(Hacking stuffs-MUHIMU) jinsi ya kufanya PORT FORWADING with out router -->Tumia static IP lifetime

(Hacking stuffs-MUHIMU) jinsi ya kufanya PORT FORWADING with out router -->Tumia static IP lifetime

Thefreedom

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
319
Reaction score
316
hey guys .....wazima

Thefreedom hapa

naomba leo nimalizie kujibu ombi ambalo walionirequest niwasaidie kuweka uzi wenye full info kuhusu kufanya port forwading bila router na jinsi ya ku access localhost over internet with static ip address lifetime, basi nami nimeamua kufanya hivyo na hii ndo full article + my techniques ambazo nilikuwa natumia kipindi sina router

FAIDA ZA STATIC IP KWA HACKERS NA PENTERSTER YOYOTE
Itakuwezesha wewe hacker ku maintain access (persistence) kwenye system yoyote ambayo uliweza kuhack na ku patch backdoor yako . Hii ina maana utaweza kupata connection back na active mda wowte utakaopenda wewe

PIA

Haibadiliki ukilinganisha na dynamic ip ambazo huwa zinabadilika kila mda victim aki restart au akiwasha pc au system yyte so kama umetumia rats, backdoor, hiii ni advantage kwako.

HIVO basi leo nitaonesha ni jinsi gani utaweza fanya .

note
Mimi siko vizuri sana kwenye kupiga mdomo so kikubwa take my knowledge + points then utafute cha kuzungumza, ili next time ukija funza au kufanya presentation zako uarrange point za msingi za kuzungumza.

so uzi wangu umegawanyika na ku base na groups mbili web developers na watu wanaofanya hacking na cybersecurity.

1. web developers >>>leo utajua jinsi ya kutoa web yako from localhost na kuiweka kwenye WAN yani wide area network kwa mda unaotaka kabla ujapelekwa kwenye hosting za kulipia.

2. hackers na cybersecurity experts >> leo utajua jinsi gani utaweza kufanya configurations na kuweza attach backdoor zako zitumie static ip addresses

REQUIREMENTS
--> Windows pc
---> linux based operating system (natumia linux kde 2019.2)
---->Angalau uwe na knowledge ya kuzima hata pc kwa beginer wa windows pc
---> linux user unatakiwa kuelewa some basic command ambazo tutazifanya wote

lets dig in..................................

so kwanza kabisa lazima ujue port ambzo pc yako hazitumiiki na program yyte
kwa windows unaweza check kwa kuandika netstat -an italist port zote ambazo pc yako hutumia na chini kabisa utaona port ambazo ni un used .


Kwa linux utatumia ps aux | grep <utawek port au jina la service


ukitaka ku kill process just use kill <weka process id mfano 2890> eg kill 2890

sasa mfano umeweka port na ukaona kitu kama hapa chini kwnye pic ujue basi , port hio inatumiwa nawwe tu hakuna mtumiaji au service inayotumia hio port kwa mda huo


1. web developers

kama wewe ni web developer na umetengeneza website yako kwenye localhost na unatakiwa uiweke kwa mda hewan ili wezako au unataka kufanya advertise, kumuonjesha na kumuonesha mtu kazi yake ili uweze fanya naye kazi ....basi tunawza


(a) using sssh servers ( serveo,localhost.run ,ssh reachme)

(b) using punch (holes of devil)

using SSH SERVERS (linux users)

hatua ya kwanza ni kusend files zako za web yako kwenye directory ya apache server /var/ww/html


baada ya hapo washa apache server ....service apache2 start


sasa Kuazia hapo ukichukua IP yako ambayo utaipata ukipiga ifconfig kwenye terminal yako ..ukiweka kwenye browser utaona data zako au web yako ambayo ipo kwnye directory ya apache server

3.png

sasa hiii iko kwenye local area network means mtu wa mbeya au wapi hawez kuona web yako au files zako zilizopo kwnye apache server yakoo , kwasbabu port haiko forwarded na sina uwezo wa kununua au kupata pesa ya kununua router na WAN switch zitakazoniwezesha kuforward port na kutumia static IP


BUT WE CAN FORWAD IT pamoja hatuna router !!! 😀


kwakuwa apache server yetu ina run kwenye port 80

good... sasa fungua terminal kisha weka hiii command ssh -R 80:localhost:80 serveo.net

