Amani ya bwana iwe nanyi nyote!
Kwa wale tuliobahitika kusoma utawala wa awamu ya tatu kushuka chini,endapo ungepata fursa ya kutoa maoni ya kupendekeza hadithi zinazostahili kusomwa level ya primary ungependekeza hadithi gani?
Mimi ningeanza na SIKULAMBA SUKARI
Wewe je?...
Kwa wale tuliobahitika kusoma utawala wa awamu ya tatu kushuka chini,endapo ungepata fursa ya kutoa maoni ya kupendekeza hadithi zinazostahili kusomwa level ya primary ungependekeza hadithi gani?
Mimi ningeanza na SIKULAMBA SUKARI
Wewe je?...