njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
Kwani ukinywa maji lita moja nani atakuuliza kwa mfano?
kwani unateseka na nini
Asanteee
Nilikuwa nimeleft ila umenirudisha wewe fata kilichokuleta apa haya ya kwetu achana nayo mkuu
Pathetic ...
Kwani ukinywa maji lita moja nani atakuuliza kwa mfano?
kwani unateseka na nini
Asanteee
Nilikuwa nimeleft ila umenirudisha wewe fata kilichokuleta apa haya ya kwetu achana nayo mkuu
Pathetic ...
Itakuwa muda wa kulipia umefika
sasa huko mnakoelekea nikwenye mambo ya gizaniInatisha bwana nataka smart akiniteka awe pembeni nikiwa nasoma![]()
hahahaaaIla chizi wewe unaniponza tunafukuzwa uku unanirudisha
Imani na nyie sina kwakwel
hahaahaaUnaonaje ukinitumia hata pesa mzee niwe nanunua bando la wiki nzima ili niwe nakuwekea kila siku? Halafu nanurekebishe network iwe ya kasi huku Mwanza? Fanikisha hayo boss...utaisoma kila siku hadi uchoke.
hiyo me ndo naitaka sasa shemeji,usisikilize ushauri wa shunie maana utaacha kutupa sie rahaila haitishi...sikutaka kuifanya itishe...inabidi usome SAFARI YANGU KUZIMU....sasa ile ndio inatisha
Hahhaa nyemo unataka kulipwa nini watu tulipe arosto hiii hapanaHii stori nitaimaliza hapahapa...ila utatakiwa kukumbuka cha bure kina gharama.
sasa acha kumtag mahondaw sasa
Khaaaasasa acha kumtag mahondaw sasa


ila we binti nakugawa bure upoje lakini


Hapana jamani sijamtuma mimi ni mwenyewe tu akili zake zimemtumajaman kosa langu mimi nini akati nawakumbusha tu mfanye siriKhaaaaila we binti nakugawa bure upoje lakini
shunie
huhuhuuu watu kumbe mlishaanza kuelewana kitambo