti inayopendekezwa, kama kuna mwenye data za exchange rate mwaka jana zidisha na dollar kwa sasa alafu tuone kama kuna tofauti! Nahisi ni kitu kilekile.

Nimesikia redioni asubuhi (sijui ni Dr. Bana) akisifia na kusema kuwa haijawahi kutokea popote duniani predictions zikawa sawa na reality. Napenda tu kumkumbusha kuwa prediction nzuri haipungui 95% ambayo ni sawa na ikifika 90% basi ni worst, sasa ukisema 35% basi kama unajiita dokta inabidi uachie hata waganga wa kienyeji wajaribu!
Huyo msaka tonge, mpuuze
 
Yale makusanyo haikua na maana kua hela zilizokua zinakusanywa pekee zingetosha kukidhi budget kwa asilimia Mia fahamu kwamba budget yetu kwa sehemu pia inategemea misaada na mikopo kutoka nje Kumbuka pia kwamba fungu la maendeleo limeongezwa kutoka 26% hadi 40% hata hivyo ebu ulinganifu na budget iliyopita unawezakuta Budget hii wamejitahidi zaidi.
 
HapaKaziT2
 

Attachments

  • IMG_20170411_081133.jpg
    IMG_20170411_081133.jpg
    27.4 KB · Views: 41
Mtu empty tin kwenye mambo ya uchumi anaenda kuwapa wizara watu wasiojiweza kabisa halafu eti pay master Dotto motto wa dada yake ha ha watanzania mutalimia meno kama alivyokuwa akijadai he has proven to be a failure sasa ameamua kuwaa watu wanaompinga au kuchalange
 
Naamini sasa kuwa pato letu linatumika tu kwenye kampeni kukimbizana na wapinzani na kuandaa majukwaa ta gharama kubwa. Mbona majigambo ya to. 1.3
 
Lipumba tufanyie analysis basi sio unahangangaika na Maalim Seif tu na taaluma yako umeiweka pembeni..
Prop wa uchumi kama Lipumba eti katika hili yuko kimya na wala humsikii akifanya analysis ila yuko anapambana na CUF..
CCM mna dhambi sana yaani jamaa limesoma kiasi hicho halafu mnaenda kuliblackmail kirahisi kabisa..
 
Back
Top Bottom