MoonBoy
Senior Member
- Jul 15, 2016
- 195
- 133
MTOTO WA HAYATI
Sehemu Ya 35
Mtunzi..... MoonBoy
Ilipoishia Jana →↓↓
"mmmhhh kwa kuhonga hajahonga,... Kwani CV na vyeti vyake niliviona hivi kwa macho yangu, amesoma uingereza kila kitu, afu akaenda india kusomea udaktari"
"hhhmmmm we umezionea wapi hizo CV na vyeti vyake"
"chezea mimi wewe"
"aaahh niambie ukweli hivyo vyeti na cv zake viko wapi"
"kwani we wataka vya nini"
"nina kazi navyo"
Heeeeeee sasa nikashangaa kuskia kua kumbe vyeti vyangu tayari kila mtu anavijua, sasa ni nani kavisambaza, mana mimi nilimpa Dokta Mwasi, ambae ndio dokta mkuu hapa jijini arusha....
"nikuelekeze mahali vilipo"
"Enheee niambie haraka, nimseidie mpenzi wangu"
Sasa na mimi wakati huo nilikua nasikiliza kwa umakini ili nisikie vyeti na cv zangu viko wapi, na ni nani kavipeleka huko.....
"ina mana wataka ukamseidie sam"
"ndio"
"sasa utawezaje, kufanya hivyo"
"we niambie tu, swala la kuweza niachie mimi joy... Hawezi kuletwa mgeni na wakati wenyeji wapo"
ENDELEA..........
Nilijikuta naanza kuogopa kufanya kazi katika hospitali hiii, mana hata siku haijaisha, tayari kumbe kuna watu wananifatilia, sikua na ujanja wala furaha juu ya hilo, mana nilitegemea kua nitapendwa na kupewa kipau mbele kwakua bado ni mdogo, afu isitoshe naweza kukabiriana na kazi hio, lakini imani yangu yote imekata kutokana na hilo yani hata hamu tena sina
Sasa na mimi nikawa natega sikio sana ili nijue hizo cv zangu nani kazisambaza, lakini kabla hawajaongea, niliguswa nyuma ya mgongo wangu, nilishtuka sana kabla sijageuka, mana nilishajua tayari nazungukwa na wafanyakazi wenzangu, niligeuka kiunyonge sana huku nikitia huruma, kana kwamba kama kuna mtu anataka kuniua anihurumie... Lakini alikua ni mschana mmoja mzuriiii na hata yeye alishtuka baada ya kuniona ni mimi
"ooooohhh samahani dokta nilijua ni dokta john"
Aiseee alikua ni mmoja kati ya manesi waliopo humu ndani ya hospitali hii, Kiukweli alikua kabarikiwa kwa uzuri wa hali ya juu, mana mpaka moyo wangu ulistuka, ndio ujue kua toto lilikua kali kupitiliza... Afu pia alikua ana umbo la maana,
Nilijikuta nimesahau jambo lilionileta hapo, mana nikikumbuka nilikuja kwa ajili gani, ata sikumbuki kabisa, Niliondoka pale taaratibu huku nikimuangalia, na hata yeye alikua ni muoga kiasi kutokana na cheo changu cha udokta, tena ni dokta wa hali ya juu mno, na yeye ni nesi tu, hivyo alikua ana hali ya uoga oga hivi,
Niliondoka zangu na kuingia katika ofisi yangu binafsi,
Kwakua nilikua bado mgeni, hivyo ilipofika muda flani hivi nilianza kutembelea wagonjwa, mana ndicho kilichonileta hapa, nilikua nikikutana na manesi wengi mno, kana kwamba hata wale waliokua wakiniongelea kule chooni siwajui kabisa hivyo naweza kaa karibu na adui yangu mana siwajui.... Na mbaya zaidi wao hawana majina katika makoti yao, hivyo ni ngumu kuwatambua kua ndio hawa......... Ila nakumbuka walikua wakiitana Jesca na joyce, hivyo kwa majina ninayakumbuka sana lakini kwa sura siwajui mana sijabahatika kuwaona wakiwa wanaongea yale mambo,....
