Hahaha em pita hapa aseee

Hujaelewa nini? Abraham alitakiwa amchinje Isack lakini akaokolewa na Mungu... Sasa njia Abraham huyo huyo akamwambia Isack kwamba anampenda... Unategemea majibu yake yawe ya namna gani? Utasemaje unampenda mtu uliyetaka kumchinja?

Umeelewa?
Hapo nimekupata
 
Zamani kule walikuwa wanatoa watoto kafara,
leo hii ,hii imani inazidi kukua kwa kasi sana,inaitwa Luciferian.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom