Na ili uwe mpinzani wa kweli ni lazima ushabikie CHADEMA, ujue matusi, kebehi, kejeli na kufoka dhidi ya watawala.Tanzania ili uwe mpinzani Wa kweli ni lazima upendwe na Watawala.
Teh teh teh ndio walivyokariri hao mkuuNa ili uwe mpinzani wa kweli ni lazima ushabikie CHADEMA, ujue matusi, kebehi, kejeli na kufoka dhidi ya watawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ili uwe mpinzani Wa kweli ni lazima upendwe na Watawala.
Usomi ni nini? Kwa nini ccm isiongozwe na Maprofesa waliopo huko?hawa jamaa ukimtukana rais wewe kamanda,,
Ukimsifia ni msaliti
Tatizo la kuongozwa na kilaza m,kiti wao angekuwa msomi hawa nao wangebadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za chembe unanikumbusha zama za NCCR ya akina marando bana.Huyu jamaa ni msomi wa chuo kipi bongo
huwezi jua
Kwan nani amemchukua???Muacheni Zitto Kabwe ...zipo namna nyingi za kulitumikia taifa ...
Mku umerudi chamani sio .Wenzako wemeshaukwaa uongozi na ww jisogezesogeze unaweza na ww ukaukwaa kwani bado teuzi zinaendeleaView attachment 548428 Aidha Bwana Mchange amewataka Chadema wamuache Umbea kwa kumshambulia Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kwa vile mpinzani wa kweli siyo lasima awe ni yule anashabikia CHADEMA
Msomi wapi, alifukuzwa mwaka wa pili pale UDOM akasusa shule.Huyu jamaa ni msomi wa chuo kipi bongo
huwezi jua
Labda aliamini Zitto atambembelezahuyu jamaa si alisema ameshaachana na siasa anajikita zaid kweny biashara yake ya maua kulikoni??
Form six failures huyoHuyu jamaa ni msomi wa chuo kipi bongo
huwezi jua
Kilaza ni yule anaejiita Dr,lkn kiuhalisia haendani na level hiyo kama alivyosema Prof, Shivji ni vipi wenye vyeti halisi lkn hawana elimu halisihawa jamaa ukimtukana rais wewe kamanda,,
Ukimsifia ni msaliti
Tatizo la kuongozwa na kilaza m,kiti wao angekuwa msomi hawa nao wangebadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
How about the people who have genuine certificate but their education is fake.Kilaza ni yule anaejiita Dr,lkn kiuhalisia haendani na level hiyo kama alivyosema Prof, Shivji ni vipi wenye vyeti halisi lkn hawana elimu halisi
Halafu ukienda selo wanakutelekeza.hawa jamaa ukimtukana rais wewe kamanda,...