Kama kawa ilipofika mida ya saa 11 jioni niliweka vitu vyangu sawa na kutoka, nilikuja na gari ambayo ilikua nyuma ya nyumba kuke home, hivyo ndio naitumia kwa kujia kazini,.... Sasa nikiwa natoka na kibegi changu, nilimuona yule nesi mzuri akinikimbilia na kutaka kunipokea kibegi changu akipeleke kwenye gari, lakini nilikataa kwakua nilikua najiweza afu istoshe sina maringo yoyote wala dharau, hivyo siwezi nikamfanya mtu kua kama mtumwa kisa ni elimu yangu au cheo nilichonacho
"dokta naomba nikuseidie begi lako"
Alionekana ni mwanamke mwenye heshima sana, na sio kua ni mkubwa ni lika langu sema vyeo ndio tumetofautiana,
"usijali mamy, naweza kufanya hivyo"
"sawa, safari njema"
"ok asante"
Niliondoka kwakua ilikua ni muda wangu wa kuondoka kwenda nyumbani lakini nilikua nina uoga sana ndani ya hio hospitali, mana leo kama siku ya kwanza tu tayari watu wameshaanza kunitamani, Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka ile mbaya, Niliingia bafuni kwangu na kuanza kuoga, Nilipotoka nilikuta na juice moja safii nikawa naipiga taaratibu huku nikiwa naangalia tv hapo hapo geto kwangu, Nilikua nina mawazo mengi sana juu ya wale manesi, kwanini wanataka kuniandama kiasi hiki, Nilikua najiuliza maswali mengi mno lakini jibu silipati, mara dada fatu kaja hapo chumbani kwangu,
"mambo"
Alinisalimia nami nikiwa kama mdogo kwake nilimpa heshma yake
"poa tu, shkamoo"
"toka lini ukanisalimia shkamoo"
"ahhh mi sidhani kama muda huu utafaa kwa hayo maswali yako, so you can come next time"
"mbona siku hizi umekua na dharau sana sheby,..... sikiliza wewe ni mdogo wangu tu hivyo naomba upunguze dharau zako"
"mimi na wewe nani anataka kudharauliwa"
"unamaanisha nini"
"kwanini nikikusalimia hutaki kuitika"
"aaahhhh ok, basi kuanzia leo nitakuitikia, sawa dogo langu"
"wewe tu"
"vp sasa, utakuja nisifunge"
"wapi"
Nilijua alichomasnisha lakini nikatia kama sijui kitu,
"kule kwangu"
"kufanyaje"
"heeeeeee we upoje, mbona maswali mengi ivoo"
"nimechoka sana"
"kwani umekutana na kazi"
"wala tu, sema tayari watu wameshaanza kunichulia"
"kukuchulia? Kukuchulia kivipi"
Mara baba aliingia hapo chumbani na kutukuta tukiongea...
"oooohh umerudi"
"ndio dady, shkamoo"
"marahaba, habari ya kazi"
"aaahhh kazi njema, mzee ila kuna watu washaanza kunitamani mzee"
"una maana gani ukisema umetamaniwa"
"yaan kule hospitali, kuna ambao hawakupenda niwekwe kile kitengo"
"kwani we upo kitengo gani"
"aaaaaaahhh mimi ni baada ya dokta mkuu"
"haaaaaaaaaaa, mwanangu, hicho cheo mbona kitakuua, mana najua elimu yako ndio imekupa hio nafasi, na hao wanaotaka hicho kitengo huenda ni wa muda mrefu na ndio mana hawatokupenda"
"Unejuaje mzeee, ni hivyo hivyo"
"lakini mwanangu nilikuambia mimi, kampuni ile pale nenda kaisimamie, hutaki umekimbilia huko... Sasa hebu ona sasa hata amani na kazi yako huna mwanangu"
"we acha tu baba, yani nilikua nina nia na ile kazi lakini nia imetoweka ghafla tu"
"mmmhhhhh haya bwana, utaamua mwenyewe ufanyaje hapo"
Baba aliondoka zake huku akinilaumu kua nimekimbilia kua dokta wakati ni kazi zenye lawama chungu nzima... Dada fatu alikuepo na amesikia kila kitu,
"sasa sheby mdogo wangu itakuaje"
"we acha tu"
"mmmmhhhh haya bwana, ila uje basi"
"stakiiiiiiiiiiiiiii husikiiiiiiii"
"sasa unampigia nani makelele"
Nilikua nina hasira za hali ya juu kwani hakuna niliokua naelewana nae kwa wakati huo....
Basi ilifika muda wa kulala nikawa naanza kuupata usingizi, lakini ghafla nilisikia mlango ukigongwa taaratibu, kiasi kwamba kuna mtu alikua akitaka kuingia pasipo kujulikana, sikutaka kuuliza ni nani bali niliamka taaratibu na kuufungua mlango,
"mambo kaka sheby"
"poa tu vp tena saa hizi"
"samahani nimekuja kuchukua glass ya juice"
"ooooooo aaa ivi hukuchukua kabisa"
"bado"
Sasa kumuangalia vizuri alikua kavaa hovyo hovyo mpaka nikaanza kumtamani ghafla tu,
"ingia uchukue"
Nilimuambia aingie ili nimbanie huku huku ndani, mana nakumbuka kuna siku nilimponya ponya......
"hapana nakiomba tu mara moja"
Alikua akisita sita kuingia, nilimshika mkono na kumvuta kwa ndani, mtoto alidondokea kifuani kwangu afu alikua ana joto mpaka raha, Sasa baada ya kumvutia ndani nilibana mlango na kumtupia kitandani, mtoto kumbe alikua ana kanga tu na chupi nyekundu, hivyo nilivyomtupia kitandani ile kanga ilifunuka na kubakiwa na chupi tu, alikua anasumbua kidogo kama vile staki nataka, nilimueka sawa na kusogeza ile chupi kisha nikaupenyeza mtarimbo wangu
"aaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kaka sheby, ngoja basi nivue chupi kwanza"
Itaendelea..... after Tomorrow
Sehemu Ya 35
Mtunzi..... MoonBoy
Ilipoishia Jana →↓↓
"mmmhhh kwa kuhonga hajahonga,... Kwani CV na vyeti vyake niliviona hivi kwa macho yangu, amesoma uingereza kila kitu, afu akaenda india kusomea udaktari"
"hhhmmmm we umezionea wapi hizo CV na vyeti vyake"
"chezea mimi wewe"
"aaahh niambie ukweli hivyo vyeti na cv zake viko wapi"
"kwani we wataka vya nini"
"nina kazi navyo"
Heeeeeee sasa nikashangaa kuskia kua kumbe vyeti vyangu tayari kila mtu anavijua, sasa ni nani kavisambaza, mana mimi nilimpa Dokta Mwasi, ambae ndio dokta mkuu hapa jijini arusha....
"nikuelekeze mahali vilipo"
"Enheee niambie haraka, nimseidie mpenzi wangu"
Sasa na mimi wakati huo nilikua nasikiliza kwa umakini ili nisikie vyeti na cv zangu viko wapi, na ni nani kavipeleka huko.....
"ina mana wataka ukamseidie sam"
"ndio"
"sasa utawezaje, kufanya hivyo"
"we niambie tu, swala la kuweza niachie mimi joy... Hawezi kuletwa mgeni na wakati wenyeji wapo"
ENDELEA..........
