FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
- Thread starter
- #41
==================================
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili
Mwigulu: Tunaangalia namna ya kutoza Kodi kwenye Huduma za Mtandaoni
Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye na Timu yake ya Wataalamu wanaendelea kujadiliana kuhusu namna ya kuweka Kodi kwenye Application za Mitandao ya Kijamii. Amesema Ofisi za Mitandao hiyo hazipo hapa nchini lakini zinapata Hela nyingi sana kila unapoingia kwenye Mitandao hiyo wao...
www.jamiiforums.com