Maana ya hadithi hii, ukiona uzuri wowote umekaa kihasarahasara, ujue kuna jambo! Usiiingie kichwa kichwa! kwa maana nyengine Wanawake wengi wana ajenda za namna hiyo hasa wale wanaojipamba kupitiliza. Vile vile hilo jamaa lilikua na nia mbaya ya kumbaka huyu dada wa watu angeku ni binadamu wa kwaida. Kwa hiyo yaliyompata ni halali yake.