Nilijikuta naanza kuogopa kufanya kazi katika hospitali hiii, mana hata siku haijaisha, tayari kumbe kuna watu wananifatilia, sikua na ujanja wala furaha juu ya hilo, mana nilitegemea kua nitapendwa na kupewa kipau mbele kwakua bado ni mdogo, afu isitoshe naweza kukabiriana na kazi hio, lakini imani yangu yote imekata kutokana na hilo yani hata hamu tena sina
Sasa na mimi nikawa natega sikio sana ili nijue hizo cv zangu nani kazisambaza, lakini kabla hawajaongea, niliguswa nyuma ya mgongo wangu, nilishtuka sana kabla sijageuka, mana nilishajua tayari nazungukwa na wafanyakazi wenzangu, niligeuka kiunyonge sana huku nikitia huruma, kana kwamba kama kuna mtu anataka kuniua anihurumie... Lakini alikua ni mschana mmoja mzuriiii na hata yeye alishtuka baada ya kuniona ni mimi
"ooooohhh samahani dokta nilijua ni dokta john"
Aiseee alikua ni mmoja kati ya manesi waliopo humu ndani ya hospitali hii, Kiukweli alikua kabarikiwa kwa uzuri wa hali ya juu, mana mpaka moyo wangu ulistuka, ndio ujue kua toto lilikua kali kupitiliza... Afu pia alikua ana umbo la maana,
Nilijikuta nimesahau jambo lilionileta hapo, mana nikikumbuka nilikuja kwa ajili gani, ata sikumbuki kabisa, Niliondoka pale taaratibu huku nikimuangalia, na hata yeye alikua ni muoga kiasi kutokana na cheo changu cha udokta, tena ni dokta wa hali ya juu mno, na yeye ni nesi tu, hivyo alikua ana hali ya uoga oga hivi,
Niliondoka zangu na kuingia katika ofisi yangu binafsi,
Kwakua nilikua bado mgeni, hivyo ilipofika muda flani hivi nilianza kutembelea wagonjwa, mana ndicho kilichonileta hapa, nilikua nikikutana na manesi wengi mno, kana kwamba hata wale waliokua wakiniongelea kule chooni siwajui kabisa hivyo naweza kaa karibu na adui yangu mana siwajui.... Na mbaya zaidi wao hawana majina katika makoti yao, hivyo ni ngumu kuwatambua kua ndio hawa......... Ila nakumbuka walikua wakiitana Jesca na joyce, hivyo kwa majina ninayakumbuka sana lakini kwa sura siwajui mana sijabahatika kuwaona wakiwa wanaongea yale mambo,....
Kama kawa ilipofika mida ya saa 11 jioni niliweka vitu vyangu sawa na kutoka, nilikuja na gari ambayo ilikua nyuma ya nyumba kuke home, hivyo ndio naitumia kwa kujia kazini,.... Sasa nikiwa natoka na kibegi changu, nilimuona yule nesi mzuri akinikimbilia na kutaka kunipokea kibegi changu akipeleke kwenye gari, lakini nilikataa kwakua nilikua najiweza afu istoshe sina maringo yoyote wala dharau, hivyo siwezi nikamfanya mtu kua kama mtumwa kisa ni elimu yangu au cheo nilichonacho
"dokta naomba nikuseidie begi lako"
Alionekana ni mwanamke mwenye heshima sana, na sio kua ni mkubwa ni lika langu sema vyeo ndio tumetofautiana,
"usijali mamy, naweza kufanya hivyo"
"sawa, safari njema"
"ok asante"
Niliondoka kwakua ilikua ni muda wangu wa kuondoka kwenda nyumbani lakini nilikua nina uoga sana ndani ya hio hospitali, mana leo kama siku ya kwanza tu tayari watu wameshaanza kunitamani, Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka ile mbaya, Niliingia bafuni kwangu na kuanza kuoga, Nilipotoka nilikuta na juice moja safii nikawa naipiga taaratibu huku nikiwa naangalia tv hapo hapo geto kwangu, Nilikua nina mawazo mengi sana juu ya wale manesi, kwanini wanataka kuniandama kiasi hiki, Nilikua najiuliza maswali mengi mno lakini jibu silipati, mara dada fatu kaja hapo chumbani kwangu,
"mambo"
Alinisalimia nami nikiwa kama mdogo kwake nilimpa heshma yake
"poa tu, shkamoo"
"toka lini ukanisalimia shkamoo"
"ahhh mi sidhani kama muda huu utafaa kwa hayo maswali yako, so you can come next time"
"mbona siku hizi umekua na dharau sana sheby,..... sikiliza wewe ni mdogo wangu tu hivyo naomba upunguze dharau zako"
"mimi na wewe nani anataka kudharauliwa"
"unamaanisha nini"
"kwanini nikikusalimia hutaki kuitika"
"aaahhhh ok, basi kuanzia leo nitakuitikia, sawa dogo langu"
"wewe tu"
"vp sasa, utakuja nisifunge"
"wapi"
Nilijua alichomasnisha lakini nikatia kama sijui kitu,
"kule kwangu"
"kufanyaje"
"heeeeeee we upoje, mbona maswali mengi ivoo"
"nimechoka sana"
"kwani umekutana na kazi"
"wala tu, sema tayari watu wameshaanza kunichulia"
"kukuchulia? Kukuchulia kivipi"
Mara baba aliingia hapo chumbani na kutukuta tukiongea...
"oooohh umerudi"
"ndio dady, shkamoo"
"marahaba, habari ya kazi"
"aaahhh kazi njema, mzee ila kuna watu washaanza kunitamani mzee"
"una maana gani ukisema umetamaniwa"
"yaan kule hospitali, kuna ambao hawakupenda niwekwe kile kitengo"
"kwani we upo kitengo gani"
"aaaaaaahhh mimi ni baada ya dokta mkuu"
"haaaaaaaaaaa, mwanangu, hicho cheo mbona kitakuua, mana najua elimu yako ndio imekupa hio nafasi, na hao wanaotaka hicho kitengo huenda ni wa muda mrefu na ndio mana hawatokupenda"
"Unejuaje mzeee, ni hivyo hivyo"
"lakini mwanangu nilikuambia mimi, kampuni ile pale nenda kaisimamie, hutaki umekimbilia huko... Sasa hebu ona sasa hata amani na kazi yako huna mwanangu"
"we acha tu baba, yani nilikua nina nia na ile kazi lakini nia imetoweka ghafla tu"
"mmmhhhhh haya bwana, utaamua mwenyewe ufanyaje hapo"
Baba aliondoka zake huku akinilaumu kua nimekimbilia kua dokta wakati ni kazi zenye lawama chungu nzima... Dada fatu alikuepo na amesikia kila kitu,
"sasa sheby mdogo wangu itakuaje"
"we acha tu"
"mmmmhhhh haya bwana, ila uje basi"
"stakiiiiiiiiiiiiiii husikiiiiiiii"
"sasa unampigia nani makelele"
Nilikua nina hasira za hali ya juu kwani hakuna niliokua naelewana nae kwa wakati huo....
Basi ilifika muda wa kulala nikawa naanza kuupata usingizi, lakini ghafla nilisikia mlango ukigongwa taaratibu, kiasi kwamba kuna mtu alikua akitaka kuingia pasipo kujulikana, sikutaka kuuliza ni nani bali niliamka taaratibu na kuufungua mlango,
"mambo kaka sheby"
"poa tu vp tena saa hizi"
"samahani nimekuja kuchukua glass ya juice"
"ooooooo aaa ivi hukuchukua kabisa"
"bado"
Sasa kumuangalia vizuri alikua kavaa hovyo hovyo mpaka nikaanza kumtamani ghafla tu,
"ingia uchukue"
Nilimuambia aingie ili nimbanie huku huku ndani, mana nakumbuka kuna siku nilimponya ponya......
"hapana nakiomba tu mara moja"
Alikua akisita sita kuingia, nilimshika mkono na kumvuta kwa ndani, mtoto alidondokea kifuani kwangu afu alikua ana joto mpaka raha, Sasa baada ya kumvutia ndani nilibana mlango na kumtupia kitandani, mtoto kumbe alikua ana kanga tu na chupi nyekundu, hivyo nilivyomtupia kitandani ile kanga ilifunuka na kubakiwa na chupi tu, alikua anasumbua kidogo kama vile staki nataka, nilimueka sawa na kusogeza ile chupi kisha nikaupenyeza mtarimbo wangu
"aaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kaka sheby, ngoja basi nivue chupi kwanza"
Itaendelea..... after Tomorrow