Hadithi : Mcheza Filamu Za Ngono

Hadithi : Mcheza Filamu Za Ngono

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,637
532051_539088922800191_395579138_n.jpg

MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269
MAHALI: DAR ES SALAAM.
MBUNIFU WA COVER: KINDO EMMANUEL

MCHEZA FILAMU ZA NGONO 1.

Kampuni ya kutengeneza filamu za ngono ya Digital Playground ndio ambayo ilikuwa ikivuma sana katika kipindi hicho duniani kutokana na filamu zake za ngono kuwa katika ubora mkubwa huku wakijitahidi kuwasainisha mikataba wasichana mbalimbali ambao walikuwa warembo kwa ajili ya kucheza filamu mbalimbali za ngono.
Kampuni hii ambayo ilianza mwaka 1988 ilikuwa kampuni ya tatu ya filamu za ngono zilizowahi kutengenezwa ambayo mpaka muda huo ilikuwa ikiendelea kuwepo. Makampuni mengi ya kutengeza filamu za ngono yalikuwa yamefilisika hadi hatua ambayo iliyafanya kutokuwepo kabisa na kusahaulika.
Wasichana wengi walikuwa wakitamani kujiunga na kampuni hiyo, hawakujali kama wangejiunga na kampuni hiyo viungo vyao vyote vya mwili vingeweza kuonekana na kila atakayekwenda kuziangalia filamu zile au la, kitu ambacho walikuwa wakikiangalia katika kipindi kile ni fedha tu.
Kampuni hiyo ndio ilikuwa kampuni ambayo ilikuwa ikiwalipa waigizaji wake kiasi kikubwa cha fedha huku nayo ikiingiza kiasi kikubwa zaidi kwa kufanya CD za video zao kununulika kupita kawaida na hata wakati mwingine kuendelea kuziuza katika mitandao mbalimbali duniani ukiwepo mtandao wa Brazzers.
Watu walikuwa wakiingiza fedha kupita kawaida, siku ya usaili wa kuchagua wasichana ambao wangeingia mikataba ifikapo, wasichana zaidi ya mia tano kutoka sehemu mbalimbali walikuwa wakikusanyika kwa ajili ya kufanyiwa usaili.
Kila msichana alitaka kuwa na jina kubwa pamoja na fedha nyingi kama alizokuwa nazo msichana Katie Mike ambaye alikuwa miongoni mwa masupastaa wakubwa ambao walikuwa wakicheza filamu hizo nchini Marekani ndani ya kampuni hiyo kubwa ya Digital Playground.
Katie alikuwa miongoni mwa matajiri wakubwa ambao walikuwa wakijishughulisha na kucheza filamu zile. Kazi yake ile ndio ambayo ilionekana kumpa fedha kila siku, kuuacha mwili wake wazi na kufanya mapenzi na wanaume mbele ya kamera ndio yalikuwa maisha yake ya kila siku.
Katie hakuonekana kujisikia aibu mbele ya kamera, kila alipokuwa mbele ya kamera, alikuwa akionekana kuwa makini na kazi yake kuliko muigizaji yeyote wa muvi zile. Katie akapata jina kubwa nchini Marekani hasa kwa kila mtu ambaye alikuwa akipenda kuangalia filamu zile.
Katie alianza kuigiza filamu zile tangu alipofikisha miaka kumi na nane. Maisha ya shida ambayo alikuwa akiishi kipindi cha nyuma ndio ambayo yalimsukuma kujiingiza katika uigizaji wa filamu zile. Wazazi wake walikuwa wamekwishafariki, hakuwa na ndugu yeyote yule, maisha ya mitaani ndio yalikuwa maisha yake.
Alipofikisha umri wa miaka kumi na saba huku akiwa bado mtaani ndipo hapo alipoona tangazo kwamba watu ambao walikuwa wakitaka kuigiza muvi za ngono walikuwa wakihitajika kwa ajili ya kufanyiwa usaili katika kampuni ya filamu zile ya Digital Playground. Katie hakuonekana kuamini, kila siku alikuwa akihitaji kupata fedha kwa ajili ya kujikimu na maisha yake ya tabu, tangazo lile kwake likaonekana kuwa kama bahati kubwa na nzuri, hivyo hakutaka kuiacha ikipita.
Siku iliyofuata asubuhi na mapema akaelekea bafuni kuoga. Kitu cha kwanza ambacho alikifanya bafuni mule ni kuangalia sehemu zake za siri. Alichukua muda mrefu kuziangalia na kisha kuanza kuoga. Ingawa alijua kwamba alikuwa na umri mdogo lakini wala hakuonekana kujali, hakuonekana kuhofia kitu chochote kile, bado alikuwa akitaka kuwa miongoni mwa waigizaji wa muvi zile.
Alipomaliza kuoga, akajiandaa na kuanza kuelekea katika ofisi za kampuni ile. Wanawake zaidi ya mia saba walikuwa wamefika mahali pale. Walikuwa wanawake wa kila rika na kila ngozi. Walikuwepo wanawake wa kizungu, kiarabu, waswahili na hata wahindi na waarabu.
Kila mtu alikuwa akitaka kufanyiwa usaili na hatimae aanze kuigiza filamu zile huku lengo likiwa ni kupata fedha tu. Kila mtu ambaye alimuona Katie alionekana kumshangaa, hakukuwa na mtu ambaye aliamini kama Katie angekuwa miongozi mwa wanawake ambao walikuwa mahali pale.
Kwa muonekano tu, alionekana kuwa binti mdogo ambaye hakuwa amefikisha miaka kumi na nane. Huku akiwa amepanga foleni kwa ajili ya kuchukua namba kwenye kidirisha, akajikuta akifuatwa na wanaume wawili na kisha kutolewa katika foleni ile.
“What are you doing here? (Unafanya nini hapa?)” Mwanaume mmoja alimuuliza kwa sauti iliyojaa ukali kidogo.
“I want to be a porn movie star (Nataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alijibu huku akimwangalia mwanaume yule aliyemuuliza swali lile.
Katie hakuonekana kujisikia aibu hata kidogo, lengo lake kwa wakati huo lilikuwa ni kutaka kuigiza filamu za ngono tu kwa ajili ya kupata fedha na kumuondoa katika umasikini ambao alikuwa nao. Wanaume wale wakabaki wakiangaliana tu, hawakuamini kama Katie angekuwa jasiri kuwajibu namna ile.
“Damnfool! You are fucking too young, get out of here! ( Pumbafu kabisa! U mdogo mno, toka mahali hapa)” Mwanaume yule alimwambia Katie huku akionekana kukasirika.
Katie hakutaka kuondoka, bado alikuwa aking’ang’ania kubaki mahali hapo kwa ajili ya kuchukuliwa na kupelekwa katika usaili. Fujo ikaanza kutokea, wanaume wale walikuwa wakimtaka Katie aondoke mahali pale lakini Katie hakutaka kuelewa kitu chochote kile, bado alikuwa aking’ang’ania kubaki na kuingia kwenye usaili.
Maisha ya mitaani yakaonekana kumharibu Katie, fujo ambazo alikuwa akizileta mahali pale zilikuwa kubwa. Hakushikika kirahisi, alikuwa akileta sana fujo mpaka kufikia hatua Meneja wa kampuni ile kutokea mahali hapo hasa baada ya kusikia kelele.
“What the hell is going on here? (Nini kinaendelea hapa?)”
“This kid (Huyu mtoto)”
“What the hell with her? (Amefanya nini)”
“She wants to be a porn movie star (Anataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Mwanaume yule alijibu hali iliyowasababisha wanawake ambao walikuwa wamepanga foleni kuanza kucheka.
“You must be kiddin’ me (Ni lazima mtakuwa mnanitania)” Meneja yule, Bwana Donald alisema huku akionekana kushangaa.
“I want to be a porn movie star (Ninataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alimwambia Bwana Donald ambaye akaonekana kutokuamini.
Alichokifanya Bwana Donald ni kumchukua Katie na kuanza kuelekea ofisini mwake kwani aliona kama binti yule angeendelea kubaki mahali pale basi fujo zaidi zingeendelea kutokea mahali pale. Walipofika ofisini, akaambiwa akae kwenye kiti kimojawapo kati ya viti vilivyokuwa ndani ya ofisi ile na kisha mazungumzo kuanza.
“Unasema unataka kuwa nani?” Bwana Donald alimuuliza.
“Muigizaji wa filamu za ngono” Katie alijibu huku akijaribu kuyafuta machozi yaliyokuwa yakimtoka.
“Unaitwa nani?”
“Naitwa Katie Mike”
“Una miaka mingapi?”
“Kumi na saba”
“U mdogo sana Katie. Hatuwezi kukuajiri katika kampuni hii, na kama tukifanya hivyo basi tunaweza kuchukuliwa hatua kali za kisheria na Serikali. Hatutaki jambo hilo litokee” Bwana Donald alimwambia Katie.
“Nataka kuigiza”
“Haiwezekani. Nenda nyumbani, tutakapohitaji watu wengine mwaka kesho, utatakiwa uje na kujaribu bahati yako” Bwana Donald alimwambia Katie.
Katie hakuonekana kuelewa kitu chochote kile, bado alikuwa aking’ang’ania kuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu zile za ngono. Bwana Donald akaonekana kumsoma Katie, tayari aliona kuna kitu ambacho kilikuwa kinaendelea katika maisha ya msichana yule.
“Unaishi wapi?”
“Mtaani?”
“Mtaani? Mtaa upi?”
“Woodmere 45”
“Unaishi na nani?”
“Na wenzangu”
“Wenzako wakina nani?”
“Wenzangu. Watoto wenzangu”
“Mungu wangu! Kwa hiyo wewe ni mtoto wa mitaani?”
“Ndio”
“Ok! Nimeshaelewa.” Bwana Donald alisema.
Hapo hapo Bwana Donald akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa pochi yake, akaifungua na kutoa kiasi cha dola mia tatu na kumkabidhi Katie. Kiasi kile kikaonekana kuwa kikubwa kwa Katie, akakichukua na kukiweka katika mifuko ya suruali yake ya jinzi.
“Sisi kama kampuni tutakuwa tunakutunza mpaka mwaka ujao utakapofika. Tutakupa mkataba bila kukufanyia usaili wowote ule. Tutakusaidia kwa kila kitu katika kipindi hiki. Kama itawezekana, kila mwisho wa wiki njoo uchukue kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kukusaidia katika maisha yako ya kila siku. Utakapofika mwaka kesho, tutakupa mkataba na kuanza kuigiza filamu hizo katika kampuni yetu hii” Bwana Donald alimwambia Katie ambaye akaonekana kuelewa na kuondoka mahali hapo.
Kuanzia hapo kidogo maisha ya Katie yakaanza kubadilika, kiasi cha fedha ambacho alikuwa akikipata kila wiki kilionekana kumsaidia. Kitu alichokifanya kwa wakati huo ni kuanza mazoezi mapema. Akaanza kufanya mapenzi na vijana mbalimbali wa mitaani, kitu ambacho alikuwa akikihitaji sana katika kipindi hicho ni kuizoesha njia yake sehemu za siri ili hata atakapoanza kazi hiyo asiweze kusikia maumivu yoyote yale.
Kati ya wavulana wote ambao alikuwa akifanya nao mapenzi, Daniel. akaonekana kuvutiwa nae. Daniel akaanza kumpenda Katie. Mara kwa mara Daniel alikuwa akifanya mapenzi na Katie. Kwake akaanza kumchukulia kama mpenzi wake japokuwa kichwani mwa Katie kulikuwa na kitu kingine kabisa, alikuwa kwenye mazoezi mazito.
Kila siku Daniel alijitahidi kumwambia Katie maneno mbalimbali ya mapenzi lakini Katie hakuonekana kuelewa kitu chochote kile, kwake hakuhitaji uhusiano. Uhusiano wala haukuwa ukikubaliwa hata kidogo lakini kila wakati Daniel alipohitaji kufanya mapenzi na Katie, Katie hakuweza kuleta kipingamizi chochote kile.
Siku ziliendelea kukatika, njia ya sehemu ya siri ya Katie ikajitosheleza. Mwaka ukaisha na mwaka mwingine ulipoingia, mwezi wa nne, akaanza kuelekea katika ofisi ile huku akiwa amekwishafikisha miaka kumi na nane. Kwa sababu walimuona kuwa mtu wao, moja kwa moja Katie akasaini mkataba wa kulipwa kiasi kikubwa cha fedha na kisha kuanza kazi ya kuigiza filamu za ngono katika kampuni hiyo ya Digital Playground iliyokuwa nchini Marekani katika jiji la New York.
Kwa sasa, miaka saba ilikuwa imepita, kwa kipindi hiki Katie alikuwa na miaka ishirini na tano. Tayari kile ambacho alikuwa akikihitaji alikuwa amekwishakipata. Alikuwa akimiliki kiasi kikubwa cha fedha. Kwa kuwa alikuwa amejiingiza katika uigizaji wa filamu zile, kamwe hakuacha, bado alikuwa akiigiza zaidi na zaidi.
Daniel hakuwa akilini mwake katika kipindi hicho. Aliamua kutengana nae mara tu alipoanza kuigiza filamu zile. Jina lake lilikuwa kubwa sana, alikuwa akiigiza filamu nyingi sana ambazo zilikuwa zikiingizia kampuni kiasi kikubwa cha fedha.
Uzuri wake ndio ambao uliwafanya watu kupenda kununua filamu ambazo alikuwa ameigiza. Filamu nyingi ambazo zilikuwa zikitengenezwa na kampuni ile zilikuwa ni filamu ndefu zilizojaa visa lakini zilikuwa zimejaa ngono kila wakati. Picha zake zilikuwa zikitolewa kwenye majarida na magazeti mbalimbali, utajiri wake ulikuwa mkubwa.
“Kuna filamu moja inatupasa kuigiza” Bwana Donald aliwaambia waigizaji na kuendelea.
“Filamu hii itaigizwa barani Afrika hasa katika nchi moja iitwayo Tanzania. Sehemu ambayo tutakwenda kuigiza baadhi ya vipande vya filamu hii ni Zanzibar kwa sababu kuna hoteli nzuri na mandhari mazuri pia. Miswada imeshaandikwa, wasanii jiandaeni, kama kawaida, Katie utakuwa muigizaji mkuu. Miswada ni rahisi kuishika. Tutasafiri wiki ijayo kuelekea huko. Jiandaeni vilivyo” Bwana Donald aliwaambia hali ambayo iliwafanya waigizaji kuwa na furaha.

Safari yetu ndefu imekwishaanza.
Unajua ni nini kitaendelea nchini Tanzania?
Je watafanikiwa kuiigiza filamu hiyo ya ngono?
Je nini kitaendelea katika maisha ya Katie?
 
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 2.