Screenshot_20190915_153734.png


utapewa hio link sasa chukua hio link wape unaotaaka kuwapa .... na soon wakifungua wataona web yako na kama inavyokuwa kwenye hosting web servers ...so utaona kitu kama hiki hapa chini

ss.png


sasa nadhani unaona tumepewa link yenye https na ssl lakn inadomain name ambayo haifanani na web yetu...sasa kama ukitaka kuweka domain yako wewe utatumia this command

ssh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net na itakuwa kama hapa chini

free.png


now we have our own domain name. Awesome


problem or disdvantage of this

ssh ni free open service ambayo iko limited , mfano tumefungua hio tunnel kwenye port 80 na ssh server over internet, sasa ikifika mda fulani connection inakuwa terminated na web yako itakuwa down...


sasa how to fix it???!!!

sasa kufix tutaenda patch it na looped function ssh , kwa sababu ssh ni single not looped kwamba ikiwa outdated inashindwa kujiupdate automatically na kuwafanya watu wako waendeleee kuchek web yako... sasa tuna patch na looped function ssh inaitwa autossh


install by this command apt-get install autossh
Baada ya kuinstall replace command za hapo juu instead ya ssh weka autossh

mfano autossh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net

looped autossh.png


na ukiangalia hapo connection imekuwa clossed ila ikaji update automatically bila ya kumchomoa user anayeview online .


MWISHO- hiii ni lifetime na ukitaka static ip address una ping serveo.net kwenye terminal yako utapata ip au unampa mtu tu ile link yenye domain yako sikuingine haina haja ya kumtumia link unafungua ssh na same damain kisha yeye anatumia link ileile kuchek ur web


KWA KUTUMIA LOCALHOST.RUN

ni SAME kama hapo juuu ila hiiii inamabadiliko utawasha service unayotaka mfano me nawasha apache server kisha type hii kwenye terminal yako ssh -R 80:localhost:80 ssh.loaclhost.run

b.png


KWA KUTUMIA PUNCH (powerful method) >>>>>>windows + linux users


PUNCH ni moja ya software ambayo ni nzuri na itakuwezesha kuhost your local apache kwenda kwenye Wan connection... na me include punch kwa sababu i hate ngrok kwasabbu

1. iko weak , anytime connection inakuwa closed by remote server
2. haisuport double tunnel kwa free accounts
3. ni poor SSL certificate

I T A E N D E L E A K W A U P A N D E W A H A C K I N G ==================Uongozi wa jamiii forum mmeupdate system alafu mmeweka upuuuuziiiii tu bora hata ile ile ya zaman ...mtu una uzi mrefu then system inayumbaa .
 

Attachments

  • 1.png
    1.png
    132.4 KB · Views: 36
  • 1.png
    1.png
    132.4 KB · Views: 39
  • Screenshot_20190916_110255.png
    Screenshot_20190916_110255.png
    114 KB · Views: 44
Na ni rahisi kufanya persistence na portmap kuliko ngrok
 
Mkuu upo njema sana uko mkoa gani kama tunaweza kutana uwe unanipa hizo lecture mdogo mdogo
 
Hapa sijaona hacking of any sort.

And it does not fit the true definition of port forwarding.

It is simply enabling web server access from behind a firewall / NAT.
 
Hapa sijaona hacking of any sort.

And it does not fit the true definition of port forwarding.

It is simply enabling web server access from behind a firewall / NAT.
Kama hujaona basi mzeee....sio lazima uone

Na ukisema access from firewall tyr umeleta issue za traffic na hio kuwa accessible ndiyo maana ya port forwarding

Hacking ujaona ndo maana imeandikwa I T A E N D E L E A

KUWA mpole nikimaliza upande wa hacking ndo uje kuuuliza vzr
 
Kama hujaona basi mzeee....sio lazima uone

Na ukisema access from firewall tyr umeleta issue za traffic na hio kuwa accessible ndiyo maana ya port forwarding

Hacking ujaona ndo maana imeandikwa I T A E N D E L E A

KUWA mpole nikimaliza upande wa hacking ndo uje kuuuliza vzr
You can look at it that way pia. I guess port forwarding inaweza kuwa na definitions tofauti.

Haya itaendelea
 
hey guys .....wazima

Thefreedom hapa

naomba leo nimalizie kujibu ombi ambalo walionirequest niwasaidie kuweka uzi wenye full info kuhusu kufanya port forwading bila router na jinsi ya ku access localhost over internet with static ip address lifetime, basi nami nimeamua kufanya hivyo na hii ndo full article + my techniques ambazo nilikuwa natumia kipindi sina router

FAIDA ZA STATIC IP KWA HACKERS NA PENTERSTER YOYOTE
Itakuwezesha wewe hacker ku maintain access (persistence) kwenye system yoyote ambayo uliweza kuhack na ku patch backdoor yako . Hii ina maana utaweza kupata connection back na active mda wowte utakaopenda wewe

PIA

Haibadiliki ukilinganisha na dynamic ip ambazo huwa zinabadilika kila mda victim aki restart au akiwasha pc au system yyte so kama umetumia rats, backdoor, hiii ni advantage kwako.

HIVO basi leo nitaonesha ni jinsi gani utaweza fanya .

note
Mimi siko vizuri sana kwenye kupiga mdomo so kikubwa take my knowledge + points then utafute cha kuzungumza, ili next time ukija funza au kufanya presentation zako uarrange point za msingi za kuzungumza.

so uzi wangu umegawanyika na ku base na groups mbili web developers na watu wanaofanya hacking na cybersecurity.

1. web developers >>>leo utajua jinsi ya kutoa web yako from localhost na kuiweka kwenye WAN yani wide area network kwa mda unaotaka kabla ujapelekwa kwenye hosting za kulipia.

2. hackers na cybersecurity experts >> leo utajua jinsi gani utaweza kufanya configurations na kuweza attach backdoor zako zitumie static ip addresses

REQUIREMENTS
--> Windows pc
---> linux based operating system (natumia linux kde 2019.2)
---->Angalau uwe na knowledge ya kuzima hata pc kwa beginer wa windows pc
---> linux user unatakiwa kuelewa some basic command ambazo tutazifanya wote

lets dig in..................................

so kwanza kabisa lazima ujue port ambzo pc yako hazitumiiki na program yyte
kwa windows unaweza check kwa kuandika netstat -an italist port zote ambazo pc yako hutumia na chini kabisa utaona port ambazo ni un used .


Kwa linux utatumia ps aux | grep B]


ukitaka ku kill process just use kill eg kill 2890

sasa mfano umeweka port na ukaona kitu kama hapa chini kwnye pic ujue basi , port hio inatumiwa nawwe tu hakuna mtumiaji au service inayotumia hio port kwa mda huo


1. web developers

kama wewe ni web developer na umetengeneza website yako kwenye localhost na unatakiwa uiweke kwa mda hewan ili wezako au unataka kufanya advertise, kumuonjesha na kumuonesha mtu kazi yake ili uweze fanya naye kazi ....basi tunawza


(a) using sssh servers ( serveo,localhost.run ,ssh reachme)

(b) using punch (holes of devil)

using SSH SERVERS (linux users)

hatua ya kwanza ni kusend files zako za web yako kwenye directory ya apache server /var/ww/html


baada ya hapo washa apache server ....service apache2 start


sasa Kuazia hapo ukichukua IP yako ambayo utaipata ukipiga ifconfig kwenye terminal yako ..ukiweka kwenye browser utaona data zako au web yako ambayo ipo kwnye directory ya apache server

View attachment 1208781
sasa hiii iko kwenye local area network means mtu wa mbeya au wapi hawez kuona web yako au files zako zilizopo kwnye apache server yakoo , kwasbabu port haiko forwarded na sina uwezo wa kununua au kupata pesa ya kununua router na WAN switch zitakazoniwezesha kuforward port na kutumia static IP


BUT WE CAN FORWAD IT pamoja hatuna router !!! 😀


kwakuwa apache server yetu ina run kwenye port 80

good... sasa fungua terminal kisha weka hiii command ssh -R 80:localhost:80 serveo.net

View attachment 1208788


utapewa hio link sasa chukua hio link wape unaotaaka kuwapa .... na soon wakifungua wataona web yako na kama inavyokuwa kwenye hosting web servers ...so utaona kitu kama hiki hapa chini

View attachment 1208789

sasa nadhani unaona tumepewa link yenye https na ssl lakn inadomain name ambayo haifanani na web yetu...sasa kama ukitaka kuweka domain yako wewe utatumia this command

ssh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net na itakuwa kama hapa chini

View attachment 1208793

now we have our own domain name. Awesome


problem or disdvantage of this

ssh ni free open service ambayo iko limited , mfano tumefungua hio tunnel kwenye port 80 na ssh server over internet, sasa ikifika mda fulani connection inakuwa terminated na web yako itakuwa down...


sasa how to fix it???!!!

sasa kufix tutaenda patch it na looped function ssh , kwa sababu ssh ni single not looped kwamba ikiwa outdated inashindwa kujiupdate automatically na kuwafanya watu wako waendeleee kuchek web yako... sasa tuna patch na looped function ssh inaitwa autossh


install by this command apt-get install autossh
Baada ya kuinstall replace command za hapo juu instead ya ssh weka autossh

mfano autossh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net

View attachment 1208795


na ukiangalia hapo connection imekuwa clossed ila ikaji update automatically bila ya kumchomoa user anayeview online .


