Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #101
Utatumiaje Dawa za aina mbili kwa wakati mmoja?Dawa za kizungu na dawa za mitishamba?Kuacha kutumia dawa kutumia ndio tatizo linalowatia hofu sijui .
Utatumiaje Dawa za aina mbili kwa wakati mmoja?Dawa za kizungu na dawa za mitishamba?Kuacha kutumia dawa kutumia ndio tatizo linalowatia hofu sijui .
kama ninadanganya niache kama nilivyo watakuja kunitafuta wenye hayo maradhi ili niweze kuwatibia wapate kuponaMzizi mkavu uctudanganye bhana maana kuna watu wanacd4 zao zipo juu na hawatumii dawa sasa utamtjb vp maana zinarixhisha
Aje huku kufuata nini?
Nitapotea kivipi Mkuu?Tiba hio ipo, ya Ukimwi, kama hamuamini kaeni kimya wazungu waendelee kupiga faida huku mkifa kama siafu
Akijitangaza, hata 1 round hachukui, tiba zipo ni kuzingatia masharti tuu tena rahisi, mzizimkuu kamwe usijitangaze utapotea
Huu ugonjwa wa watu mkuu, ukipata tiba watakula wapi,Nitapotea kivipi Mkuu?
Mimi nina watibu na watu kupona hakuan shida wache wale wanaokula mimi ninawatibu wagonjwa na kupona.Huu ugonjwa wa watu mkuu, ukipata tiba watakula wapi,
Sio kuzijaribu ninawatibia wagonjwa wangu na wanaponaumeshazijaribu?
hahaha mkuu tupe na address ya ofcSio kuzijaribu ninawatibia wagonjwa wangu na wanapona
Ukiwa na Shida yoyote ilehahaha mkuu tupe na address ya ofc
Huyu ni tapeli wa kimataifa mwogopeni huyu mwizi jamani anaibia watu balaaUkiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Umejuaje kama anaambukiza wengine?Hii naweza kuamini najua mtu mwenye ukimwi aliyekuwa mahututi kitandani ambaye leo hii anatembea na ameanza kuambukiza wengine...alitumia habalsoda tu kwenye vyakula vyake na alikataa kbs kutumia daw nyingine na hapo ndo na mimi nilijua hii dawa ya habalsoda....huu uzi naupa marks 92+