Ndani ya ndege kila mtu alionekana kuwa na furaha, waigizaji walikuwa wakipiga stori huku safari ikiendelea. Hiyo ndio iikuwa safari ya kwanza kuja Afrika kwa kazi ya kuigiza. Kwao, safari hii ilionekana kuwa na baraka nyingi na walitumaini kuuza kazi hiyo zaidi ya kazi zote ambazo zilikuwa zimepita.
Katie alikuwa bize na kusoma jarida maalumu ambalo lilikuwa likielezea nchi ya Tanzania kuanzia uoto wa asili na mambo mengine mengi. Maeneo mengi yakaonekana kumvutia, tayari akilini mwake ikajengeka picha kwamba nchi ya Tanzania ilikuwa ni miongoni mwa nchi zilizokuwa na mazingira mazuri hasa kimisitu.
Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na waigizaji wote ambao walikuwa wamechaguliwa kwa ajili ya kuigiza filamu hiyo ya ngono ambayo waliipa jina la MY NEIGHBOURHOOD CHICKS. Katika kipindi hicho walikuwa na kila kitu, kamera kubwa zilizokuwa na uwezo mkubwa, wapiga picha na waongozaji, wote walikuwa ndani ya ndege hiyo.
Ndege hiyo wala haikupitia jijini Dar es Salaam. Kwa kuwa ilikuwa ni ndege yao wenyewe, ndege ya kampuni yao, ikapita moja kwa moja mpaka katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume, Zanzibar.
Hali ya hewa kwao ikaonekana kuwa nafuu. Nchini Marekani, baridi lilikuwa likiwapiga kila siku, hawakuipenda hali ile ya hewa lakini walikubaliana nayo. Joto ambalo walikutana nalo nchini Tanzania likaonekana kuwafurahisha.
Kila kitu kilikuwa kimekwishapangwa. Mara baada ya kushuka kutoka ndani ya ndege, wakapanda kwenye magari maalumu ya hoteli ya Green Horse na kisha kuanza kwenda katika hoteli hiyo.
Njiani, kla mmoja alikuwa akiangalia nje, majengo ya kizamani ambayo yalikuwa yametumiwa enzi za ukoloni yakaonekana kuwa na mvuto machoni mwao. Kila wakati walikuwa wakitabasamu, hawakuamini kama kulikuwa na majengo mazuri kama yake.
Gari lile likafika katika hoteli ya Grean House ambayo ilikuwa pembezoni mwa bahari ya Hindi na kisha kuingia ndani. Muonekano wa hoteli ile ulikuwa sawasawa na hoteli ambazo zilikuwa zimejengwa nchini Marekani. Upepo mwanana wa bahari ambao ulikuwa ukiwapiga ukaonekana kuwafurahisha.
Wakachukua vyumba ndani ya hoteli hiyo, kwa kuwa walikuwa na fedha za kutosha, kila mmoja akakabidhiwa chumba chake ila kwa wale ambao walitaka kulala wawili wawili walikuwa wakiruhusiwa.
Katie akatulia kitandani kwake, akachukua kitabu cha Atlas ambacho kilikuwa mezani na kisha kuanza kukifungua na kuangalia mambo mbalimbali kuhusiana na nchi ya Tanzania. Hapo ndipo alipogundua kwamba pale walipokuwa walikuwa katika moja ya kisiwa cha Unguja.
Moyoni mwake, Katie akaanza kuvutiwa, akatamani kuziona zile mbuga za wanyama ambazo zilikuwa zikionekana katika ramani ya nchi ya Tanzania. Alichokifanywa kwa wakati huo ni kuifuata kompyuta ya mezani na kisha kufungua Internet na website ya Google na kisha kuandika ‘Mikumi National Park’
Picha za mbuga hiyo zikatokea, Katie akabaki akitabasamu tu. Hamu ya kutamani kuelekea katika mbuga ile ikaonekana kumkamata kupita kawaida. Katie hakuishia hapo, bado aliendelea kuangalia zaidi na zaidi, akaandika Kilimanjaro.
Mlima mkubwa wa Kilimajaro ukatokea katika kioo cha kompyuta ile. Akaanza kuuangalia mlima ule ambao juu ulikuwa na barafu jingi. Katie akaachia tabasamu pana zaidi, alichokuwa akikitaka ni kuchukua picha za mlima ule.
Akaenda kitandani na kisha kufungua begi lake na kutoa kompyuta yake ya mapajani na kisha kuiunganisha na Internet isiyotumia waya iliyokuwa katika hoteli ile. Akafungua website ya Google na kisha kuandika Kilimanjaro. Ulipotokea mlima Kilimanjaro, akaanza kuzichukua zile picha na kisha kuziweka katika kompyuta yake.
Baada ya siku mbili kupita, filamu hiyo ambayo walipanga kuuigiza ikaanza. Kwao ikaonekana kuwa filamu nzuri, kila miuigizaji ambaye alikuwa amepangwa kuigiza katika filamu hiyo alikuwa akiigiza kwa umakini mkubwa na kujitolea hasa.
Kwa sababu Katie ndiye alikuwa muigizaji mkuu, aliigiza kwa ustadi mkubwa kiasi ambacho hata muongozaji akashangaa. Filamu hiyo wala haikuwa ndefu sana, walichukua kipindi cha mwezi mmoja ikawa imekamilika.
Ni matukio ya ngono ndio ambayo yalikuwa yametawala ndani ya filamu hiyo ambayo ingeonekana kuwavutia wale wote ambao walikuwa wakipenda kuangalia filamu za aina hiyo duniani.
Baada ya kumaliza kuigiza filamu hiyo, Katie akatoa wazo ambalo lilionekana kumvutia kila mtu. Alichoona yeye ilikuwa ni vizuri kwa wao wote kuelekea katika mbuga yoyote ile ya wanyama kwa lengo kubwa la kuona wanyama.
Kila mmoja akaonekana kuridhika na wazo lile, lilionekana kuwa wazo zuri ambalo liliungwa mkono na kila mtu. Siku iliyofuata, safari ya kuelekea Morogoro ikaanza huku wakitaka kuingia katika mbuga ya wanyama ya Mikumi na kuangalia wanyama.
Kwa kuwa walikuwa wametumia ndege, walichukua dakika arobaini na tano wakawa wamekwishafika Morogoro ambapo wakakutana na magari ya mbuga hiyo na moja kwa moja kuanza kupelekwa katika mbuga hiyo iliyokuwa na wanyama wengi na wa aina mbalimbali.
Walipofika mbugani, wakapelekwa katika hoteli ya MIKUMI NATIONAL PARK na kisha kuchukua vyumba katika hoteli hiyo. Siku iliyofuata, wakachukuliwa na magari ya mbugani na kisha kuanza kupelekwa sehemu mbalimbali katika mbuga hiyo.
Muda mwingi Katie alikuwa kimya ndani ya gari lile, macho yake yalikuwa yakimwangalia dereva ambaye alikuwa akiliendesha gari lile, Gibson. Gibson kwake alionekana kuwa kijana wa tofauti, umbo lake kubwa lilimvutia Katie.
Kwake, Gibson alionekana kuwa kijana mwenye mvuto, fulana yake aliyokuwa ameivaa ambayo ilimbana sana mwili ilimfanya mwili wake uliojazia kuonekana vizuri kabisa. Muda mwingi Katie alikuwa akiendelea kuutumia muda wake kumwangalia Gibson ambaye alikuwa bize akiwatembeza huku vijana wengine wawili wakitumia muda huo kuwaelekeza wazungu wale sehemu mbalimbali na kuwaonyeshea wanyama mbalimbali.
Akili ya katie haikuwa sawa katika wakati huo, mvuto ambao alikuwa nao Gibson ukaonekana kuusumbua moyo wake. Ni kweli kwamba alikuwa amewaona wanaume wengi na kufanya mapenzi na wanaume wengi pia lakini kwa Gibson hali ikaonekana kuwa tofauti sana.
Kwake, mwanaume huyo alikuwa na mvuto mkubwa, kifua kipana kilionekana kumchanganya kupita kawaida. Ingawa waigizaji wengine walikuwa bize kuwasikiliza vijana ambao walikuwa wakiwaelekeza mambo mengi lakini kwa Katie muda wote macho yake yalikuwa yakimwangalia Gibson.
Katie akashindwa kuvumilia, alichokifanya ni kuanza kupiga hatua kumfuata Gibson, alipomfikia, akaamua kumsogelea karibu zaidi. Gibson hakuonekana kuwa na wasiwasi, kwake, wazungu walionekana kuwa watu wa kawaida sana kiasi ambacho ilimjia vigumu sana kumtambua msichana wa kizungu kama alikuwa ameangukia katika mapenzi.
“Hi” Katie alimsalimia Gibson huku tabasamu pana likiutawala uso wake.
“Hi” Gibson aliitikia.
Katie akaanza kujiumauma. Wakati mwingine alikuwa akijishikashika kiuno, mara akiikutanisha mikono yake na kujishika huku akijipindapinda, kwa wakati huo alikuwa akijitahidi kuleta mapozi mengi ya kizungu ili Gibson aweze kuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea kwa wakati huo.
“Can I ask you something? (Naweza kukuuliza kitu?)” Katie alimuuliza.
“Yeah” Gibson alimwambia Katie.
Huo ndio ukawa mwanzo wa maongezi yao. Katika kila hatua ambayo ilikuwa ikiendelea kati yao, Gibson alikuwa akichukulia kawaida tu japokuwa muda mwingi Katie alikuwa akionyesha dalili zote kwamba alikuwa akimhitaji Gibson kwa kipindi hicho.
Dakika ziiendelea kwenda mbele, Gibson akaja kugundua kwamba Katie alikuwa kwenye hisia kali hasa mara baada ya kufanya tukio ambalo lilionekana kumshtua, kushika maeneo ya zipu yake.
Gibson alibaki akitetemeka, hakuamini kile ambacho Katie alikuwa amekifanya. Kwa mara ya kwanza alifikiri labda ilikuwa ni bahati mbaya lakini baada ya kuyapeleka macho yake usoni mwa Katie, msichana yule alikuwa akitabasamu tu.
“Mmh!” Gibson aliguna.
Kuanzia muda huo Katie hakutaka kuficha kitu chochote kile, akaanza kujionyesha dhahiri kwamba alikuwa ametekwa na mapenzi ya mwanaume huyo. Japokuwa Gibson alijitahidi sana kuzuga ili wazungu wengine wasiweze kuelewa kilichokuwa kinaendelea lakini hali ikaonekana kushindikana kabisa, kila mtu akafahamu.
Kwa sababu maisha yao yalikuwa ni ya kawaida, Katie hakutaka kujificha, akaamua kuwaambia wenzake kwamba kwa kipindi hicho moyo wake ulikuwa umetekwa kwa asilimia mia moja na Gibson. Gibson hakuongea kitu, muda wote alikuwa akijisikia aibu.
Muda wa kurudi hotelini ulipofika, wakaanza kurudi huku Katie akiwa kiti cha mbele kabisa. Katika kipindi hicho alikuwa akihakikisha kwamba anafanya kila liwezekanalo mpaka mwanaume huyo, Gibson anakuwa wake bila kujua kwamba Gibson alikuwa na mchumba aliyeitwa Prisca, ambaye alikuwa akimpenda kuliko mwanamke yeyote huku tumboni mwake akiwa na kiumbe alichosaidiana kutengeneza na Gibson, ujauzito.
****
Kijana Gibson alikuwa akijulikana sana katika mtaa wa Mwembechai sehemu ambayo alikuwa akiishi ndani ya jiji la Dar es Salaam. Maisha yake yalikuwa ni maisha ya kawaida sana, utafutaji wake ambao alikuwa akiufanya kila siku ndio ambao ulikuwa ukimuweka hapa mjini kila siku.
Gibson alimaliza Elimu ya kidato cha sita katika shule ya Sekondari Mbezi High iliyokuwa maeneo ya Mbezi ile ya kuelekea Kibaha. Katika maisha yake ya shuleni ndani ya shule hiyo, Gibson akafanikiwa kupata marafiki wengi ambao walikuwa wakivutiwa nae kutokana na ucheshi mkubwa ambao alikuwa nao.
Wasichana nao hawakuwa nyuma, walikuwa wakimpenda sana Gibson kiasi ambacho kila msichana akatamani kuwa nae. Gibson hakutaka kujirahisisha kabisa, kwa kipindi hicho maisha yake yalikuwa yakifikiria elimu tu.
Hakujua ni wapi alipokosea mpaka msimamo wake wa kutokutaka kuwa na msichana kupotea, akajikuta akiangukia katika mapenzi ya msichana Prisca. Uhusiano wao wa kimapenzi ukaanzia hapo. Mara kwa mara walionekana kuwa pamoja, wanafunzi wakaufahamu uhusiano huo japokuwa wao wenyewe walijaribu kuuficha ukweli.
Miezi ikaendelea kukatika mpaka pale ambapo wakamaliza elimu ya kidato cha sita na kukaa nyumbani kwa ajili ya kusubiria matokeo. Kwao, kumaliza kule kulionekana kuwa na unafuu, wakaanza kujiachia vya kutosha, walikuwa wakifanya mapenzi mara kwa mara hasa katika kila kipindi ambacho msichana Prisca alipokuwa akienda kumtembelea Gibson.
Miezi ikakatika na matokeo kutoka, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa amefanya vizuri, wote walikuwa wamefeli mitihani yao. Wote wakaonekana kuumia, hawakuamini kile ambacho kilikuwa kimetokea lakini ikawabidi kukubaliana na ukweli kwamba walikuwa wamefeli mitihani yao.
Maisha ya mitaani yakaanza. Kwa kuwa kila siku alikuwa akishinda sana nyumbani, akaanza kuonekana kuwa mzigo kwa wazazi wake. Mzee Lyimo ambaye alikuwa baba yake, akaamua kumpa kiasi cha shilingi milioni moja na nusu kwa ajili ya kwenda kuanzisha biashara.
Gibson akazitumia fedha zile vilivyo, akaanzisha biashara ndogo ndogo ambazo zikaanza kukua kila siku na kuanza kumuingizia fedha japokuwa hazikuwa nyingi sana. Bado uhusiano wake na Prisca ulikuwa ukiendelea kama kawaida.
Kila siku walikuwa wakitumia kinga. Mioyoni mwao hawakuwa na wasiwasi na magonjwa ya zinaa au UKIMWI bali walikuwa na wasiwasi na mimba tu. Ndani ya chumba cha Gibson, mipira ya kufanyia mapenzi ilikuwa mingi na alikuwa akiitumia katika siku ambazo Prisca alikuwa akija nyumbani hapo.
“Mmmh! Hili baridi” Gibson alimwambia Prisca huku manyunyu yakimwagika nje.
“Limefanya nini tena?” Prisca aliuliza.
“Linanipa hali fulani ya kuhitaji joto” Gibson alimwambia Prisca.
“Ngoja nikupe sweta” Prisca alimwambia Gibson huku akiachia tabasamu.
“Hapana. Hebu njoo karibu yangu” Gibson alimwambia Prisca ambaye akamsogelea pale kitandani na kisha kumkumbatia.
Hali ile ndio ambayo ikaonekana kuwa na unafuu kwa Gibson, kwa mbali akaanza kuhisi joto kutoka katika mwili wa Prisca. Gibson hakuona hali ile kutosha, akaamua kuipitisha mikono yake katika kiuno cha Prisca. Kadri muda ulivyozidi kwenda mbele na ndivyo ambavyo Gibson alivyozidi kuipeleka mikono yake zaidi na zaidi katika mwili wa Prisca, baada ya dakika chache, Prisca alikuwa mtupu.
Hilo ndilo lilikuwa lengo la Gibson, kilichofuata mahali hapo ni kuanza kumchezea Prisca. Aliendelea na mchezo ule mpaka pale alipoona ameridhika. Akaupeleka mkono wake katika boksi la mipira, hakukuwa na mpira hata mmoja.
“Da! Kumbe yote iliisha!” Gibson alijisemea moyoni.
Hakuwa na jinsi. Kwa hali ambayo alikuwa nayo mahali pale ilikuwa ni vigumu kuinuka na kuelekea duka la madawa kununua mipira, alichokifanya ni kufanya mapenzi na Prisca bila kutumia mpira wowote.
Hiyo ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kufanya mapenzi na Prisca bila kutumia mpira, hiyo ndio ilikuwa siku ambayo ikamsababishia Prisca kuanza kutapika na kujisikia kichefu chefu, siku hiyo ndio ambayo ilimfanya Gibson kujiandaa kuitwa baba.
Prisca akawa na ujauzito. Marafiki zake Gibson walikuwa wakimshauri mara kwa mara kwamba amwambie Prisca aende akautoe ujauzito ule lakini Gibson hakuonekana kukubali. Moyo wake ulikuwa ukimpenda sana mtoto wake ambaye alikuwa tumboni mwa mpenzi wake, Prisca.
Kutokana na kuwa bize na ujauzito wa Prisca, biashara zake zikaanza kuyumba. Faida aliyokuwa kipata alikuwa akiitumia kumtunza Prisca ambaye alionekana kuwa kwenye wakati mgumu. Kwa kuwa kipindi hicho alikuwa amepanga, hakutaka wazazi wake wafahamu kitu chochote kile.
Tayari Gibson alikwishaona kwamba mambo yalikuwa magumu. Kiasi cha fedha ambacho alikuwa amebaki nacho, akaamua kujifunza udereva. Alisoma kwa muda wa mwezi mmoja, alipoona amekuwa tayari, akaamua kwenda kusoma NIT ili aweze kuendesha magari ya viongozi mbalimbali wa Serikalini.
Gibson akawa dereva mzuri, masomo yake akawa amemaliza kwa kufanya vizuri mpaka pale ambapo alipewa cheti tayari kwa kuanza kazi pale ambapo angeipata. Kwa wakati huo, kiasi ambacho alikuwa amebaki nacho kilikuwa kidogo sana, akaamua kukibana hivyo hivyo mpaka pale kilipokwisha.
Kazi zikaonekana kuwa ngumu kupatikana. Aliangaika kwa muda wa miezi mitatu na ndipo alipoona kwenye gazeti kwamba kampuni ya Utalii ya Filbert Royal Tourism iliyokuwa Morogoro katika mbuga ya Mikumi ilikuwa ikitafuta madereva.
Gibson hakutaka kupuzia, japokuwa alikuwa amejaribu kuomba kazi sehemu nyingi na kukosa, hapo napo akaamua kujaribu. Baada ya wiki moja, akaitwa kwa ajili ya kufanyiwa usaili na alipoonekana kustahili, akaanza kazi.
Hiyo ikaonekana kuwa furaha kwake. Mshahara wake wa kwanza, akamsafirisha Prisca na kuishi nae mkoani Morogoro huku wazazi wa binti huyo wakiwa wameridhia kwa kila kitu. Ukaribu ambao alikuwa nao kwa mpenzi wake ulikuwa mkubwa, kila alipokuwa akitoka ofisini, moja kwa moja alikuwa akielekea nyumbani na kukaa na mpenzi wake, Prisca.
Maisha yaliendelea kila siku. Tumbo la Prisca kwa kipindi hiki lilikuwa kubwa. Alichokifanya Gibson ni kumuajiri mfanyakazi wa ndani kwa ajili ya kumwangalia mpenzi wake na kumfanyia kazi nyingine.
Simu ndio kilikuwa chombo ambacho alikuwa akipenda sana kukitumia kuwasiliana na Prisca kila alipokuwa mbali nae. Hakujisikia raha kama yalipita masaa mawili bila kuwasiliana na Prisca. Prisca, kwake alikuwa kila kitu, alimpenda kuliko msichana yeyote katika dunia hii.
Wasichana wa Morogoro wakaonekana kuvutiwa sana na Gibson ambapo mara kwa mara walikuwa wakimtaka kimapenzi. Gibson hakuonekana kukubaliana nao, hakuwa tayari kumsaliti Prisca kwa msichana yeyote yule, mapenzi ambayo alikuwa nayo kwa Prisca yalikuwa ni makubwa sana.
“Ninakupenda sana mpenzi wangu” Gibson ailimwambia Prisca.
“Ninakupenda pia”
“Ulikumbuka kwenda hospitali leo?” Gibson alimuuliza.
“Ndio”
“Dokta amesemaje baada ya kukupima?”
“Otea”
“Wa kike” Gibson alimwambia Prisca.
“Hapana”
“Kwa hiyo ni wa kiume?”
“Ndio” Prisca alijibu na kutoa tabasamu kali.
“Asante Mungu. Nilikuwa na kiu ya kupata mtoto wa kwanza awe wa kiume. Mungu amejibu maombi yangu” Gibson alimwambia Prisca.
“Kwa nini haukuomba wa kike?”
“Ninataka kwanza niwe na mlinzi wa nyumba yangu. Wa pili akiwa wa kike, nitafurahi zaidi. Hata kama baadae watakua, huyu wa kike inabidi awe na heshima kwa kaka yake” Gibson alimwambia Prisca.
“Kwani akiwa wa kwanza wa kike hatokuwa na heshima?”
“Hilo jibu niachie moyoni mwangu. Si unajua nyumbani kwetu wa kwanza ni wa kike! Niachie tu jibu langu kwani naamini mwenyewe umeshaona sana ulipokuwa ukija nyumbani” Gibson alimwambia Prisca.
Kwa wakati huo walikuwa wakipiga stori ambazo kwa mtu mwingine zingeonekana kuwa za kijinga lakini kwao zilikuwa ni stori nzuri ambazo zilimvutia kila mmoja. Waliendelea kuongea usiku kucha mpaka katika kipindi ambacho wote wakapitiwa na usingizi.


