hapa pagumu mkuu.Hata mimi sigusi.atajibu Mzee mwenyewe.
Ongezeko la vibaka na machangudoa ni matokeo ya kukosa malezi kwa watoto hasa baada ya baba zao kuwakimbia huo ni mzigo mkubwa kwa taifa; kichwa sio kigumu bali ni tutusa afadhali kiazi
Chama
Gongo la mboto DSM
Huu ni muda wa operesheni kamata majangiri wa ruzuku, muache Ritz anakikao cha dharura na Mh Tendwa kwa ufafanuzi wa kisheria zaidi.Kama una ushahidi wa meno ya tembo peleka ofisi ndogo lumumba kwa hatua zaidi na ufuate utaratibu.
Hivi kweli utambuzi wa huu ujinga anaofanya mfanyabiashara wa Kimataifa unahitaji kua na Degree ili ujue anachosema ni upumbavu?Tunafahamu katika kusafirisha mizigo hususani ya Kimataifa lazima mwenye mzigo ajaze maelezo yanayomhusu ikiwepo jina kamili na anuani yake ili ikitokea mzigo umepotea kampuni ya insurance iweze kumlipa,sasa iweje huyu jamaa asafirishe kontena zima bila kua na details kama hizi?na kama alijaza kinashindikana nini kuwakamata?Hebu acheni kuona wote ni mapompompo kama nyie.Hata ambaye ni gumbaro hapo anaelewa kinachoendelea ni utapeli tu.Uchunguzi gani mnafanya kama sio tena kuanza kulipana hela za wavuja jasho kama posho zenu!Enough is enough jamani...Tumechoka na huu utapeli wenu CCMHivi Kinana anatuona Watanzania wote ni Ngumbaru kama wanachama wa CCM? Si rahisi kwa kampuni ya usafirishaji wa mizigo kusafirisha mzigo wasioujua;
kwanza ni kwa nia ya kuuthaminisha ili waweze kutoza gharama halisi kutokana na thamani wa kile wanachokisafirisha, pia katika karne hii ya Ugaidi wa kutisha duniani, ni lazima kukagua kile unachokisafirisha ili kisije kikawa ni silaha za kigaidi am[SIZE=4]bazo kama[SIZE=4] zi[SIZE=4]takama[SIZE=4]twa na Mataifa kama Mare[SIZE=4]kani, kitakuti[SIZE=4]a ma[SIZE=4]tatizoni mmiliki wa kam[SIZE=4]puni inayotumika kusafirishia[SIZE=4] huo mzigo.
Leo hii huyu jamaa ana[SIZE=4]kuja na Ngo[SIZE=4]njera ambazo ni wenye akili finyu tu ndio wanaoweza kuziamini eti hakujua anachokisafirisha! K[SIZE=4]wa hiyo kuna siku atakuta ana[SIZE=4]safirisha hat[SIZE=4]a [SIZE=4]viungo vya Albino[SIZE=4]! Huu si Uzembe wa bahati mbaya, [SIZE=4]jamaa ni lipiga dili sana la meno ya ndovu.
Eti [SIZE=4]jana nilimsikia yule kamanda wa polisi Ra[SIZE=4]dio [SIZE=4]One akidai kwamba polisi wanachunguza mw[SIZE=4]enye ule mzigo[SIZE=4], wakati wanayo kampuni iliyousafirisha [SIZE=4]ambayo inamjua [SIZE=4]waliy[SIZE=4]efanya naye bi[SIZE=4]ashara ya ku[SIZE=4]m[SIZE=4]safirishia mzigo wake huo! K[SIZE=4]weli nchi hii[SIZE=4], Wonde[SIZE=4]rs shall never end[SIZE=4]![/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4]
[/SIZE][/SIZE][/SIZE]
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4]Hii ndi[SIZE=4]yo serikali ya chama cha akina Nape Jeetu Patel ba[SIZE=4]na![/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]
Hivi Kinana anatuona Watanzania wote ni Ngumbaru kama wanachama wa CCM? Si rahisi kwa kampuni ya usafirishaji wa mizigo kusafirisha mzigo wasioujua;
kwanza ni kwa nia ya kuuthaminisha ili waweze kutoza gharama halisi kutokana na thamani wa kile wanachokisafirisha, pia katika karne hii ya Ugaidi wa kutisha duniani, ni lazima kukagua kile unachokisafirisha ili kisije kikawa ni silaha za kigaidi am[SIZE=4]bazo kama[SIZE=4] zi[SIZE=4]takama[SIZE=4]twa na Mataifa kama Mare[SIZE=4]kani, kitakuti[SIZE=4]a ma[SIZE=4]tatizoni mmiliki wa kam[SIZE=4]puni inayotumika kusafirishia[SIZE=4] huo mzigo.
