Thefreedom
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 319
- 313
- Thread starter
- #21
Ni jukwaaa kubwa ila sidhani kama utakutana na hio kitu kwasabb
1. Ni illegal
2. This shit ni public
Na kingineee ..ni kwamba inawezekana na utatumia chet ila jua tu ipo siku utashikwa tu.
So akili ni kichwan mwako utumie chet fake na usote nacho chuo miaka 3 na uingie kazin baada ya hio miaka 3 na ushikweee nacho kazi
Uanze tena A
So nikupoteza mda ...njia sahihi kaza msuli soma
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ni illegal
2. This shit ni public
Na kingineee ..ni kwamba inawezekana na utatumia chet ila jua tu ipo siku utashikwa tu.
So akili ni kichwan mwako utumie chet fake na usote nacho chuo miaka 3 na uingie kazin baada ya hio miaka 3 na ushikweee nacho kazi
Uanze tena A
So nikupoteza mda ...njia sahihi kaza msuli soma
Ila nataka kuuliza,hvi ukikutana na hacker aliyebobea anaweza ku hack servers za Necta na kuweza ku edit secondary school certificate yako bila national board ya exam kujuwa? Na kama atafanikiwa mwanafunzi anaweza kutumia hicho cheti ku apply chuo chochote kinachohitaji cheti cha form four. Nauliza just for education purpose. Maana sijawahi kuona uzi wowote unaozungumzia jambo hili wakati hii ni forum kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app