Je nini kitaendelea?
Je Katie ataweza kumpata Gibson?
Je Prisca ataweza kujifungua salama hapo baadae?
 
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😁😆😅😂🤣
 
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 3.


Siku ya leo haikuonekana kuwa nzuri kwa Gibson, alikuwa amefika nyumbani hapo huku akionekana kutokuwa na furaha kabisa, alikuwa katika hali ambayo ilikuwa ikimuonyeshea kuwa na unyonge wa hali ya juu. Prisca akaonekana kuishangaa hali ile, hakuwahi kumuona Gibson akirudi katika hali ya unyonge kama siku hiyo.
Prisca akawa na kiu ya kufahamu sababu iliyomfanya Gibson kuwa katika hali hiyo lakini wala Gibson hakuwa radhi kusema zaidi ya kusingizia kwamba hakuwa akijisikia vizuri kiafya, hakutaka kumwambia Prisca kwamba msichana Katie ambaye alikutana nae ofisini ndiye ambaye alikuwa amemsababishia hali ile.
Kichwa cha Gibson kikatawaliwa na jina la Katie, msichana yule, kwake alionekana kuwa msichana mrembo lakini hakuona kama alikuwa na urembo ambao ungemfanya kumsaliti mpenzi wake, Prisca. Bado alikuwa akimpenda Prisca, bado alikuwa akiona kuwa na uhitaji wa kuendelea kuwa mwaminifu kwa Prisca.
“Kichwa kinauma. Na ninadhani hata mafua yameanza kuuma pia” Gibson alidanganya.
“Pole mpenzi wangu. Ila naona ungekunywa dawa”
“Nimekwishakunywa ofisini. Nilikuwa sijisikii vizuri kwa kipindi kirefu sana” Gibson alimwambia Prisca.
Tayari Katie akaonekana kuanza kuharibu kila kitu moyoni mwake, alijitahidi sana kutokumfikiria lakini jambo hilo likaonekana kuwa gumu moyoni mwake. Kipindi cha nyuma hasa alipokuwa shuleni kabla hajampata Prisca alikuwa akitamani sana kuwa na msichana wa kizungu huku lengo lake kubwa likiwa kama tiketi ya urahisi ya kumfanya kuingia katika nchi za Ulaya au Marekani.
Kile kitu ambacho alikuwa akikifikiria, leo kilikuwa kimefika ila kilikuwa kimefika katika wakati mbaya sana. Hakujua ni kitu gani ambacho alitakiwa kufanya, Katie kwake nae alionyesha kuwa na mapenzi ya kweli huku akiwa hajui kabisa kwamba msichana yule alikuwa muigizaji bora wa filamu za ngono duniani.
“Siwezi kumsaliti Prisca” Gibson alijisemea.
Kesho asubuhi ilipofika, asubuhi na mapema kama kawaida yake akaanza kwenda ofisini. Bado akili yake ilikuwa ikimfikiria Katie ambaye alimuona kuwa na asilimia kubwa ya kuharibu mapenzi yake na Prisca. Gibson hakutaka kuficha, alichokifanya ni kumuita rafiki yake, Richard na kuanza kumpa taarifa.
“Da! Una zali ile kinoma” Richard alimwambia Gibson.
“Nina zali?”
“Sasa unataka niliite nini hilo? Demu wa kizungu mtu wangu, yaani hapo uhakika wa kupata viza nje nje bila usumbufu” Richard alimwambia Gibson.
“Kwa hiyo unataka nifanyeje?”
“Swali la kitoto hilo wewe. Mchukue tu. Lala nae. Yeye si ndio anavyotaka. Kula mshiko wewe” Richard alimwambia Gibson.
“Ushauri wako unaonekana kutokuniingia”
“Tatizo lako moja. Yaani unataka mpaka Mungu akutokee usiku akwambie kwamba hiyo ni nafasi yako ya kwenda Marekani na kuutoka umasikini. Acha hizo Gibson. Wakati mwingine baraka za Mungu zinakuja kimafumbo. Kama ukiiacha hii, haiji mara mbili” Richard alimwambia Gibson.
“Lakini si unajua ninaishi na mpenzi wangu, Prisca ambaye ni mjauzito?”
“Ndio. Ila ukiwa na huyu mzungu, Prisca atajua? Sikiliza Gibson, ngoja nikueleze kitu kimoja. Wasichana wa Kibongo si wa kuwawekea dhamana. Unaweza ukagoma kumchukua huyo mzungu kwa ajili yake, halafu huyo huyo Prisca baadae anakuja kutembea na mshikaji mwingine. Hii ndio nafasi. Wazungu wanasema ‘Nafasi ya dhahabu haiji mara mbili’. Yaani hata misemo ya wahenga umeisahau. Kama hautaki, basi acha ila baadae usije ukajuta tu” Richard alimwambia Gibson.
Maongezi yao yalikuwa yakiendelea zaidi na zaidi, muda wote Richard alikuwa akimwambia Gibson kuanza uhusiano na Katie. Ingawa maneno yale yalikuwa hayamuingii kabisa akilini, lakini kadri Richard alivyokuwa akimwambia na ndivyo ambavyo yakaanza kumingia akilini.
“Mmmh! Lakini inawezekana bwana kwamba Mungu ameamua kunipa baraka kimafumbo. Ngoja nami niitumie nafasi hii” Gibson alisema katika kipindi ambacho alikuwa akiitwa kwenda kuwachukua wazungu wale kuwaingiza ndani ya mbuga huku Katie akiachiwa nafasi ya mbele kabisa kukaa na dereva, Gibson.
****
Muda mwingi Gibson alikuwa akiyaangalia mapaja ya Katie ambaye alikuwa amekaa pembeni yake ndani ya gari lile. Kwa wakati huo, akili yake haikuwa mahali hapo tena, ilikuwa ikifikiria ngono tu. Tayari akajiona akianza kuvutwa katika himaya ya msichana yule ambaye alikuwa mcheza filamu za ngono mkubwa ambaye alikuwa akijulikana sana na watazamaji wa filamu zile.
Katie alijifanya kutulia huku akimuangalia Gibson kwa macho ya wizi, tayari akajiona kufanikiwa juu ya lile lengo lake ambalo alikuwa amejiwekea la kumteka kimapenzi Gibson. Katie akashindwa kujizuia, akaanza kumgusa gusa Gibson begani mwake, yaani wakati wote alikuwa akimgusagusa tu.
Walipofika mbugani, wote wakaanza kupitishwa huku na kule huku wakiangalia wanyama mbalimbali. Kwa wakati huo kichwa cha Gibson kilikuwa kikifikiria fedha, tayari akaonekana kugundua kuwa kama angekubali kuwa na Katie, kwa kiasi fulani angekuwa akipata fedha kutoka kwa msichana huyo.
Japokuwa Katie alikuwa akipenda wanyama na wazo la kwenda mbugani lilikuwa lake lakini kwa wakati huo hakuwa na habari na wanyama, kitu ambacho alikuwa akikifikiria kwa wakati huo ni kuwa pamoja na Gibson tu.
“Will you be ready? (Utakuwa tayari?)” Katie aliuliza.
“For what? (Kwa lipi?)”
“I need you tonight in my bedroom (Ninakuhitaji usiku wa leo chumbani kwangu)” Katie alimwambia Gibson.
Mawazo ya Gibson yakahama kwa wakati huo, akaanza kumkumbuka Prisca wake ambaye alikuwa amemuacha nyumbani akiwa mjauzito. Maneno yale ambayo aliyaongea Katie yalikuwa na maana kwamba kama alikuwa tayari kumsaliti Prisca usiku wa siku ile. Kichwa chake hakikuweza kutulia, alimpenda sana Prisca na alimpa ahadi nyingi huku miongoni mwa ahadi hiyo ikiwa ni ya kutokumsaliti katika maisha yake yote.
“Haiwezekani” Gibson alijisemea moyoni.
Huku akiwa amelifikiria jibu hilo, mara kumbukumbu ya rafiki yake Richard ikaanza kujirudia kichwani mwake. Maneno mengi ya Richard ambayo yalikuwa yakimtaka kutokuacha kumkubali Katie yalikuwa yakijirudia kichwani mwake.
Maneno yale bado yalikuwa yakijirudia kwamba ile ilikuwa ni bahati ambayo Gibson alikuwa ameipata na kamwe asikubali kuipoteza kwani kama angeipoteza kamwe isingeweza kurudi tena mikononi mwake.
Tayari hapo akatengeneza jibu la kitu gani ambacho alitakiwa kukifanya na ambacho kilionekana kuwa uamuzi sahihi kutoka moyoni mwake. Hakukuwa na kingine alichokifikiria zaidi ya kukubali kile ambacho kilikuwa kikitakiwa kufanyika na Katie.
“Kwani Prisca atajua? Hawezi jua bwana. Kwanza kufanya mapenzi na mwanamke wa kizungu bahati kwa sisi wenye ngozi nyeusi tuishio Afrika” Gibson alijisemea.
Akayarudisha macho yake usoni mwa Katie na kisha kuachia tabasamu pana ambalo lilionyesha kukubaliana na kile kitu ambacho alikuwa amezungumza Katie. Matembezi ndani ya mbuga ile yaliendelea zaidi na zaidi mpaka ilipofika saa kumi na mbili, muda ambao walitakiwa kurudi hotelini.
Kitu cha kwanza alichokifanya Gibson mara baada ya kufika hotelini ni kuanza kumtafuta Richard na kisha kumwambia uamuzi ambao alikuwa ameupanga na ambao aliuona kufaa kwa kipindi hicho.
“Kama umekubali hapo sawa. Wanawake kama hao ambao wanakuja kuja wewe chukua tu” Richard alimwambia Gibson.
“Ila kitu hii nataka kibaki siri kati yangu na wewe”
“Usijali. Yule mjauzito hatojua” Richard alimwambia Gibson.
“Baadae ndio naenda chumbani kwake”
“Safi sana. Ila kuna kitu nataka ukifanye”
“Kitu gani?”
“Mkamue hasa ukifika nae kitandani. Yaani mkamue hadi aite mama” Richard alimwambia Gibson.
“Du!”
“Usishangae wala kushtuka. Kama ukimkamua haswa, hata akifika Ulaya atakukumbuka na atakuwa akitamani kukutana nawe kimapenzi zaidi. Ila ukipiga rasharasha, hatorudi tena” Richard alimwambia Gibson ambaye akaonekana kuyakariri maneno yote.
Ilipofika saa tatu usiku, akashtuliwa simu na kwamba alikuwa akihitajika chumba namba ishirini na mbili. Kitendo cha kuitwa tu, tayari hamu ya kufanya mapenzi ikamshika, akaanza kupiga hatua za haraka haraka kuelekea katika mlango wa kuingilia chumba kile, alipoufikia, akapiga hodi na kuingia ndani.
Katie alikuwa amejilaza kitandani huku akiwa na nguo ya ndani tu. Mapigo ya moyo ya Gibson yakaanza kudunda, alipokikodolea vizuri kifua, kilikuwa kile ambacho alikuwa akikipenda sana na si kama cha Prisca ambacho kilikuwa kikiendelea kujaa tayari kwa kunyonyesha.
Akaanza kusogeza pale kitandani. Akapokelewa kwa mikono miwili na kuanza kuvuliwa nguo. Hiyo ndio ilikuwa siku ya kwanza kwa Gibson kumsaliti Prisca. Kadri alivyokuwa akiucheza mchezo ule na ndivyo ambavyo kichwa chake kilivyozidi kumkumbuka Prisca.
Walichukua masaa matano, wakawa wamekwishamaliza, wakaenda bafuni kuoga na kisha Gibson kuondoka chumbani mule huku mfukoni mwake akiwa amewekewa kiasi cha zaidi ya dola za Kimarekani elfu mbili mfukoni mwake bila kujijua.
Ilikuwa ni saa tisa usiku katika kipindi ambacho Gibson alikuwa akirudi nyumbani kwake kwa kutumia bajaji ambayo ilimpeleka salama. Alipofika nyumbani, akagonga hodi, mfanyakazi wa ndani, Hilda akaja na kuufungua mlango.
Prisca bado hakuwa amelala, muda wote huo alikuwa macho akimsubiria mpenzi wake. Usingizi kwake wala haukupatikana kabisa, mawazo kibao yalikuwa yamemsonga kichwani mwake. Moyo wake haukujisikia amani kabisa, alikuwa akimkumbuka mpenzi wake kupita kawaida.
Katika kipindi ambacho Gibson aliingia chumbani mule, akakaribishwa na kumbatio la nguvu na mabusu mengi mashavuni mwake. Kwa jinsi alivyoonekana kuwa na furaha, Prisca akashindwa kuvumilia, akajikuta akitokwa na machozi.
“Nimerudi mpenzi. Usilie, niko salama” Gibson alimwambia Prisca huku moyo wake ukijihukumu kwa kile ambacho alikuwa amekifanya hotelini.
“Nakupenda mpenzi. Nilikuwa na wasiwasi mpenzi” Prisca alimwambia Gibson.
“Usijali. Niko salama. Nimekumisi pia” Gibson alimwambia Prisca huku nae akianza kumbusu.
“Mbona ulizima simu mpenzi?”
“Iliisha chaji. Niliiacha ofisini nikiichaji huku mimi nikiwa nimewapeleka wazungu mbugani. Ila wazungu wa leo walikuwa wanazingua sana. Yaani mpaka wakatuchelewesha” Gibson alimwambia Prisca.
“Pole na kazi mpenzi. Vumilia, hayo ndio maisha”
“Usijali. Nitafanya kila liwezekanalo kwa ajili yako” Gibson alimwambia Prisca na kisha kumbusu.
Prisca akatoka nje ya chumba kile na kwenda kumuandalia mpenzi wake chakula. Muda wote ambao Gibson alikuwa akimwangalia Prisca, alikuwa akiendelea kujuta moyoni mwake. Alijuta kufanya mapenzi na Katie, alikosa amani kwa sababu alikuwa amemsaliti mpenzi wake.
“Sifanyi nae tena. Sitokubali kumsaliti mpenzi wangu kwa mara ya pili” Gibson alijisemea huku akionekana kujuta.
Akavua suruali yake. Huku akitaka kuitundika katika mbao ya kutundikia nguo, akajikuta akigusa kitu kama karatasi mfukoni mwake jambo lililomfanya kuuingiza mkono mfukoni mwake. Kiganja chake kikagusa karatasi kadhaa, alipozitoa zilikuwa dola.
Akazihesabu haraka haraka, zilikuwa ni dola elfu mbili ambazo zilikuwa zaidi ya milioni tatu. Uso wake ukaonyesha tabasamu, akaonekana kufurahi kupita kawaida. Akatamani kuruka ruka kwa furaka, akajikuta akijilaza kitandani.
“Haya ndio maisha bwana. Kwa staili hii, wala siwezi kumuacha, kesho nampa dozi zaidi” Gibson alisema huku akitabasamu.

