chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,298
- 45,087
Mchaga aliona tangazo limeandikwa Mpare Hospital, tunatibu kila ugonjwa kwa laki 1,
tukishindwa tunakupa ww laki 2, mchaga akaitamani ile laki 2, akaenda, akamwambia
Dk Mpare: i hv lost ma sense of taste, Dk Mpare akamwambia nesi, Mpe Mchaga dawa
ya chupa namba 22, nesi akamnywesha Mchaga, Mchaga akashauti STOOOP ni mkojo!
Dk Mpare akwamwambia Mchaga, congrats u hv recovered ur sense of taste.
Mchaga akaumia sn kapoteza laki 1 yake, akajipanga upya akaenda tena hospital,
akamwambia Dk Mpare: I hv lost ma memory, I dont even remember my name.
Dk Mpare akamwambia nesi, mpe Mchaga dawa ya chupa namba 22,
Mchaga akashauti NOOOO dawa ya chupa namba 22 ni mkojo kwa matibabu
ya sense of taste! Dk Mpare akamwambia Mchaga: congrats u hv recovered ur memory.
tukishindwa tunakupa ww laki 2, mchaga akaitamani ile laki 2, akaenda, akamwambia
Dk Mpare: i hv lost ma sense of taste, Dk Mpare akamwambia nesi, Mpe Mchaga dawa
ya chupa namba 22, nesi akamnywesha Mchaga, Mchaga akashauti STOOOP ni mkojo!
Dk Mpare akwamwambia Mchaga, congrats u hv recovered ur sense of taste.
Mchaga akaumia sn kapoteza laki 1 yake, akajipanga upya akaenda tena hospital,
akamwambia Dk Mpare: I hv lost ma memory, I dont even remember my name.
Dk Mpare akamwambia nesi, mpe Mchaga dawa ya chupa namba 22,
Mchaga akashauti NOOOO dawa ya chupa namba 22 ni mkojo kwa matibabu
ya sense of taste! Dk Mpare akamwambia Mchaga: congrats u hv recovered ur memory.