Haijapata kutokea, licha ya majigambo ya ukusanyaji ni 34% tu ya fedha za maendeleo ndo zimepatikana

Reucherau

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
756
1,740
Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango, kati ya Tsh.11.3 Trilioni zilizopangwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2016 -2017, mpaka sasa zimetolewa Tshs. Trilioni 3.9 tu ambazo ni sawa na asilimia 34 (34%) ya utekelezaji wa bajeti nzima. Hiyo ina maana, bajeti ya Maendeleo ya mwaka fedha uliopita, IMEFELI kwa asilimia 66.
20170329_041806.jpg
 
Watt nadir wanatakiwa kuelewa chi inaenda ku collapse...sifa sia tu kununua midege ya bombardier mara boeing huku haikuwa budgeted sasa hayo ndio madhara yake...na bado budget ya mwaka huu ndio watajuta maana misaada imekatwa vibaya sana....
 
...hiyo bajeti inayopendekezwa, kama kuna mwenye data za exchange rate mwaka jana zidisha na dollar kwa sasa alafu tuone kama kuna tofauti! Nahisi ni kitu kilekile.

Nimesikia redioni asubuhi (sijui ni Dr. Bana) akisifia na kusema kuwa haijawahi kutokea popote duniani predictions zikawa sawa na reality. Napenda tu kumkumbusha kuwa prediction nzuri haipungui 95% ambayo ni sawa na ikifika 90% basi ni worst, sasa ukisema 35% basi kama unajiita dokta inabidi uachie hata waganga wa kienyeji wajaribu!
 
Back
Top Bottom