Je nini kitaendelea?
Je nini kitatokea Gibson atakapoendelea zaidi kutembea na Katie?
Je Prisca atajua?
Na je Katie atajua kama Gibson ana mchumba mjauzito?
 
532051_539088922800191_395579138_n.jpg

MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269
MAHALI: DAR ES SALAAM.
MBUNIFU WA COVER: KINDO EMMANUEL

MCHEZA FILAMU ZA NGONO 1.

Kampuni ya kutengeneza filamu za ngono ya Digital Playground ndio ambayo ilikuwa ikivuma sana katika kipindi hicho duniani kutokana na filamu zake za ngono kuwa katika ubora mkubwa huku wakijitahidi kuwasainisha mikataba wasichana mbalimbali ambao walikuwa warembo kwa ajili ya kucheza filamu mbalimbali za ngono.
Kampuni hii ambayo ilianza mwaka 1988 ilikuwa kampuni ya tatu ya filamu za ngono zilizowahi kutengenezwa ambayo mpaka muda huo ilikuwa ikiendelea kuwepo. Makampuni mengi ya kutengeza filamu za ngono yalikuwa yamefilisika hadi hatua ambayo iliyafanya kutokuwepo kabisa na kusahaulika.
Wasichana wengi walikuwa wakitamani kujiunga na kampuni hiyo, hawakujali kama wangejiunga na kampuni hiyo viungo vyao vyote vya mwili vingeweza kuonekana na kila atakayekwenda kuziangalia filamu zile au la, kitu ambacho walikuwa wakikiangalia katika kipindi kile ni fedha tu.
Kampuni hiyo ndio ilikuwa kampuni ambayo ilikuwa ikiwalipa waigizaji wake kiasi kikubwa cha fedha huku nayo ikiingiza kiasi kikubwa zaidi kwa kufanya CD za video zao kununulika kupita kawaida na hata wakati mwingine kuendelea kuziuza katika mitandao mbalimbali duniani ukiwepo mtandao wa Brazzers.
Watu walikuwa wakiingiza fedha kupita kawaida, siku ya usaili wa kuchagua wasichana ambao wangeingia mikataba ifikapo, wasichana zaidi ya mia tano kutoka sehemu mbalimbali walikuwa wakikusanyika kwa ajili ya kufanyiwa usaili.
Kila msichana alitaka kuwa na jina kubwa pamoja na fedha nyingi kama alizokuwa nazo msichana Katie Mike ambaye alikuwa miongoni mwa masupastaa wakubwa ambao walikuwa wakicheza filamu hizo nchini Marekani ndani ya kampuni hiyo kubwa ya Digital Playground.
Katie alikuwa miongoni mwa matajiri wakubwa ambao walikuwa wakijishughulisha na kucheza filamu zile. Kazi yake ile ndio ambayo ilionekana kumpa fedha kila siku, kuuacha mwili wake wazi na kufanya mapenzi na wanaume mbele ya kamera ndio yalikuwa maisha yake ya kila siku.
Katie hakuonekana kujisikia aibu mbele ya kamera, kila alipokuwa mbele ya kamera, alikuwa akionekana kuwa makini na kazi yake kuliko muigizaji yeyote wa muvi zile. Katie akapata jina kubwa nchini Marekani hasa kwa kila mtu ambaye alikuwa akipenda kuangalia filamu zile.
Katie alianza kuigiza filamu zile tangu alipofikisha miaka kumi na nane. Maisha ya shida ambayo alikuwa akiishi kipindi cha nyuma ndio ambayo yalimsukuma kujiingiza katika uigizaji wa filamu zile. Wazazi wake walikuwa wamekwishafariki, hakuwa na ndugu yeyote yule, maisha ya mitaani ndio yalikuwa maisha yake.
Alipofikisha umri wa miaka kumi na saba huku akiwa bado mtaani ndipo hapo alipoona tangazo kwamba watu ambao walikuwa wakitaka kuigiza muvi za ngono walikuwa wakihitajika kwa ajili ya kufanyiwa usaili katika kampuni ya filamu zile ya Digital Playground. Katie hakuonekana kuamini, kila siku alikuwa akihitaji kupata fedha kwa ajili ya kujikimu na maisha yake ya tabu, tangazo lile kwake likaonekana kuwa kama bahati kubwa na nzuri, hivyo hakutaka kuiacha ikipita.
Siku iliyofuata asubuhi na mapema akaelekea bafuni kuoga. Kitu cha kwanza ambacho alikifanya bafuni mule ni kuangalia sehemu zake za siri. Alichukua muda mrefu kuziangalia na kisha kuanza kuoga. Ingawa alijua kwamba alikuwa na umri mdogo lakini wala hakuonekana kujali, hakuonekana kuhofia kitu chochote kile, bado alikuwa akitaka kuwa miongoni mwa waigizaji wa muvi zile.
Alipomaliza kuoga, akajiandaa na kuanza kuelekea katika ofisi za kampuni ile. Wanawake zaidi ya mia saba walikuwa wamefika mahali pale. Walikuwa wanawake wa kila rika na kila ngozi. Walikuwepo wanawake wa kizungu, kiarabu, waswahili na hata wahindi na waarabu.
Kila mtu alikuwa akitaka kufanyiwa usaili na hatimae aanze kuigiza filamu zile huku lengo likiwa ni kupata fedha tu. Kila mtu ambaye alimuona Katie alionekana kumshangaa, hakukuwa na mtu ambaye aliamini kama Katie angekuwa miongozi mwa wanawake ambao walikuwa mahali pale.
Kwa muonekano tu, alionekana kuwa binti mdogo ambaye hakuwa amefikisha miaka kumi na nane. Huku akiwa amepanga foleni kwa ajili ya kuchukua namba kwenye kidirisha, akajikuta akifuatwa na wanaume wawili na kisha kutolewa katika foleni ile.
“What are you doing here? (Unafanya nini hapa?)” Mwanaume mmoja alimuuliza kwa sauti iliyojaa ukali kidogo.
“I want to be a porn movie star (Nataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alijibu huku akimwangalia mwanaume yule aliyemuuliza swali lile.
Katie hakuonekana kujisikia aibu hata kidogo, lengo lake kwa wakati huo lilikuwa ni kutaka kuigiza filamu za ngono tu kwa ajili ya kupata fedha na kumuondoa katika umasikini ambao alikuwa nao. Wanaume wale wakabaki wakiangaliana tu, hawakuamini kama Katie angekuwa jasiri kuwajibu namna ile.
“Damnfool! You are fucking too young, get out of here! ( Pumbafu kabisa! U mdogo mno, toka mahali hapa)” Mwanaume yule alimwambia Katie huku akionekana kukasirika.
Katie hakutaka kuondoka, bado alikuwa aking’ang’ania kubaki mahali hapo kwa ajili ya kuchukuliwa na kupelekwa katika usaili. Fujo ikaanza kutokea, wanaume wale walikuwa wakimtaka Katie aondoke mahali pale lakini Katie hakutaka kuelewa kitu chochote kile, bado alikuwa aking’ang’ania kubaki na kuingia kwenye usaili.
Maisha ya mitaani yakaonekana kumharibu Katie, fujo ambazo alikuwa akizileta mahali pale zilikuwa kubwa. Hakushikika kirahisi, alikuwa akileta sana fujo mpaka kufikia hatua Meneja wa kampuni ile kutokea mahali hapo hasa baada ya kusikia kelele.
“What the hell is going on here? (Nini kinaendelea hapa?)”
“This kid (Huyu mtoto)”
“What the hell with her? (Amefanya nini)”
“She wants to be a porn movie star (Anataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Mwanaume yule alijibu hali iliyowasababisha wanawake ambao walikuwa wamepanga foleni kuanza kucheka.
“You must be kiddin’ me (Ni lazima mtakuwa mnanitania)” Meneja yule, Bwana Donald alisema huku akionekana kushangaa.
“I want to be a porn movie star (Ninataka kuwa muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alimwambia Bwana Donald ambaye akaonekana kutokuamini.
Alichokifanya Bwana Donald ni kumchukua Katie na kuanza kuelekea ofisini mwake kwani aliona kama binti yule angeendelea kubaki mahali pale basi fujo zaidi zingeendelea kutokea mahali pale. Walipofika ofisini, akaambiwa akae kwenye kiti kimojawapo kati ya viti vilivyokuwa ndani ya ofisi ile na kisha mazungumzo kuanza.
“Unasema unataka kuwa nani?” Bwana Donald alimuuliza.
“Muigizaji wa filamu za ngono” Katie alijibu huku akijaribu kuyafuta machozi yaliyokuwa yakimtoka.
“Unaitwa nani?”
“Naitwa Katie Mike”
“Una miaka mingapi?”
“Kumi na saba”
“U mdogo sana Katie. Hatuwezi kukuajiri katika kampuni hii, na kama tukifanya hivyo basi tunaweza kuchukuliwa hatua kali za kisheria na Serikali. Hatutaki jambo hilo litokee” Bwana Donald alimwambia Katie.
“Nataka kuigiza”
“Haiwezekani. Nenda nyumbani, tutakapohitaji watu wengine mwaka kesho, utatakiwa uje na kujaribu bahati yako” Bwana Donald alimwambia Katie.
Katie hakuonekana kuelewa kitu chochote kile, bado alikuwa aking’ang’ania kuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu zile za ngono. Bwana Donald akaonekana kumsoma Katie, tayari aliona kuna kitu ambacho kilikuwa kinaendelea katika maisha ya msichana yule.
“Unaishi wapi?”
“Mtaani?”
“Mtaani? Mtaa upi?”
“Woodmere 45”
“Unaishi na nani?”
“Na wenzangu”
“Wenzako wakina nani?”
“Wenzangu. Watoto wenzangu”
“Mungu wangu! Kwa hiyo wewe ni mtoto wa mitaani?”
“Ndio”
“Ok! Nimeshaelewa.” Bwana Donald alisema.
Hapo hapo Bwana Donald akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa pochi yake, akaifungua na kutoa kiasi cha dola mia tatu na kumkabidhi Katie. Kiasi kile kikaonekana kuwa kikubwa kwa Katie, akakichukua na kukiweka katika mifuko ya suruali yake ya jinzi.
“Sisi kama kampuni tutakuwa tunakutunza mpaka mwaka ujao utakapofika. Tutakupa mkataba bila kukufanyia usaili wowote ule. Tutakusaidia kwa kila kitu katika kipindi hiki. Kama itawezekana, kila mwisho wa wiki njoo uchukue kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kukusaidia katika maisha yako ya kila siku. Utakapofika mwaka kesho, tutakupa mkataba na kuanza kuigiza filamu hizo katika kampuni yetu hii” Bwana Donald alimwambia Katie ambaye akaonekana kuelewa na kuondoka mahali hapo.
Kuanzia hapo kidogo maisha ya Katie yakaanza kubadilika, kiasi cha fedha ambacho alikuwa akikipata kila wiki kilionekana kumsaidia. Kitu alichokifanya kwa wakati huo ni kuanza mazoezi mapema. Akaanza kufanya mapenzi na vijana mbalimbali wa mitaani, kitu ambacho alikuwa akikihitaji sana katika kipindi hicho ni kuizoesha njia yake sehemu za siri ili hata atakapoanza kazi hiyo asiweze kusikia maumivu yoyote yale.
Kati ya wavulana wote ambao alikuwa akifanya nao mapenzi, Daniel. akaonekana kuvutiwa nae. Daniel akaanza kumpenda Katie. Mara kwa mara Daniel alikuwa akifanya mapenzi na Katie. Kwake akaanza kumchukulia kama mpenzi wake japokuwa kichwani mwa Katie kulikuwa na kitu kingine kabisa, alikuwa kwenye mazoezi mazito.
Kila siku Daniel alijitahidi kumwambia Katie maneno mbalimbali ya mapenzi lakini Katie hakuonekana kuelewa kitu chochote kile, kwake hakuhitaji uhusiano. Uhusiano wala haukuwa ukikubaliwa hata kidogo lakini kila wakati Daniel alipohitaji kufanya mapenzi na Katie, Katie hakuweza kuleta kipingamizi chochote kile.
Siku ziliendelea kukatika, njia ya sehemu ya siri ya Katie ikajitosheleza. Mwaka ukaisha na mwaka mwingine ulipoingia, mwezi wa nne, akaanza kuelekea katika ofisi ile huku akiwa amekwishafikisha miaka kumi na nane. Kwa sababu walimuona kuwa mtu wao, moja kwa moja Katie akasaini mkataba wa kulipwa kiasi kikubwa cha fedha na kisha kuanza kazi ya kuigiza filamu za ngono katika kampuni hiyo ya Digital Playground iliyokuwa nchini Marekani katika jiji la New York.
Kwa sasa, miaka saba ilikuwa imepita, kwa kipindi hiki Katie alikuwa na miaka ishirini na tano. Tayari kile ambacho alikuwa akikihitaji alikuwa amekwishakipata. Alikuwa akimiliki kiasi kikubwa cha fedha. Kwa kuwa alikuwa amejiingiza katika uigizaji wa filamu zile, kamwe hakuacha, bado alikuwa akiigiza zaidi na zaidi.
Daniel hakuwa akilini mwake katika kipindi hicho. Aliamua kutengana nae mara tu alipoanza kuigiza filamu zile. Jina lake lilikuwa kubwa sana, alikuwa akiigiza filamu nyingi sana ambazo zilikuwa zikiingizia kampuni kiasi kikubwa cha fedha.
Uzuri wake ndio ambao uliwafanya watu kupenda kununua filamu ambazo alikuwa ameigiza. Filamu nyingi ambazo zilikuwa zikitengenezwa na kampuni ile zilikuwa ni filamu ndefu zilizojaa visa lakini zilikuwa zimejaa ngono kila wakati. Picha zake zilikuwa zikitolewa kwenye majarida na magazeti mbalimbali, utajiri wake ulikuwa mkubwa.
“Kuna filamu moja inatupasa kuigiza” Bwana Donald aliwaambia waigizaji na kuendelea.
“Filamu hii itaigizwa barani Afrika hasa katika nchi moja iitwayo Tanzania. Sehemu ambayo tutakwenda kuigiza baadhi ya vipande vya filamu hii ni Zanzibar kwa sababu kuna hoteli nzuri na mandhari mazuri pia. Miswada imeshaandikwa, wasanii jiandaeni, kama kawaida, Katie utakuwa muigizaji mkuu. Miswada ni rahisi kuishika. Tutasafiri wiki ijayo kuelekea huko. Jiandaeni vilivyo” Bwana Donald aliwaambia hali ambayo iliwafanya waigizaji kuwa na furaha.