MWISHO- hiii ni lifetime na ukitaka static ip address una ping serveo.net kwenye terminal yako utapata ip au unampa mtu tu ile link yenye domain yako sikuingine haina haja ya kumtumia link unafungua ssh na same damain kisha yeye anatumia link ileile kuchek ur web


KWA KUTUMIA LOCALHOST.RUN

ni SAME kama hapo juuu ila hiiii inamabadiliko utawasha service unayotaka mfano me nawasha apache server kisha type hii kwenye terminal yako ssh -R 80:localhost:80 ssh.loaclhost.run

View attachment 1208796

KWA KUTUMIA PUNCH (powerful method) >>>>>>windows + linux users

PUNCH
ni moja ya software ambayo ni nzuri na itakuwezesha kuhost your local apache kwenda kwenye Wan connection... na me include punch kwa sababu i hate ngrok kwasabbu

1. iko weak , anytime connection inakuwa closed by remote server
2. haisuport double tunnel kwa free accounts
3. ni poor SSL certificate

I T A E N D E L E A K W A U P A N D E W A H A C K I N G ==================Uongozi wa jamiii forum mmeupdate system alafu mmeweka upuuuuziiiii tu bora hata ile ile ya zaman ...mtu una uzi mrefu then system inayumbaa .
Mkuu naona wupo vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nataka kuuliza,hvi ukikutana na hacker aliyebobea anaweza ku hack servers za Necta na kuweza ku edit secondary school certificate yako bila national board ya exam kujuwa? Na kama atafanikiwa mwanafunzi anaweza kutumia hicho cheti ku apply chuo chochote kinachohitaji cheti cha form four. Nauliza just for education purpose. Maana sijawahi kuona uzi wowote unaozungumzia jambo hili wakati hii ni forum kubwa sana.
hey guys .....wazima

Thefreedom hapa

naomba leo nimalizie kujibu ombi ambalo walionirequest niwasaidie kuweka uzi wenye full info kuhusu kufanya port forwading bila router na jinsi ya ku access localhost over internet with static ip address lifetime, basi nami nimeamua kufanya hivyo na hii ndo full article + my techniques ambazo nilikuwa natumia kipindi sina router

FAIDA ZA STATIC IP KWA HACKERS NA PENTERSTER YOYOTE
Itakuwezesha wewe hacker ku maintain access (persistence) kwenye system yoyote ambayo uliweza kuhack na ku patch backdoor yako . Hii ina maana utaweza kupata connection back na active mda wowte utakaopenda wewe

PIA

Haibadiliki ukilinganisha na dynamic ip ambazo huwa zinabadilika kila mda victim aki restart au akiwasha pc au system yyte so kama umetumia rats, backdoor, hiii ni advantage kwako.

HIVO basi leo nitaonesha ni jinsi gani utaweza fanya .

note
Mimi siko vizuri sana kwenye kupiga mdomo so kikubwa take my knowledge + points then utafute cha kuzungumza, ili next time ukija funza au kufanya presentation zako uarrange point za msingi za kuzungumza.

so uzi wangu umegawanyika na ku base na groups mbili web developers na watu wanaofanya hacking na cybersecurity.

1. web developers >>>leo utajua jinsi ya kutoa web yako from localhost na kuiweka kwenye WAN yani wide area network kwa mda unaotaka kabla ujapelekwa kwenye hosting za kulipia.

2. hackers na cybersecurity experts >> leo utajua jinsi gani utaweza kufanya configurations na kuweza attach backdoor zako zitumie static ip addresses

REQUIREMENTS
--> Windows pc
---> linux based operating system (natumia linux kde 2019.2)
---->Angalau uwe na knowledge ya kuzima hata pc kwa beginer wa windows pc
---> linux user unatakiwa kuelewa some basic command ambazo tutazifanya wote

lets dig in..................................

so kwanza kabisa lazima ujue port ambzo pc yako hazitumiiki na program yyte
kwa windows unaweza check kwa kuandika netstat -an italist port zote ambazo pc yako hutumia na chini kabisa utaona port ambazo ni un used .


