Habari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
Habari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
Hacking ni kama safari ni passion kama ilivyo programming. Mtu anajifunza na ianchukua muda na experience na muda kujifunza vitu vingi na mifumo inavyofanya kazi. Mtu atakupa basics hata huko shuleni lakini 90% ni mtu mwenyewe kusoma na kujaribu.
Hacking ni kama safari ni passion kama ilivyo programming. Mtu anajifunza na ianchukua muda na experience na muda kujifunza vitu vingi na mifumo inavyofanya kazi. Mtu atakupa basics hata huko shuleni lakini 90% ni mtu mwenyewe kusoma na kujaribu.
Habari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
Habari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.