Safari yetu ndefu imekwishaanza.
Unajua ni nini kitaendelea nchini Tanzania?
Je watafanikiwa kuiigiza filamu hiyo ya ngono?
Je nini kitaendelea katika maisha ya Katie?

Una 0 brain kuleta mada hii tujifunze nini
 
Story tamuuuu imefanya nimeunguza maini yangu maandazi wewe endelea
 
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 4.

Gibson akaonekana kuanza kujisahau kabisa, mara kwa mara alikuwa akifanya mapenzi na Katie hotelini. Alimsaliti sana Prisca lakini katika hayo yote ambayo alikuwa akiyafanya, yalikuwa yakimpatia fedha nyingi kwa kumridhisha Katie kwa namna ambayo alikuwa akiitaka.
Kuanzia hapo hakukuwa na siri tena, mapenzi yao yakajulikana kwa kila mfanyakazi wa kampuni ile ya Utalii katika mbuga ya wanyama ya Mikumi. Mara kwa mara walikuwa wakitoka na kwenda katika sehemu nyingine mbalimbali, kimuonekano wa nje, Gibson alikuwa amekwishaanza kubadilika.
Siku ambayo waigizaji walitakiwa kurudi nchini Marekani ikafika lakini Katie hakutaka kurudi, bado alikuwa akihitaji muda zaidi wa kutanua na Gibson ambaye alionekana kuwa kama mpenzi wake wa dhati.
Akili ya Gibson ilikuwa ikifanya kazi sana na mara kwa mara alikuwa makini sana na kila kilichokuwa kinaendelea katika maisha yake. Kwanza hakutaka kuonyesha mabadiliko yoyote yale kwa mpenzi wake, Prisca, kila siku alikuwa akimjali huku kila alipokuwa akirudi nyumbani kwake alikuwa akikaa nae karibu sana.
Ilikuwa ni vigumu sana kwa Prisca kugundua kama Gibson alikuwa ameanza kutoka nje ya uhusiano wao katika kipindi hicho. Mapenzi yalikuwa yameongezeka hasa na hii ilitokana na kiasi kikubwa cha fedha ambacho alikuwa akikipata kila siku.
“Bado miezi miwili mpenzi nikajifungue” Prisca alimwambia Gibson ambaye akaonyesha tabasamu pana.
Gibson akaanza kulishaika tumbo la Prisca, tabasamu likaongezeka usoni mwake, maneno ambayo aliambiwa na Prisca yalionekana kumfurahisha kupita kawaida. Bado alikuwa akitamani kupata mtoto katika maisha yake, kila siku alitamani kuitwa baba.
“Nitafurahi nikimuona mtoto wangu. Ninapenda kuiona damu yangu” Gibson alimwambia Prisca.
Huo haukuwa mwisho wake wa kuendelea kuwa pamoja na Katie, mahusiano yao yalikuwa yakiendelea kama kawaida huku wakiendelea kusafiri sehemu mbaimbali na kufanya kila kitu kama wapenzi.
Bado Prisca hakuonekana kuwa na wasiwasi, moyo wake ulikuwa ukiendelea kumuamini Gibson kupita kawaida. Hata alipokuwa akihoji kuhusu fedha nyingi ambazo alikuwa akizipata, majibu ambayo alikuwa akipewa yalionekana kumridhisha kwa asilimia mia moja.
“Kuna safari tunatakiwa kwenda kesho” Gibson alimwambia Prisca.
“Safari ya wapi tena?”
“Mbuga ya Ngorongoro. Kuna wazungu wamepanga kwenye ile hoteli yetu wanataka tuwapeleke huko” Gibson alimwambia Prisca.
“Na mtarudi lini?”
“Bado sijajua. Nafikiri bosi akituambie siku ya kurudi, nitakutaarifu simuni” Gibson alimwambia Prisca.
Prisca hakuonekana kuwa na wasiwasi hata kidogo, bado moyo wake ulikuwa ukimuamini Gibson kupita kawaida, kwa moyo mmoja akakubaliana nae. Gibson akaonekana kuwa na furaha, hadi kipindi hicho hakuamini kama kweli Prisca alikuwa akikubaliana nae na wakati alikuwa akimsaliti.
Kiukweli, hakukuwa na safari ya Ngorongoro kama alivyomwambia Prisca bali alikuwa akitaka kupata siku tatu mfululizo kuwa pamoja na Katie. Mapenzi ya Katie yakaonekana kumlevya kupita kawaida, fedha ambazo alikuwa akipewa mara kwa mara na mwanamke huyo wa kizungu zikanekana kumteka kupita kawaida.
Safari hii, Kati akalipa kiasi cha dola elfu moja mia tano kwa ajili ya Gibson na kumkabidhi bosi wa kampuni ile. Wote kwa pamoja wakaanza kuelekea Arusha ambako huko wakala sana raha na kisha kuelekea visiwani Zanzibar. Katika kila kona ambazo walikuwa wakienda, walikuwa wakipeana mapenzi ya dhati huku Gibson akijitahidi kufanya ngono na Katie, ile ngono ya uhakika ambayo ilikuwa ikimchanganya sana Katie.
Walikaa Zanzibar kwa siku mbili na ndipo wakarudi tena Morogoro.Gibson hakutaka kumwambia Katie kama alikuwa na msichana ambaye alikuwa akiishi nae kwa wakati huo, alichokisema yeye ni kwamba alikuwa akiishi peke yake na wala hakuwa na uhusiano na msichana yeyote yule.
“Kwa hiyo utanioa?” Katie alimuuliza.
“Muda wowote ukitaka” Gibson alimwambia Katie ambaye akaonyesha tabasamu pana la furaha.
Katie hakutaka kuendelea kukaa sana Tanzania, alichokifanya kwa wakati huo ni kumuachia kiasi cha dola elfu kumi Gibson na kisha kuelekea nchini Marekani huku akiahidi kuwasiliana nae kila siku.
Maisha ya Gibson yakaanza kubadilika, kila mtu mtaani alionekana kushangaa lakini wala hakuonekana kujali. Shida ambazo walikuwa wamezipitia zikaonekana kubaki kuwa kama historia ambazo zingekumbukwa tu vichwani mwao.
Bado Prisca hakuonekana kufahamu sehemu ambazo fedha zile zilipokuwa zinatoka kwani kila alipokuwa akiuliza, majibu ambayo alikuwa akipewa hayakuwa yakieleweka sana. Gibson hakutaka kubadilika, bado mapenzi yake kwa Prisca yalikuwa yakiendelea vile vile, alikuwa akimpenda kupita kawaida huku akimfanya kuwa na furaha kila siku.
Mawasiliano kati yake na Katie yalikuwa yakiendelea mara kwa mara kwa siri, alikuwa akipigiwa simu na kuongea nae, alikuwa akitumiwa zawadi mbalimbali pamoja na fedha nyingine nyingi.
Gibson hakutaka kumsahau rafiki yake, Richard ambaye alikuwa amempa ushauri mkubwa wa kutembea na Katie, mtu huyo ndiye ambaye alionekana mtu ambaye alikuwa na ushauri mkubwa katika maisha yake.
“Sasa si unaona bahati hiyo. Ulikuwa unaogopa nini sasa?” Richard alimuuliza Gibson.
“Unajua nilikuwa nimefunikwa na ujinga. Asante sana Rich”
“Usijali. Wewe ni rafiki yangu, hautakiwi kuwa na wasiwasi” Richard alimwambia Gibson.
“Asante sana. Ila kuna safari nataka unisindikize” Gibson alimwambia Richard.
“Safari ya wapi tena?”
“Kuelekea Dar es Salaam”
“Kufanya nini?”
“Kununua gari. Nataka niwe na gari kwanza kabla ya kujenga nyumba” Gibson alimwambia Richard.
“Dah! Yaani umeshafika huko. Kweli ulikuwa na bahati”
Siku mbili zilizofuata, wakasafiri kuelekea jijini Dar es Salaam ambako wakarudi na gari aina ya Opa. Kuanzia hapo maisha ya Gibson yakabadilika kabisa. Kwanza akaacha kazi na kuanzisha biashara zake kubwa. Maisha yake yakahamia jijini Dar es Salaam. Katika kipindi hiki hakutaka kuishi na Prisca kama mpenzi wake bali akaanza kuishi nae kama mke wake baada ya kufunga ndoa huku wakiishi pamoja na mtoto wao wa kiume, Genuine.
“Mwaka umepita bila kukuona mpenzi” Gibson alikuwa akichati na Katie katika mtandao wa Bearshare
“Nafahamu mpenzi. Mambo yamekuwa mengi sana. Ila ningependa uje huku ukae nami japo mwezi mmoja tu” Katie alimwambia Gibson.
“Mimi kuja huko?”
“Ndio. Kwani kitu gani kinashindikana?”
“Tatizo viza. Ubalozi wenu unasumbua sana”
“Usijali. Nitakutumia kadi ya mualiko. Kila kitu nitashughulikia mimi mwenyewe” Katie alimwambia Gibson.
“Sawa”
Kuanzia hapo, Gibson akaanza kujiandaa na safari ya kwenda Marekani kuonana na mpenzi wake, Katie. Maandalizi yake yakaanza kuwa ya chini chini ila mwisho wa siku akaamua kumwambia Prisca juu ya safari hiyo.
“Kwa hiyo unakwenda kufanya nini huko?”
“Kuna watu fulani nakwenda kuonana nao kwani nataka kufungua kituo cha watoto yatima. Mimi kama mimi siwezi, ninahitaji sana msaada kutoka kwa watu wengine. Ninakwenda huko kuonana nao, kama mambo yatakwenda vizuri, nafikiri watanisaidia kiasi fulani cha fedha na ndipo nitaanza kufungua kituo hicho” Gibson alidanganya.
“Kwa maana hiyo hao watakuwa kama wafadhili?”
“Yap. Hiyo ndio maana yangu mke wangu” Gibson alimwambia Prisca.
Siku zikaendelea kukatika huku mawasiliano ya siri kati yake na Katie yakiendelea kama kawaida. Waliwasiliana kwa meseji huku wakati mwingine wakiwasiliana kwa maongezi kwa kutumia mitandao mbalimbali.
Kila mmoja akaonekana kuwa katika mapenzi ya dhati lakini kwa Gibson akaonekana kuishi kwa tahadhali ili mke wake kipenzi asiweze kufahamu kitu chochote ambacho kilikuwa kinaendelea kwa wakati huo.
“Nitakufanyia saplaizi kubwa sana mpenzi” Katie alimwambia Gibson.
“Niambie mpenzi. Ipi hiyo?”
“Mbona una haraka? Wewe njoo tu uje uione” Katie alimwambia Gibson.
Kuanzia hapo akili ya Gibson haikuweza kutulia, kila wakati alikuwa akiifikiria saplaizi ambayo alikuwa ameambiwa na Katie. Alishindwa kufahamu ni kitu gani ambacho alikuwa ameandaliwa. Alitamani aondoke haraka na kwenda nchini Marekani, akili yake kwa wakati huo ilikuwa ikiendelea kufikiria fedha tu.
Alikuwa na fedha nyingi sana lakini bado alikuwa akihitaji zaidi na zaidi. Ndoto za kuwa tajiri mkubwa ndizo ambazo zilikuwa zikitawala kichwani mwake kwa wakati huo. Alihakikisha anakuwa na Prisca mpaka pale atakapoona amechukua fedha nyingi sana kutoka kwa msichana huyo ambaye kwake alionekana kutoka katika moja ya familia za kitajiri nchini Marekani.
“Mmmh! Huyu msichana ameniandalia nini? Mbona ameushtua sana moyo wangu? Haiwezekani, ngoja niende” Gibson alijisemea.
Siku ya kupanda ndege ikawadia na kama kawaida alifika uwanjani katika muda husika na kupanda ndege ya shirika la American Airways. Kwa wakati huo akili yake ilikuwa ikifikiria saplaizi ambayo alikuwa ameandaliwa na mpenzi wake, Katie.
Moyoni hakujua kama saplaizi hiyo ndio ambayo ingemletea matatizo makubwa, hakujua kama saplaizi hiyo ndio ambayo ilimpelekea hata Prisca kufahamu kile ambacho alikuwa amekifuata nchini Marekani, hakujua kama saplaizi hiyo ndio ambayo ilimpelekea kujuta kutembea na Katie huku saplaizi hiyo ndio ikimuwekea kifungo cha kuonana na Prisca kwa kipindi kirefu kijacho.