Kwa linux utatumia ps aux | grep B]


ukitaka ku kill process just use kill eg kill 2890

sasa mfano umeweka port na ukaona kitu kama hapa chini kwnye pic ujue basi , port hio inatumiwa nawwe tu hakuna mtumiaji au service inayotumia hio port kwa mda huo


1. web developers

kama wewe ni web developer na umetengeneza website yako kwenye localhost na unatakiwa uiweke kwa mda hewan ili wezako au unataka kufanya advertise, kumuonjesha na kumuonesha mtu kazi yake ili uweze fanya naye kazi ....basi tunawza


(a) using sssh servers ( serveo,localhost.run ,ssh reachme)

(b) using punch (holes of devil)

using SSH SERVERS (linux users)

hatua ya kwanza ni kusend files zako za web yako kwenye directory ya apache server /var/ww/html


baada ya hapo washa apache server ....service apache2 start


sasa Kuazia hapo ukichukua IP yako ambayo utaipata ukipiga ifconfig kwenye terminal yako ..ukiweka kwenye browser utaona data zako au web yako ambayo ipo kwnye directory ya apache server

View attachment 1208781
sasa hiii iko kwenye local area network means mtu wa mbeya au wapi hawez kuona web yako au files zako zilizopo kwnye apache server yakoo , kwasbabu port haiko forwarded na sina uwezo wa kununua au kupata pesa ya kununua router na WAN switch zitakazoniwezesha kuforward port na kutumia static IP


BUT WE CAN FORWAD IT pamoja hatuna router !!! 😀


kwakuwa apache server yetu ina run kwenye port 80

good... sasa fungua terminal kisha weka hiii command ssh -R 80:localhost:80 serveo.net

View attachment 1208788


utapewa hio link sasa chukua hio link wape unaotaaka kuwapa .... na soon wakifungua wataona web yako na kama inavyokuwa kwenye hosting web servers ...so utaona kitu kama hiki hapa chini

View attachment 1208789

sasa nadhani unaona tumepewa link yenye https na ssl lakn inadomain name ambayo haifanani na web yetu...sasa kama ukitaka kuweka domain yako wewe utatumia this command

ssh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net na itakuwa kama hapa chini

View attachment 1208793

now we have our own domain name. Awesome


problem or disdvantage of this

ssh ni free open service ambayo iko limited , mfano tumefungua hio tunnel kwenye port 80 na ssh server over internet, sasa ikifika mda fulani connection inakuwa terminated na web yako itakuwa down...


sasa how to fix it???!!!

sasa kufix tutaenda patch it na looped function ssh , kwa sababu ssh ni single not looped kwamba ikiwa outdated inashindwa kujiupdate automatically na kuwafanya watu wako waendeleee kuchek web yako... sasa tuna patch na looped function ssh inaitwa autossh


install by this command apt-get install autossh
Baada ya kuinstall replace command za hapo juu instead ya ssh weka autossh

mfano autossh -R thefreedom:80:localhost:80 serveo.net

View attachment 1208795


na ukiangalia hapo connection imekuwa clossed ila ikaji update automatically bila ya kumchomoa user anayeview online .


MWISHO- hiii ni lifetime na ukitaka static ip address una ping serveo.net kwenye terminal yako utapata ip au unampa mtu tu ile link yenye domain yako sikuingine haina haja ya kumtumia link unafungua ssh na same damain kisha yeye anatumia link ileile kuchek ur web


KWA KUTUMIA LOCALHOST.RUN

ni SAME kama hapo juuu ila hiiii inamabadiliko utawasha service unayotaka mfano me nawasha apache server kisha type hii kwenye terminal yako ssh -R 80:localhost:80 ssh.loaclhost.run

View attachment 1208796

KWA KUTUMIA PUNCH (powerful method) >>>>>>windows + linux users

PUNCH
ni moja ya software ambayo ni nzuri na itakuwezesha kuhost your local apache kwenda kwenye Wan connection... na me include punch kwa sababu i hate ngrok kwasabbu

1. iko weak , anytime connection inakuwa closed by remote server
2. haisuport double tunnel kwa free accounts
3. ni poor SSL certificate

I T A E N D E L E A K W A U P A N D E W A H A C K I N G ==================Uongozi wa jamiii forum mmeupdate system alafu mmeweka upuuuuziiiii tu bora hata ile ile ya zaman ...mtu una uzi mrefu then system inayumbaa .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujaona basi mzeee....sio lazima uone

Na ukisema access from firewall tyr umeleta issue za traffic na hio kuwa accessible ndiyo maana ya port forwarding

Hacking ujaona ndo maana imeandikwa I T A E N D E L E A

KUWA mpole nikimaliza upande wa hacking ndo uje kuuuliza vzr
Kwema mkuu? Nimeleta ka changamoto kidogo kweny comment, tafadhali tunaweza kasaidiana kwa uelewa kidogo kama hautojari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom