he is an elephant dentist by profession
i wonder if nowadays elephants chew bubble gums or take candy sweets and chocolate bars
Kila siku tutakuwa tunajibu vitu vilevile mbona nyie makamanda akili zenu zimekuwa pungufu kiasi? Yaani yamekuwa yaleyale ya babu tukilala EPA tukiamka EPA anasahau kuwa mmoja wa viongozi wenzake ni wakili mwandamizi kwenye kesi za EPA; njooni na mpya; mnataka mpaka tembo wetu watoe ushahidi kwamba mh.Kinana sio jangili ndio muamini?
Chama
Gongo la mboto DSM
aliyekuroga keshakufa
hapa pagumu mkuu.Hata mimi sigusi.atajibu Mzee mwenyewe.
Kwa hiyo katika ajali za Barabarani ni kosa la waziri wa usafirishaji pia? Kinana ni Msafi
hapa pagumu mkuu.Hata mimi sigusi.atajibu Mzee mwenyewe.
Kila siku tutakuwa tunajibu vitu vilevile mbona nyie makamanda akili zenu zimekuwa pungufu kiasi? Yaani yamekuwa yaleyale ya babu tukilala EPA tukiamka EPA anasahau kuwa mmoja wa viongozi wenzake ni wakili mwandamizi kwenye kesi za EPA; njooni na mpya; mnataka mpaka tembo wetu watoe ushahidi kwamba mh.Kinana sio jangili ndio muamini?
Chama
Gongo la mboto DSM
ukiona jambo linajirudiarudia ujue kuwa majibu yanayotolewa ni ya kisanii.
Waingie humu!?? ukitaka kuwaona anzisha uzi wako wa kumkashifu Dr. Slaa
Kila kitakochosemwa mtapinga kwasababu mna ajenda zenu naona iliyobaki tupate tembo wa kutoa ushahidi hapo ndio roho zenu zitatulia
Chama
Gongo la mboto DSM
imeandikwa na bart mkinga.
Hivi karibuni kampuni ambayo kati ya wamiliki wake ni-abrahaman kinana, katibu mkuu wa ccm, ilihusika na usafirishaji wa pembe za ndovu kinyume na sheria za nchi, kinyume na sheria za kimataifa.
-
vyombo vya habari viliripoti kuwa kinana mwenyewe alikiri kuwa kampuni yake ilihusika na usafirishaji wa shehena hiyo haramu lakini kampuni haikujua kuwa shehena ile ilikuwa ya biashara haramu.
-
kwa mtazamo mpana, kashfa hii na utetezi wa kinana, kweli unatosha kumsafisha kiongozi mkuu huyu wa chama tawala na kashfa hii? Hivi kampuni wakala wa usafirishaji mizigo husafirisha mzigo wowote bila ya kujiridhisha kuwa mzigo unaosafirishwa ni mzigo uliotajwa kwenye nyaraka za usafirishaji? Mara nyingi katika biashara, mtoa huduma huwa na wateja wake wa muda mrefu na wale wa mara moja. Kutokana na kushamiri kwa biashara haramu ya pembe za ndovu, je, kampuni hii ya usafirishaji wa bidhaa haramu inayomhusisha kiongozi mkubwa wa chama tawala, imesafirisha mizigo ya aina hii mara ngapi bila ya kukamatwa? Wamiliki wa mizigo hiyo haramu waliichagua kampuni ya mheshimiwa huyu kwa bahati mbaya au kulikuwa na sababu maalum ya kuichagua kampuni hii?
-
swali jingine la kujiuliza, kumiliki kampuni inayosafirisha bidhaa haramu, japo inawezekana kinana ni mmiliki tu wa kampuni na asiwe mtendaji wa kila siku wa shughuli za kampuni, je, hiyo pekee yake inaweza kuwa ni sababu tosha ya kumwona mh. Kinana ana usafi wa kuongoza chama ambacho kinadai kipo kwenye hatua ya kujisafisha?
-
ccm kama chama cha siasa na chama tawala, kinapojiangalia kwenye kioo cha kujitathmini kinajiona ni chama cha namna gani, wakati viongozi wake wakuu majina yao yanatajwatajwa kwenye biashara chafu? Kwenye mambo kama haya, ndipo tunaposhangaa umakini wa ccm.
-
tunaendelea kupinga kwa sababu mnaendelea kutudanganya.swala la kuwaleta tembo kuthibitisha kuwa Kinana siyo jangiri ni la mtuhumiwa mwenyewe kwani siyo kazi ya mlalamikaji kumpangia mtuhumiwa shahidi wa kumtetea.
nakwambia kwa ccm,yanayooneka mauvu mbele ya uma,kwao ni sifa kubwa,yaani hao wanahangaika nalaana za mwlm.wewe angalia tu safu yao ya uongozi utaona majambazi na majizi yote ndiyo yaliyoshinda kwa kishindo.sasa kinana akisafirisha hizo pembe za ndovu ndo kwanza anazidi kuwa juu ndani ya chama.Imeandikwa na Bart Mkinga.
Hivi karibuni kampuni ambayo kati ya wamiliki wake ni-Abrahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, ilihusika na usafirishaji wa pembe za ndovu kinyume na sheria za nchi, kinyume na sheria za kimataifa.
-
Vyombo vya habari viliripoti kuwa Kinana mwenyewe alikiri kuwa kampuni yake ilihusika na usafirishaji wa shehena hiyo haramu lakini kampuni haikujua kuwa shehena ile ilikuwa ya biashara haramu.
-
Kwa mtazamo mpana, kashfa hii na utetezi wa Kinana, kweli unatosha kumsafisha kiongozi mkuu huyu wa chama tawala na kashfa hii? Hivi kampuni wakala wa usafirishaji mizigo husafirisha mzigo wowote bila ya kujiridhisha kuwa mzigo unaosafirishwa ni mzigo uliotajwa kwenye nyaraka za usafirishaji? Mara nyingi katika biashara, mtoa huduma huwa na wateja wake wa muda mrefu na wale wa mara moja. Kutokana na kushamiri kwa biashara haramu ya pembe za ndovu, Je, kampuni hii ya usafirishaji wa bidhaa haramu inayomhusisha kiongozi mkubwa wa chama tawala, imesafirisha mizigo ya aina hii mara ngapi bila ya kukamatwa? Wamiliki wa mizigo hiyo haramu waliichagua kampuni ya mheshimiwa huyu kwa bahati mbaya au kulikuwa na sababu maalum ya kuichagua kampuni hii?
-
Swali jingine la kujiuliza, kumiliki kampuni inayosafirisha bidhaa haramu, japo inawezekana Kinana ni mmiliki tu wa kampuni na asiwe mtendaji wa kila siku wa shughuli za kampuni, je, hiyo pekee yake inaweza kuwa ni sababu tosha ya kumwona Mh. Kinana ana usafi wa kuongoza chama ambacho kinadai kipo kwenye hatua ya kujisafisha?
-
CCM kama chama cha siasa na chama tawala, kinapojiangalia kwenye kioo cha kujitathmini kinajiona ni chama cha namna gani, wakati viongozi wake wakuu majina yao yanatajwatajwa kwenye biashara chafu? Kwenye mambo kama haya, ndipo tunaposhangaa umakini wa CCM.
-