Kisima
Platinum Member
- Oct 8, 2010
- 4,792
- 6,552
Tuacheni unafiki jamani Nyerere hajashuka hadhi kiasi cha kukashfiwa namna hii. Mapungufu anayo lakini sio wa kufananishwa na watawala wengine waliokuja baada ya wewe interms of good governance and transparency! Hamuoni mmomonyoko wa maadili na ukiukwaji mkubwa wa miiko ya uongozi? Je, kuhusu ufujaji wa kupindukia wa raslimali zetu ni nani anaekemea ktk awamu hizi tatu baada ya JKNyerere? Suala la kero au mizengwe ya muungano halina impact kubwa ambazo zinamuathiri mtanzania moja kwa moja kiasi cha kumdharirisha Nyerere kihivyo ukilinganisha na utajiri mkubwa ambao katuachia. Leo hii watawala wanashirikiana bega kwa bega kuchota mali na kujilibikizia bila kuhojiwa.
Nitakuwa wa mwisho kumtukanisha Mwl Nyerere.
Nitakuwa wa mwisho kumtukanisha Mwl Nyerere.