Leo hii huyu jamaa ana[SIZE=4]kuja na Ngo[SIZE=4]njera ambazo ni wenye akili finyu tu ndio wanaoweza kuziamini eti hakujua anachokisafirisha! K[SIZE=4]wa hiyo kuna siku atakuta ana[SIZE=4]safirisha hat[SIZE=4]a [SIZE=4]viungo vya Albino[SIZE=4]! Huu si Uzembe wa bahati mbaya, [SIZE=4]jamaa ni lipiga dili sana la meno ya ndovu.
Eti [SIZE=4]jana nilimsikia yule kamanda wa polisi Ra[SIZE=4]dio [SIZE=4]One akidai kwamba polisi wanachunguza mw[SIZE=4]enye ule mzigo[SIZE=4], wakati wanayo kampuni iliyousafirisha [SIZE=4]ambayo inamjua [SIZE=4]waliy[SIZE=4]efanya naye bi[SIZE=4]ashara ya ku[SIZE=4]m[SIZE=4]safirishia mzigo wake huo! K[SIZE=4]weli nchi hii[SIZE=4], Wonde[SIZE=4]rs shall never end[SIZE=4]![/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4]
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4]Hii ndi[SIZE=4]yo serikali ya chama cha akina Nape Jeetu Patel ba[SIZE=4]na![/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]
[/QUOTE. Ukisafirisha mzigo unakuwa na orodha ya vinavyisafirisgwa. mwenye mziho snawajabidhi na adress na tel no. iweje hao wanachunguza aliyekuwa na mzigo? anajulijana waditufanye
wajinga kinana anajua yote aachie ngazi jangili huyo.
Una utani na Nnape wewe nini? Au ni le mutuz?
swala siyo ushahidi.wala siyo kuwaleta tembo kutoka porini kuja kumtetea Kinana kama ulivyo eleza kwa sababu hata wewe mwenyewe unafaham kuwa tembo hawezi kutolewa mbugani kuja kumtetea.haya ndiyo majibu ya kisanii niliyoyasema.kama tembo wanaweza kumtolea kinana ushahidi kwa mtazamo wako wewe basi ushahidi wenyewe utakuwa ni wa kilio cha kueleza jinsi wanavyo uawa na kung'olewa meno.hoja iliyopo hapa ni kwamba ukiwamwovu mahali salama kwa mtu mwovu ni ccm.ndiyo maana kinana amekiri kuwa kampuni ni yake lakini kampuni yake hajachukuliwa hatua yoyote wakati wengine vyombo vyao vinakamatwa na kusiziwa.maadili ya uongozi yanakataa kiongozi kuwa na kampuni binafsi lakini kinana amekiri waziwazi kuwa anayokampuni na kampuni yake imefanya uharifu bado anaendelea kuwa kiongozi.swala la josephene hapa linahusika vipi wakati kinachoelezwa hapa ni kinana na meno ya tembo.ccm na uharifu ni kama mfuniko na chupa ya bia.
Siyo kaka kuna wengine baba zao wakiwajimbia lakini sasa ni makatibu wenezi
Na aliyekuroga wewe yupo hai?
Chama
Gongo la mboto DSM
MKUU CHAMA!!inabidi ufanyiwe maombi ya ukombozi
Mwanangu Mohamed Mtoi, maswali yako ni ya msingi sana. Yanaonyesha ni jinsi gani viongozi wa CCM wamezoea kutoa majibu ya rejareja na kusababisha taabu na shida kwa wananchi. Hakuna mtu mwenye akili ya kawaida asiyejua jinsi biashara ya pembe za ndovu na faru inavyopigwa vita duniani. Inashangaza sana huyu kiongozi wa chama tawala (CCM) Kinana kujifanya haelewi hili. Kwa nini hajachukua hatua za tahadhari kuionya kampuni yake kutohusika kwa vyovyote vile na biashara hii haramu?Imeandikwa na Bart Mkinga.
Hivi karibuni kampuni ambayo kati ya wamiliki wake ni-Abrahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, ilihusika na usafirishaji wa pembe za ndovu kinyume na sheria za nchi, kinyume na sheria za kimataifa.
-
Vyombo vya habari viliripoti kuwa Kinana mwenyewe alikiri kuwa kampuni yake ilihusika na usafirishaji wa shehena hiyo haramu lakini kampuni haikujua kuwa shehena ile ilikuwa ya biashara haramu.
-
Kwa mtazamo mpana, kashfa hii na utetezi wa Kinana, kweli unatosha kumsafisha kiongozi mkuu huyu wa chama tawala na kashfa hii? Hivi kampuni wakala wa usafirishaji mizigo husafirisha mzigo wowote bila ya kujiridhisha kuwa mzigo unaosafirishwa ni mzigo uliotajwa kwenye nyaraka za usafirishaji? Mara nyingi katika biashara, mtoa huduma huwa na wateja wake wa muda mrefu na wale wa mara moja. Kutokana na kushamiri kwa biashara haramu ya pembe za ndovu, Je, kampuni hii ya usafirishaji wa bidhaa haramu inayomhusisha kiongozi mkubwa wa chama tawala, imesafirisha mizigo ya aina hii mara ngapi bila ya kukamatwa? Wamiliki wa mizigo hiyo haramu waliichagua kampuni ya mheshimiwa huyu kwa bahati mbaya au kulikuwa na sababu maalum ya kuichagua kampuni hii?
-
Swali jingine la kujiuliza, kumiliki kampuni inayosafirisha bidhaa haramu, japo inawezekana Kinana ni mmiliki tu wa kampuni na asiwe mtendaji wa kila siku wa shughuli za kampuni, je, hiyo pekee yake inaweza kuwa ni sababu tosha ya kumwona Mh. Kinana ana usafi wa kuongoza chama ambacho kinadai kipo kwenye hatua ya kujisafisha?
-
CCM kama chama cha siasa na chama tawala, kinapojiangalia kwenye kioo cha kujitathmini kinajiona ni chama cha namna gani, wakati viongozi wake wakuu majina yao yanatajwatajwa kwenye biashara chafu? Kwenye mambo kama haya, ndipo tunaposhangaa umakini wa CCM.
-
Mkuu!!..2congee kishabiki!!vp kuhusu MAbosi wako NAPE na MWIGULU...wao wanahitaji maombi ya aina gani?
Nape na Mwigulu hawahitaji maombi wanayo mapungufu kama binadamu ila ni ya kawaida tu; anayehitaji maombi ni slaa tena anahitaji mengi tu; kuvunja amri za Mungu; amri za kanisa; kuwatupa watoto kimalezi; kuchukua mke halali wa mtu; uwongo uliokithiri yaani maombi ni mengi sana sijui hata tuanze na yapi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu chama.
Hebu rudisha akili yako kwenye mstari.
Uliyo ita mapungufu ya Dr Slaa yameathiri vipi mada iliyooko mezani?!
Nape na Mwigulu hawahitaji maombi wanayo mapungufu kama binadamu ila ni ya kawaida tu; anayehitaji maombi ni slaa tena anahitaji mengi tu; kuvunja amri za Mungu; amri za kanisa; kuwatupa watoto kimalezi; kuchukua mke halali wa mtu; uwongo uliokithiri yaani maombi ni mengi sana sijui hata tuanze na yapi!
Chama
Gongo la mboto DSM