Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
“Hadi kufikia June 30, 2019, Deni la Serikali limefikia Tsh. Tril. 53.11 ambapo deni la ndani ni Tril. 14.86 na la nje ni Tril.38.24, ni ongezeko la Tril 2.18 (4% ) ukilinganisha na lililopita, ongezeko la deni limesababishwa na riba ya mikopo halisi na kushuka kwa thamani ya shilingi, deni hili linaendelea kuhimilika”- CAG, Charles Kichere mbele ya JPM
#MillardAyoIkuluUPDATES
#MillardAyoIkuluUPDATES