Je nini kitaendelea nchini Marekani?
Je ni saplaizi gani ambayo Katie ameandaa kwa ajili ya Gibson?
Je Prisca ataweza kugundua kinachoendelea kwa mpenzi wake?
Itaendelea kesho saa nne.

Kwa hadithi za kizushi kama zile za facebook chatting click hapa kisha ulike page hii.

www.facebook.com/DnIhEbTheScEneAmUynYaPAzIa
 
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 5.

HADITHI NIMEITOA NDEFU SANA KWA SABABU NILIPOTEZA MUDA WENU MWINGI. UNAPOONA IMEKUANDIKIA 'SEE MORE' AU 'NEXT PAGE' BASI WEWE SHARE NA UTAWEZA KUISOMA YOTE, IKISHINDIKANA NJOO KWENYE WALL YANGU HAPA www.facebook.com/nyemoc


Katika kipindi cha kurudi nchini Marekani, Katie hakuonekana kuwa na furaha kabisa, muda mwingi alikuwa akimfikiria mpenzi wake, Gibson ambaye alikuwa amemuachana nchini Tanzania. Ukweli wa moyo wake, hakutaka kabisa kurudi nchini Marekani, bado alikuwa akihitaji muda wa kukaa na Gibson mpaka pale ambapo nafsi yake ingeridhika kabisa.
Alikuwa akirudi nchini Marekani kwa kulazimishwa tu kwa sababu uzinduzi wa filamu yao mpya ulikuwa ukitaka kufanyika katika hoteli ya Grand Evenue ambayo ilikuwa katika jiji la Hollywood nchini Marekani. Ndani ya ndege mawazo yake wala hayakumuisha hata kidogo, bado alikuwa akiendelea kumfikiria mpenzi wake, Gibson.
Mapenzi na Gibson yakaonekana kumteka kupita kawaida, shughuli ambayo alikuwa akiipata kitandani kipindi cha nyuma ilimfanya kumuamini Gibson kwamba angekuwa mfariji wake wa maisha katika mambo yote ya kitandani.
Ndege ilichukua zaidi ya masaa thelathini ndipo ikaanza kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa John F. Kennedy uliokuwa katika jiji la New York. Mabosi wake walikuwa katika uwanja huo wakimsubiri, pale alipowasili, safari ya kuelekea nyumbani kwake kuanza.
Kuanzia hapo maisha yake yakawa ni kuendelea kuigiza kama kawaida. Uzinduzi wa filamu yao ile ulipofanyika, kila mmoja akabaki na mshangao, ilionekana kuwa filamu nzuri ya ngono ambayo ingeuza sana duniani.
Kila mtu alikuwa akimmwagia sifa Katie kwa ushiriki wake mzuri ambao alikuwa ameigiza ndani ya filamu ile ya ngono. Kwa mashabiki wa filamu zile, aliwathibitishia kwamba alikuwa bora, na ubora wake ungeendelea zaidi ya pale.
Mwezi ukakatika, bado mawasiliano yake na Gibson yalikuwa yakiendelea kama kawaida. Walionyeshana kujaliana na kusikilizana, mapenzi moto moto ya simuni na mitandaoni ikaonekana kuwateka kupita kawaida.
Katie hakusitisha misaada yake ya kifedha kwa Gibson, mara kwa mara alikuwa akimtumia kiasi kikubwa cha fedha ambacho kilikuwa kikiyabadilisha maisha ya Gibson ambaye alikuwa akiishi na mkewe, Prisca bila Katie kufahamu kitu chochote kile.
Mara nyingi sana Katie alikuwa akipata wazo la kuja nchini Tanzania lakini mipango yake yote ilikuwa ikiingiliwa na filamu mbalimbali ambazo alikuwa akitakiwa kuigiza. Wazo moja likamjia kichwani mwake, alijiona kuwa na uhitaji wa kuwasiliana na Gibson na kumwambia kwamba alitakiwa kwenda nchini Marekani.
Wazo lake hilo wala halikupata vikwazo kichwani mwake ila alikuwa akisubiria muda maalumu wa kumwambia Gibson juu ya wazo lake ambalo aliamini kwamba lingemfurahisha kupita kawaida.
Miezi mingine sita ikakatika na kufikisha mwaka mmoja, Gibson bado alikuwa katika kichwa chake, filamu, kwake hazikuonekana kuwa na faida yoyote ile, alijiona kuwa na uhitaji wa kumuona mpenzi wake huyo ambaye hadi katika kipindi hicho alikuwa amemkumbuka kupita kawaida.
Akaona lingekuwa jambo zuri sana kama angeandaa saplaizi fulani kwa ajili ya mpenzi wake huyo. Kila aina ya saplaizi ambayo alikuwa akiiona kufaa kichwani mwake alikuwa akiingana nayo, mwisho wa siku akafikiria kuhusu kufunga ndoa na Gibson.
Kwake, wazo hilo la saplaizi yake likaonekana kupitishwa kwa nguvu zote kichwani mwake. Akamtaarifu Gibson juuya saplaizi ambayo alikuwa amemwandalia bila kumwambia ni aina gani ya saplaizi hiyo.
Alichokifanya ni kuanza kuwasiliana na marafiki zake kuhusu harusi yake ambayo angefunga muda wa siku chache zijazo. Kila mtu akaonekana kushtuka, hawakuamini kama kungekuwa na mwanaume ambaye angediriki kumuoa Katie na kumruhusu kuendelea na kazi yake ya kuigiza filamu za ngono.
Kila mtu akataka kumfahamu mwanaume huyo ambaye alikuwa akitaka kufunga ndoa na Katie. Magazeti mbalimbali nchini Marekani yakaanza kuchapisha taarifa ile jambo ambalo lilimfanya kila mtu kuwa na hamu ya kuiona harusi hiyo ikifanyika.
“Am getting married soon (Ninaolewa hivi karibuni)” Katie aliwaambia marafiki zake huku akionekana kuwa na furaha.
“Who is going to marry you? (Nani anakwenda kukuoa?)”
“Gibson”
“Who is he? (Ndiye nani?)
“The man I met in Africa. Dont you remember him? (Mwanaume niliyekutana nae Afrika. Hamumkumbuki?)” Katie aliwauliza.
“A driver? (Dereva?)
“Yeah! He is the one (Yeah! Ndiye yeye)” Katie alijibu huku akionekana kuwa na furaha.
Mipango ya harusi bado ilikuwa ikifanyika, tarehe ya kufunga ndoa ikatangazwa, kila mtu akatamani japo kumuona mwanaume huyo ambaye alikuwa amejitoa mhanga kwa ajili ya kumuoa Katie.
Marafiki zake wakaweka oda za zawadi mbalimbali kutoka kwenye maduka tofauti tofauti kwa ajili ya Katie. Katie hakutaka kutulia, kila siku alikuwa mtu wa kumwambia kila rafiki yake juu ya harusi ambayo alikuwa akitaka kufunga.
Alikuwa na hamu ya kumwambia Gibson juu ya ile saplaizi ambayo alikuwa amemuandalia lakini akaona isingekuwa jambo zuri kama angemwambia. Katie alikuwa akichukulia kila kitu kuwa kawaida, alikuwa akimpenda sana Gibson, hakuwa tayari kumuona akiondoka mikononi mwake.
Hakupewa taarifa na Gibson kama alikuwa ameoa. Alimchukulia kuwa mvulana wa kawaida ambaye alikuwa akiishi maisha ya peke yake. Kwa wakati huo alijiona kuwa na uhitaji wa kuwa na mume, nae aitwe mke wa fulani jambo ambalo lingemfanya kufurahi kupita kawaida.
Wazo la kuacha kuigiza filamu za ngono bado hakuwa ameamua kama angeacha au la, ila kitu ambacho alikiona ni kuongea na mume wake huyo na kupata uamuzi kama alitakiwa kuachana nalo au aendelee nalo.
Siku ambayo Gibson aliingia nchini Marekani, Katie alikwenda kumpokea uwanja wa ndege. Ile kuonana tu, wote wakaanza kukimbiliana na kukumbatiana. Wote wakaonekana kuwa na furaha, watu ambao walikuwa akimfahamu Katie, wakaanza kumpiga picha kwani kitendo cha kumuona mtu mashuhuri kama yeye lilikuwa jambo adimu sana nchini Marekani.
“I missed you (Nilikukumbumba)
“I missed you too. You look very cute (Nilikukumbuka pia. Unaonekana kuwa mzuri)” Gibson alimwambia Katie na kisha kumkumbatia tena.
Wakalifuata gari ambalo alikuja nalo Katie na kisha kuondoka nalo mahali hapo. Kila mmoja kwa wakati huo alikuwa na furaha kupita kawaida, kipindi cha mwaka mmoja ambacho walikuwa wamekaa bila kuonana kilionekana kuwa kipindi kirefu sana.
Walipofika nyumbani, kitu cha kwanza kilikuwa ni kuingia bafuni, wakachezeana mpaka wakachoka, wakafanya mapenzi mpaka kulala juu ya makochi huku kila mmoja akiwa kama alivyozaliwa.
“It’s suprise moment now (Sasa ni muda wa saplaizi)” Gibson alimwambia Katie mara baada ya kutoka bafuni kuoga.
“Dont worry. Let’s eat (Usijali. Tule kwanza)” Katie alimwambia Gibson.
Japokuwa walikuwa wakila lakini bado Gibson alikuwa na kimuemue cha kutaka kufahamu ni aina gani ya saplaizi ambayo alikuwa ameandaliwa. Muda wote alikuwa mtu wa kujichekesha tu lakini akilini mwake alikuwa akijaribu kuweka kila aina ya saplaizi ambayo alikuwa akiidhania.
“Au anataka kunipa kampuni? Mmmh! Sasa ni aina gani ya saplaizi hiyo?” Gibson alijiuliza lakini hakupata jibu lolote.
Walitumia mida wa dakika thelathini mpaka kumaliza kula ambapo hapo wakapelekan mpaka kitandani. Yaani, kwa ujumla siku hiyo ilikuwa ni siku ya kufanya mapenzi tu. Miili yao ilikuwa imekumbukana kupita kawaida, hawakufikiria kitu chochote zaidi ya kufikiria ngono tu.
Katika kila hatua ambayo ilikuwa ikiendelea mahali hapo, Gibson hakuweza kukumbuka kwamba alikuwa amemuacha mke nchini Tanzania ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja, kwa wakati huo mawazo yake yalikuwa yakifikiri ngono na saplaizi tu.
Walichukua masaa mawili, wakawa hoi tena. Miili yao ikachoka kupita kawaida, hawakupata hata nguvu ya kunyanyuka, wakajikuta wakilala mpaka waliposhtuka saa moja na nusu usiku.
“Give me some more (Nipe nyingine zaidi)” Katie alimwambia Gibson huku akianza kumshika shika kifuani.
Gibson hakuwa na jinsi, akili yake ilikuwa ikifikiria mambo mengi kwa wakati huo. Utajiri na fedha nyingi kutoka kwa Katie ndicho kilikuwa kitu ambacho alikuwa akikihitaji kwa namna yoyote ile. Alifanya nae mapenzi mpaka pale ambapo hamu yote ilionekana kuisha mwilini mwa Katie.
“Nataka tufunge ndoa. Utakuwa tayari?” Katie alimuuliza Gibson.
“Kufunga ndoa! Nipo tayari. Hata sasa hivi” Gibson alimjibu Katie kiutani.
Katie akatabasamu. Kichwa cha Gibson kilikuwa kikifikiria kwamba mpaka wafunge ndoa basi ingewachukua hata miezi sita, hakujua kama jibu lile alilolitoa kiutani lilionekana kumfurahisha sana Katie.
Katie akasimama, akaanza kufurahia kupita kawaida. Gibson akainuka na kuanza kufurahi pamoja nae. Katie akaona huyo haitoshi, akanyanyua simu yake na kuwaataarifu marafiki zake kwamba kulikuwa na uhakika wa kufunga harusi siku mbili zijazo kama alivyowaambia.
“Marafiki zangu wamefurahi sana. Wameahidi kuhudhuria harusi yetu kesho kutwa” Katie alimwambia Gibson huku akionekana kuwa na furaha.
Siku ambayo alikuwa ameitaja Katie ikaonekana kumshtua Gibson, hakuamini kama Katie alikuwa amemaanisha kwa asilimia mia moja kile alichokuwa amekisema na wala hakuwa na utani wowote ule moyoni mwake.
“Umesema lini?” Gibson aliuliza huku akionekana kushtuka.
“Kesho kutwa. Hii ndio saplaizi ambayo nilikuwa nimeandaa kwa ajili yako. Tufunge ndoa na kuwa mume na mke” Katie alimwambia Gibson ambaye akaonekana kuchoka.
Hapo ndipo picha ya Prisca ilipoanza kujengeka kichwani mwake, hakuishia kumfikiria Prisca bali akaanza kumfikiria na mtoto wake, Genuine. Kwa kiasi fulani Gibson akaonekana kukosa amani, akakaa kochini.
“Mbona umebadilika ghafla?”
“Hapana. Umenishtukiza sana” Gibson alijibu.
“Kweli?”
“Ndio”
“Sasa hiyo si ndio maana ya saplaizi. Yaani ushtuke kama ulivyoshtuka” Katie alimwambia Gibson ambaye mawazo yake yalikuwa nchini Tanzania tu.
“Sawa. Tutaoana kama ulivyotaka ila kwa masharti kadhaa”
“Masharti gani?” Katie aliuliza huku akimsogelea Gibson na kumlalia kifuani.
“Sharti la kwanza.........” Gibson alisema huku Katie akiwa kimya akimsikiliza.
“Kwanza ndoa yetu nataka iwe ni ya mkataba. Hii ni kwa sababu nitataka zaidi kujilinda mpenzi” Gibson alimwambia Katie.
“Hilo si tatizo, ndoa hizo ndizo ambazo huwa tunafunga huku. Kuna kingine?” Katie alimuuliza Gibson.
“Ndio. Tena mengi tu. Vipi kuhusu watoto?”
“Si la kuongelea kwa sasa, hilo linatakiwa kuongelewa ndani ya ndoa” Katie alijibu.
“Ndani ya ndoa! Hii ni mipango ambayo yatupasa kuipanga Katie”
“Nafahamu. Ila unaonaje kama mpango huo tukiupangia ndani ya ndoa?” Katie aliuliza.
“Hakuna tatizo. Na vipi kuhusiana na kazi?”
“Kazi gani?”
“Unafikiri nitakuwa nikikaa tu ndani bila kufanya chochote kile? Hapana, hayo si maisha. Inanipasa niwe na kazi ya kunifanya kuwa bize” Gibson alimwambia Katie.
“Hilo si tatizo. Nitakutafutia” Katie alimwambia Gibson.
Wote wawili wakawekeana makubaliano na kufikia muafaka. Kitu ambacho alikifanya Katie kwa wakati huo ni kuwa makini sana, kila wakati alikuwa akimbana sana Gibson ili asiweze kuangalia sana televisheni wala kusoma magazeti.
Vyombo vyote vya habari kwa wakati huo vilikuwa vikiitangaza harusi hiyo huku maneno ‘MUIGIZAJI WA FILAMU ZA NGONO’ yakiwa yametawala katika kila chombo cha habari ambacho kilikuwa kikiandika kuhusiana na harusi ile.
Katie hakutaka kabisa Gibson afahamu kile ambacho kilikuwa kinaendelea katika maisha yake, hakutaka kabisa ajulikane kwamba alikuwa muigizaji wa filamu za ngono ambaye alikuwa akivuma sana.
Alitaka kwanza afunge nae ndoa na hatimae aje kufahamu baadae sana kwamba alikuwa akijihusisha na filamu zile ambazo kadri siku zilivyokuwa zikizidi kusogea mbele na ndivyo ambavyo zilizidi kupata mashabiki zaidi.
Gibson akawa akishinda ndani, alikuwa akiisubiria siku hiyo huku aone ni kitu gani ambacho kingeendelea. Mawazo yake kwa wakati huo hayakuacha kuifikiria familia yake ambayo ilionekana kuwa muhimu sana katika maisha yake.
Kwa kitendo chake cha kwenda kufunga ndoa na Katie kilionekana kuwa kama usaliti mkubwa katika ndoa yake na Prisca. Gibson hakuwa akifahamu kitu chochote kile kuhusiana na maisha halisi ya Katie, kwake alionekana kuwa msichana tajiri sana lakini wala hakuwa akijua siri ya utajiri wake ule.
Gibson akaanza kuufikiria utajiri ule, kichwa chake wala hakikuweza kutulia, kwa sababu alikuwa mchaga, ubongo wake ulikuwa umetulia kwa kufikiria fedha tu. Siku ya kwanza ikakatika na ya pili kuingia. Marafiki mbalimbali wa Katie walikuwa wakifika nyumbani pale na kisha kuongea na shemeji yao mtarajiwa, kila mmoja alionekana kuwa na furaha.
Watu ambao hawakuwa karibu na Katie hawakuweza kumfahamu Gibson kabisa kwani hata waandishi wa habari hawakuwahi kumuona mwanaume huyo ambaye kwao alionekana kuwa na moyo wa kujitolea kufunga ndoa na msichana ambaye alikuwa maarufu kwa kuigiza filamu za ngono.
Siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa ikawadia, Gibson akawa ndani ya suti kali katika sehemu ambayo walitakiwa kufunga ndoa na Katie. Mahali hapo wala hakukuwa na idadi kubwa ya watu, ni watu hamsini tu ndio ambao walikuwa wamekusanyika katika harusi hiyo ambayo ilimgharimu Katie kiasi cha dola laki moja, zaidi ya shilingi milioni mia mbili za Tanzania.
Ndoa ya mkataba wa kudumu wa miaka mitano ikafungwa na mkataba huo kusainiwa mbele ya watu hao ambao walikuwa wamekusanyika ndani ya uwanja huo mdogo wa nyumba ya Katie iliyokuwa hapo New York katika mtaa wa kitajiri wa Buttlefly 56th.
Harusi ikafungwa na hatimae Gibson na Katie kuwa mume na mke. Kwa Katie ilionekana kuwa furaha kubwa lakini kwa Gibson ikaonekana kuwa kama tatizo kubwa katika maisha yake. Hakujua ni kitu gani ambacho kingetokea pale ambapo mke wake wa Tanzania, Prisca angesikia kwamba alikuwa amefunga ndoa na mwanamke wa kizungu nchini Tanzania na kumsaliti.
Wanandoa wakaondoka kuelekea katika kisiwa cha Bahamas kwa ajili ya kula raha tu. Walikaa huko kwa takribani mwezi mzima, wakarudi tena jijini New York kwa ajili ya kuendelea na maisha yao kama kawaida.
Waandishi wa habari wakazipata picha za Gibson na kuanza kuzitoa katika vyombo mbalimbali vya habari, hapo ndipo watu walipogundua kwamba mume wa Katie alikuwa mtu mweusi tena aliyesadikiwa kutoka barani Afrika.
Kila mtu ambaye aliziona taarifa za harusi ile akaonekana kushangaa, hawakuamini kama kungekuwa na mtu mwenye ngozi nyeusi ambaye angekubali kuwa na mwanamke ambaye alikuwa akiigiza filamu za ngono.
Kuigiza filamu za ngono kilikuwa ni kitendo ambacho kilikuwa kikiendelea kuwa siri kubwa katika maisha ya Katie, hakutaka mumewe ajue kile ambacho kilikuwa kikiendelea. Hakujua ni nani ambaye alimfuata Gibson na kumueleza kile ambacho alikuwa akiendelea kukifanya, kilichomshtua zaidi ni pale aliporudi nyumbani na kumkuta Gibson akiwa katika muonekano wa tofauti.
“Why didn’t you tell me before? (Kwa nini hakuniambia kabla?)” Gibson aliuliza huku akionekana kukasirika.
“Tell you what? (Kukwambia nini?)” Katie aliuliza huku akijifanya kushangaa.
“That you are a porn movie star (Kwamba wewe ni muigizaji wa filamu za ngono)” Gibson alimwambia Katie.
“Who told you that? (Nani alikwambia hayo?)”
“Just wait for me right here (Nisubiri hapa)” Gibson alisema na hapo hapo kuanza kupandisha katika ghorofa ya juu kulipokuwa na chumba chao.
Katie alibaki akizunguka zunguka pale sebuleni alipokuwa amesimama. Kichwa chake kilikuwa kikimfikiria mtu ambaye alikuwa amemwambia Gibson kile ambacho kilikuwa kinaendelea katika maisha yake, kwa wakati huo, akaonekana kuwa na wasiwasi, hakujua Gibson angeamua uamuzi gani.
Gibson akarudi mahali hapo huku mkononi akiwa na gazeti la New York Times ambalo lilikuwa likitoka mara tatu kwa wiki nchini humo. Akalitupa gazeti juu ya meza, picha ya Katie pamoja na picha yake zilikuwa zikionekana kabisa mbele ya gazeti lile.
“Tell me about this (Niambie kuhusu hii)” Gibson alimwambia Katie.
Katie akalichukua lile gazeti na kuanza kuliangalia vizuri. Mapigo yake ya moyo yakaanza kumdunda, hakujua ni maneno gani ambayo alitakiwa kumueleza mume wake huyo ili kuiokoa ndoa yake ambayo ilikuwa imedumu kwa miezi miwili mpaka muda huo.
“Tell me about this (Niambie kuhusu hiki)” Gibson alimwambia Katie, kwa wakati huu, aliongea kwa sauti ya juu iliyoonyesha ukali.
“It is true (Ni kweli)
“Good (Vizuri)” Gibson alisema na kuanza kupanda juu ghorofani.
“Please Baby...Let me explain (Tafadhali mpenzi...acha nifafanue)” Katie alimwambia Gibson huku akiwa amemshika suruali pale kwenye ngazi za kupandia juu.
“What do you want to explain to me? Do you want to tell me that you have been fucked with all men around this fucking City? Do you want to tell me that you are a Porn movie star who cheats to her husband and speaks rubish on his back? What do you want to tell me? (Unataka kunifafanulia nini? Unataka kuniambia kwamba umefanya mapenzi na wanaume wote ndani ya jiji hili? Unataka kuniambia kwamba wewe ni mcheza filamu za ngono ambaye anadanganya mume wake na kuongea uchafu nyuma yake? Unataka kuniambia nini?)” Gibson aliuliza huku akionekana kukasirika kupita kawaida.
Kutokana na hasira ambazo alikuwa nazo katika kipindi hicho, mishipa yake yote ya mwili ilikuwa imemtoka, alikuwa akitetemeka kwa hasira huku meno yake yakigonganagongana tu. Hakuwa akiamini kwa wakati huo kwamba msichana ambaye alikuwa amefunga nae ndoa alikuwa ni mcheza filamu za ngono ambaye alikuwa akivuma sana kwa kipindi hicho.
“I am not a Porn movie star (Mimi sio muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alisema huku akilia.
“Then, who the hell are you? (Kwa hiyo wewe nani?)”
“Gibson’s wife (Mke wa Gibson)” Katie alisema kwa sauti ya chini.
“Thats fucking rubbish (Huo ni uchafu)” Gibson alisema na kisha kuendelea kupanda ngazi.
Breki ya kwanza ilikuwa ni kitandani, akajilaza, mwili ulikuwa ukimtetemeka kupita kawaida. Moyo wake ulikuwa ukijuta sababu zilizompelekea kwenda nchini Marekani na kukubali kumuoa Katie. Hapo ndipo alipopata majibu juu ya mambo ambayo alikuwa akifanyiwa na Katie kama kunyimwa uhuru wa kuangalia televisheni na hata kusoma magazeti.
Katie akaingia chumbani hapo na moja kwa moja kuanza kumfuata Gibson kitandani pale alipolala na kumlalia mgongoni. Katie alikuwa akilia kwa kwikwi, alionekana kuwa na sura ambayo ilikubali kwamba alikuwa amekosa ila kwa wakati huo alikuwa akihitaji msamaha.
“I was a porn movie star but I am not a porn movie star (Nilikuwa muigizaji wa filamu za ngono lakini kwa sasa mimi sio muigizaji wa filamu za ngono)” Katie alimwambia Gibson.
Gibson hakuongea kitu chochote japokuwa kwa hali fulani maneno yale aliyoongea Katie yakaonekana kuanza kumuingia. Katie akaanza kumpapasapapasa Gibson mgongoni hali ambayo ikaanza kumuweka Gibson katika hali mbaya.
Katie hakutaka kutulia, aliendelea zaidi na zaidi, ndani ya dakika tano, Gibson alikuwa radhi kwa kila kitu. Hasira zote ambazo alikuwa nazo juu ya Katie zilikuwa zimemtoka na tamaa ya kufanya mapenzi ikiwa imeanza kumuingia.
“I need you (Ninakuhitaji)” Katie alimwambia Gibson na kisha kukipeleka kinywa chake kinywani mwa Gibson, kilichofuata hapo ni kubadilishana mate na kisha kuanza kufanya tendo la ndoa.

Je nini kitaendelea?
Je mapenzi ya Gibson kwa Katie yatadumu?
Je Prisca ataweza kufahamu kinachoendelea nchini Marekani?
Itaendelea kesho.
 
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 6.

Maisha hayakuwa ya shida tena, umasikini ambao alikuwa ameupitia pamoja na Gibson ukaonekana kutokujirudia tena katika maisha yao. Kwa wakati huo kila kitu kilionekana kubadilika kabisa. Walikuwa na fedha za kutosha, walijenga nyumba ya kifahari huku wakiwa na magari mawili ya kifahari.
Hawakuishia hapo, pia walikuwa na miladi mbalimbali ambayo ilikuwa ikiwaingizia kiasi kikubwa cha fedha. Mapenzi yao yaliendelea kama kawaida, hakukuonekana kama kulikuwa na mtu ambaye alimchoka mwenzake, walionekana kuzidi kupendana kadri siku zilivyozidi kwenda mbele.
Prisca hakujua fedha zile zilitoka wapi, kila alipokuwa akiuliza, alipewa majibu ambayo wala hayakuonekana kuridhisha japokuwa baada ya muda fulani akaonekana kuyaamini. Hakujua kama fedha zile ambazo zilikuwa zikitumika kuwatengenezea maisha yao zilikuwa zikitoka kwa msichana ambaye alikuwa muigizaji mashuhuri wa filamu za ngono na ndiye ambaye kwa wakati huo alikuwa akimuibia penzi lake kutoka kwa mume wake, Gibson.
Maisha yakaendelea kusonga mbele, furaha yao ikaongezeka zaidi na zaidi, mtoto wao mpendwa, Genuine alikuwa akiwafanya kuwa karibu sana. Kutokana na fedha ambazo walikuwa nazo katika kipindi hicho, wakaanza kujulikana jambo ambalo likaanza kuwaweka katika listi ya watu mia moja ambao walikuwa na fedha nyingi ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Maisha yaliendelea kwenda mbele mpaka pale ambapo Gibson akaelekea nchini Marekani huku akisingizia kwamba alikuwa akienda kukutana na wafadhiri wa kituo cha watoto yatima ambacho alikuwa akitarajia kukifungua jijini Dar es Salaam.
Prisca akaonekana kuridhika, katika maisha yake alikuwa akiwajali sana watoto yatima, aliwapenda kupita kawaida kwani alijua fika kwamba walikuwa wakiishi katika mazingira magumu na ya tabu kupita kawaida.
Akampa baraka zote mume wake kwamba aende na arudi salama ndani ya nchi ya Tanzania ili waendelee na maisha yao kama kawaida. Moyoni hakujua, hakujua kwamba mume wake alikuwa akienda kukutana na saplaizi ambayo ilionekana kubadilisha kila kitu katika maisha yao.
Wiki ya kwanza ikakatika, japokuwa alikuwa ameahidiana na mumewe kwamba wangewasiliana lakini haikuwa hivyo, Gibson akaonekana kuwa kimya sana. Hakukuwa na mawasiliano ambayo yalikuwa yakiendelea, kila alipokuwa akitafutwa, hakuwa akipatikana.
Baada wiki mbili kupita hapo ndipo alipokutana na taarifa ambayo ilikuwa imemchanganya kupita kiasi. Mwanamke ambaye wala hakuwa akifahamiana nae akamfuata nyumbani pale na kisha kumuonyesha picha ambazo zilikuwa zikimuonyesha Gibson akiwa ndani ya suti huku pembeni yake kukiwa na msichana ambaye alivalia shela.
Kwa jinsi picha ile ilivyokuwa ikionekana, wala hakukuwa na kitu cha kujiuliza kama pale kulikuwa na tukio gani ambalo lilikuwa likiendelea, lilionekana kuwa ni tukio la harusi kati ya watu hao wawili.
Prisca akajihisi akikosa nguvu, miguu ikaanza kumlegea na kujikuta akikaa kochini. Hakuweza kuiamini picha ile, akahitaji picha nyingine zaidi na zaidi, akaonyeshewa zaidi ya picha ishirini jambo ambalo lilimfanya kuumia zaidi.
“Mungu wangu! Gibson” Prisca aliita huku akiziweka zile picha mezani.
Tayari akaonekana kuchanganyikiwa, hakuonekana kuamini kile ambacho alikuwa amekiona kwa wakati ule. Machozi yakaanza kumtoka, hapo ndipo alipogundua sababu ambayo ilimpelekea Gibson kutokuwasiliana nae kwa kipindi kirefu tangu aelekee nchini Marekani.
“Umezitoa wapi hizi picha?” Prisca aliuliza huku akionekana kama mtu aliyechanganyikiwa.
“Kwenye mtandao. Hivi kwanza unamjua huyo mwanamke?” Mwanamke yule aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Fatuma aliuliza.
“Hapana”
“Pole sana shoga yangu. Mwanamke huyu ni mcheza fiamu za picha za ngono nchini Marekani” Fatuma alimwambia Prisca maneno ambayo yakaonekana kumshtua zaidi.
Prisca akaonekana kuchanganyikiwa zaidi, akashindwa kuvumilia kukaa mahali pale, alichokifanya kwa wakati huo ni kuondoka kuelekea chumbani huku akiwa na baadhi ya zile picha. Akajifungia na kuanza kulia, alilia kwa uchungu, hakuamini kama kweli Gibson angeweza kufanya kitu kama kile, kufunga ndoa na mwanamke wa kizungu.
Kilio chake hakikuweza kumsaidia chochote kile, aliendelea kulia zaidi na zaidi lakini ukweli bado ukabaki kuwa pale pale kwamba Gibson alikuwa amefunga ndoa na mwanamke wa kizungu ambaye alikuwa mcheza filamu za ngono, Katie.
Siku hiyo ndio ilikuwa siku ambayo ilijaa maumivu kuliko siku zote katika maisha yake. Akatoka chumbani na moja kwa moja kuelekea katika sehemu ya kuegesha magari na kuchukua gari moja aina ya Verosa, akamuweka Genuine kwenye kiti kingine na kisha kuwasha gari na kuondoka mahali hapo.
Akili yake kwa wakati huo ilikuwa ikimwambia afanye kitu kimoja tu, aondoke na kuelekea nyumbani kwa wazazi wake ambako huko angewaambia kila kitu ambacho kilikuwa kimetokea na kuwaoyesha zile picha na kuwa kama ushahidi kwake.
Alipofika, akamchukua Genuine na kuanza kuingia ndani ya nyumba yao. Alipogonganisha macho yake na wazazi wake, akaanza kulia, kila kitu kikaanza kujirudia ndani ya kichwa chake.
“Kuna nini tena?” Mzee Steven alimuuliza binti yake.
Prisca hakutoa jibu la swali lile, akabaki akilia zaidi na zaidi. Katika kipindi hicho alijiona kutokuwa na nguvu za kuongea hata mara moja, alikuwa akijiskia kulia zaidi na zaidi tena kwa uchungu mkubwa.
“Prisca. Kuna nini kimetokea?” Mama yake, Bi Magreth aliuliza.
Prisca hakutoa jibu lolote lile, alichokifanya kwa wakati huo ni kuwaonyeshea wazazi wake picha zile ambazo alikuwa ameletewa na Fatuma. Wazazi wake wakazichukua na kuanza kuangalia picha moja baada ya nyingine.
“Mmmh!” Mzee Steven alisikika akiguna.
“Hii inawezekana kweli” Bi Magreth aliuliza huku akiziangalia vizuri picha zile.
Hakukuwa na mtu ambaye alikuwa akiamini kile ambacho alikuwa akikiona katika picha zile, waliziona kuwa kama picha za kutengenezwa ambazo mtu yeyote mwenye ujuzi wa kuzitengeneza angeweza kuzitengeneza.
Chini ya zile picha kulikuwa na jina la mtandao ambao picha zile zilikuwa zimechukuliwa jambo ambalo likamfanya mzee Steven kuchukua laptop yake, akaiunganisha na internet na kisha kuanza kuufungua mtandao ule.
Picha ambazo alikuwa akiziona katika mtandao ule zilikuwa ni picha zile zile ambazo walikuwa nazo mikononi na huku nyingine zikionekana kuwa mbaya zaidi ambazo zilidhihirisha kwamba watu wale walionekana kuwa mume na mke ambao walikuwa wameingia katika ndoa.
“Hivi inawezekana kwa Gibson kufanya vitu kama hivi?” Mzee Steven aliuliza huku akionekana kushangaa.
“Inawezekana na ndio maana amefanya hayo” Bi Magreth alijibu.
Kitu walichokifanya mahali hapo ni kuondoka na kuelekea nyumbani kwa mzee Lyimo ambaye alikuwa baba wa Gibson. Kwa kutumia usafiri wa gari lao, walitumia muda wa dakika thelathini wakawa wamekwishafika, wakateremka na kuanza kuelekea katika nyumba hiyo.
Muda wote huo Prisca alikuwa akiendelea kulia, bado mawazo yake yalikuwa kwa mume wake ambaye aliamua kufanya jambo lililomshtua kupita kawaida. Hamu ya kuwa ndani ya ndoa ikanekana kuanza kumtoka moyoni, hakutamani kurudi nyumbani kabisa.
“Mmmh! Inawezekana kweli kwa Gibson kufanya haya?” Mzee Lyimo aliuliza huku akionekana kushtuka kupita kawaida.
Tayari picha zile zikaonekana kumshtua kupita kawaida, hakuamini kama mtoto wake, Gibson alikuwa ameamua kuoa nchini Marekani na wakati alikuwa na mke pamoja na mtoto mdogo ambaye alikuwa na miezi kumi tu.
“Mmmh!” Mama yake Gibson, Bi Yustina aliguna.
Kila mmoja akaonekana kutokuelewa sababu ambazo zilimfanya Gibson kuamua kufanya uamuzi ule ambao ulionekana kumuumiza kila mtu aliyeziangalia picha zile. Prisca bado alikuwa akiendelea kulia kupita kawaida, moyo wake ukaanza kupatwa na majeraha ya mapenzi, mtu ambaye alikuwa akimuamini ndiye ambaye alikuwa amekuja kumuumiza.
“Inaniuma sana” Prisca aliwaambia huku akiendelea kulia.
“Pole sana Prisca”
“Sijaumia kwa yeye kuoa mwanamke mwingine tu bali nimeumia pia kwa aina ya mwanamke aliyemuoa” Prisca aisema.
“Eeeeh! Kwani unamjua?”
“Hapana”
“Sasa ni mwanamke wa aina gani?”
“Mcheza filamu za utupu”
“Unasemaje?” Wazazi wote wanne walisema kwa pamoja.
“Ndio. Ni mcheza filamu mzuri wa utupu duniani” Prisca aliwaambia.
Maneno hayo ndio ambayo yalionekana kuwachanganya zaidi na zaidi, wakaona kwamba kijana wao tayari alikuwa amepotea njia kwa uamuzi ule ambao alikuwa ameufanya. Taarifa kwamba msichana ambaye alikuwa amemuoa alikuwa mcheza filamu za ngono ilionekana kuwaumiza na kuwakasirisha kupita kawaida.
Walichokijua ni kwamba kule alipokuwa akifanya kazi Gibson, mbugani ndipo ambapo kulikuwa na uwezekano wa kukutana na mwanamke yule, walichokitaka kwa wakati huo ni kuwasiliana na mtu yeyote kutoka katika kampuni ile aliyokuwa akifanyia kazi kwa ajili ya kutaka kuufahamu ukweli.
“Nina namba ya rafiki wake wa karibu, Richard” Prisca alisema.
Hapo ndipo mawasiliano na Richard yalipoanza. Kitu ambacho alitakiwa kukifanya Richard ni kutoka Morogoro na kuja jijini Dar es Salaaam kwa kutumia usafiri wa ndege na gharama zote zilikuwa juu ya Prisca.
Ndani ya masaa kadhaa, Richard alikuwa katika nyumba hiyo ya mzee Lyimo. Kitu cha kwanza walichokifanya ni kumkabidhi Richard picha zile na kuanza kuziangalia. Richard akaonekana kushtuka, hakuamini kile ambacho alikuwa akikiona kwa wakati ule.
“Umeshtuka nini?” Mzee Lyimo alimuuliza.
“Kuona picha hizi” Richard alijibu.
“Yaani unajifanya kama haujui chochote kile”
“Yeah! Sikujua kama angefanya kitu hiki” Richard aliwaambia.
“Kwa hiyo ulikuwa ukijua kwamba ana mwanamke?”
“Hapana. Ila nilijua kwamba anakwenda nchini Marekani kwa sababu aliniaga” Richard alisema.
“Alipokuaga alikwambia nini?”
“Kwamba anakwenda kukutana na wadhamini wa kituo cha watoto yatima ambacho anataka kuanzisha” Richard alidanganya.
“Kwa hiyo haujui chochote kuhusu mwanamke huyo?”
“Sijui” Richard alijibu.
“Hapana. Kuna kitu unafahamu tu. Naomba utuambie ili tujue pa kuanzia. Unajua limekwishakuwa suala kubwa sana hili” Mzee Lyimo alimwambia Richard.
Richard hakutaka kutoa siri ya kitu ambacho kilikuwa kinaendelea. Alikuwa akikataa kuzungumza kitu chochote mpaka pale alipobanwa sana na ndipo akaanza kuelezea kila kitu ambacho kilikuwa kimetokea katika kipindi cha nyuma.
Prisca akaonekana kushtuka, hakuamini kile ambacho alikuwa amekisikia kutoka kwa Richard, hakujua kama Richard nae alikuwa akifahamu kila kitu japokuwa alikuwa mtu wake wa karibu kuliko marafiki wote wa Gibson.
“Kwa hiyo ukanisaliti? Ukawa unafahamu kila kitu ila haukutaka kuniambia?” Prisca alimuuliza Richard kwa sauti ya ukali.
“Nilihofia. Nilichokuwa nikitaka kukiona ni kuona kwamba Gibson anafanikiwa na kutoka kwenye maisha aliyokuwa anaishi. Niliamini kama angefanikiwa, hata mimi rafiki yake wa karibu ningefanikiwa pia. Na hiyo ndivyo ilivyokuwa” Richard alimwambia.
“Unamaanisha hata hizi fedha zote alizokuwa akizipata Richard zilitoka kwa mwanamke huyu?” Mzee Lyimo aliuliza.
“Ndio. Hebu jifikirieni hapo, kama ningeamua kumwambia Prisca juu ya hili, unafikiri hizi fedha wangezipata? Unafikiri Prisca angekuwa muelewa. Niliiangalia hali yao, ilikuwa hali mbaya, Prisca alikuwa mjauzito ambaye alikuwa akihitaji kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya matunzo. Kitendo cha msichana Katie kuja katika maisha ya Gibson niliona kuwa kama muujiza ambao wala haukutakiwa kuachwa kutokea. Na kweli, baada ya kumkubali Katie kisiri, mafanikio yakaja. Najua kwa kufanya hivyo nimekuumiza sana Prisca ila jua nilifanya hivyo kwa sababu sikutaka uishi maisha ya tabu mara utakapojifungua. Mshahara wa Gibson haukuwa ukitosheleza” Richard alimwambia Prisca.
Wote wakaanza kumuelewa Richard, maneno ambayo alikuwa ameyaongea yakapenya masikioni mwao na kutulia katika akili yao. Ni kweli alionekana kuwa msaada mkubwa sana kwa Prisca kwani kama angeamua kusema ukweli, Prisca angekuwa kwenye hali mbaya katika kipindi kile cha ujauzito.
“Kwa hiyo haukufahamu kama huyu binti alikuwa mcheza filamu za ngono?” Mzee Steven aliuliza.
“Sikufahamu kabisa na ninadhani kwa sababu mimi si mpenzi wa filamu hizo” Richard alijibu.
“Shukrani sana. Umeamua kuwa mkweli. Sasa tuambie kwamba hakukwambia kama alikuwa anaenda kufunga ndoa na msichana huyu?” Mzee Lyimo aliuliza.
“Hakuniambia kabisa. Kitu ambacho aliniambia ni kwamba alikuwa ameandaliwa saplaizi na mwanamke huyo, nadhani harusi ndio ilikuwa ni saplaizi yenyewe. Nina uhakika kwamba Gibson ameoa huku akiwa hataki kuoa. Naamini hilo” Richard aliwaambia
“Unawasiliana nae?”
“Hapana. Nimejaribu kumuandikia barua pepe zaidi ya tatu, naona kimya” Richad alijibu.
“Dah! Sasa ataweza kurudi nchini Tanzania?”
“Ataweza. Gibson anachokiangalia kwa mwanamke yule ni fedha tu, hakuna kingine cha zaidi. Mitego yake yote ameiweka katika fedha tu kwani anajua kwamba mwanamke yule ana fedha nyingi” Richard aliwaambia.
Waliendelea kumuuliza maswali mengi na Richard alikuwa akijibu kwa ufasaha sana bila kusema kwamba yeye ndiye alikuwa amemshinikiza Gibson kutembea na Katie.
Maisha yakaendelea zaidi na zaidi, kila siku Prisca alikuwa mwanamke mwenye huzuni, japokuwa alikuwa na fedha za kutosha lakini fedha hazikuwa na thamani kwake, thamani kubwa ilikuwa ni Gibson ambaye alikuwa na mapenzi yake ya dhati moyoni mwake.

Je nini kitaendelea?
Je wazazi wa pande zote mbili wataamua nini?
Je maisha ya Gibson yatakuwaje nchini Marekani?
Je ndoa yao itadumu?
Hapa ndipo hadithi inapoanza rasmi.
Itaendelea saa nne usiku.
 
Back
Top Bottom