Habbat Sauda: Tiba mbadala ya V.V.U

Habbat Sauda: Tiba mbadala ya V.V.U

Tumia dawa hii kwa vidonda vya tumbo, Utachanganya matone kumi ya mafuta ya Habbat-Sawdaa, katika kikombe cha Asali na kijiko kimoja cha maganda ya komamanga yaliyokaushwa na kusagwa. Utakula kila siku kabla ya kula chakula; baadae Utakunywa glasi ya Maziwa yasiyotiwa chochote
Aisee,kama ni HIV si bora ARV maana kila siku kwa life yote au unamaana gani ya hiyo kila siku without a limit.Pia vip kwa side effect,kwa tatizo la kisukari unatumia the same way atakavyotumia mtu wa HIV,Ulcers,Moyo n.k?
 
Aisee,kama ni HIV si bora ARV maana kila siku kwa life yote au unamaana gani ya hiyo kila siku without a limit.Pia vip kwa side effect,kwa tatizo la kisukari unatumia the same way atakavyotumia mtu wa HIV,Ulcers,Moyo n.k?
Ndio Dawa yangu inatibu Maradhi yote unaweza kutumia kwa muda wa mwezi mmoja kisha uende kupima. Kwa Mtu Mwenye Ugonjwa wa kisukari

unatumia dawa peke yake pasipo na Asali unaitwanga kuwa unga au unaweza kuisaga kwa kutumia blenda kisha ukawa unapika Uji wa mtama au uji wa uwele au uji wowowte

ule ukatia ndani ua uji kijiko kimoja kikubwa ukawa uankunywa kutwa mara 3 asubuhi kabla ya kula chakula kisha unakaa kwa muda wa saa 1 bila ya kula chakula na baada ya

saa 1 kupita waweza kula chakula na wakati wa mchana unafanya hivyo kama ulivyo fanya wakati wa asubuhi.Na Wakati wa usiku unarudia tena kamm ulivyo fanya wakati wa mchana kwa muda wa mwezi kisha nenda kapime sukari yako utakuta umepona.


Au Tumia hivi kwa Ugonjwa wa Kisukari


(Ki) Sukari (Diabetes)

Utachukua unga wa Habbat-Sawdaa kiasi cha kikombe kimoja, ManeMane (Myrrh) iliosagwa kiasi cha kijiko kikubwa, Habba-rrashad nusu kikombe, komamanga iliosagwa kiasi cha kikombe kimoja, Mzizi wa kabichi

uliosagwa baada ya kukaushwa kiasi cha kikombe kimoja na kijiko kidogo cha mvuje. Vyote hivyo

Utavichanganya na Utakula kabla ya kula chakula kiasi cha kijiko kimoja, atakula na maziwa lala ili iwe rahisi kumeza. Tumia kwa muda wa siku 7 au siku 14 au siku 21 asubuhi na jioni kula.

attachment.php

ManeMane (Myrrh)
 

Attachments

  • myrrh-gum-1.jpg
    myrrh-gum-1.jpg
    51.9 KB · Views: 1,787
Mimi nilishatumia kwenye matatizo ya gesi tumboni na tatizo likaisha ni dawa nzuri sana na gharama yake ndogo.
 
mie sijaelewa kama najichanganya au hizi habat sawda no mbegu za ufuta au maana sijaielewa picha na sizijui mama yangu anasmbuliwa na sukari
Mbegu za ufuta na mbegu za Habbat Sawda ni vitu 2 Tofauti kabisa. Habbat Sawda ni lugha ya Kirabu kwa lugha ya kiswahili ni mbegu nyeusi za vitunguu Maji.Angalia Picha Ufuta upo Mweupe na Habbat Sawda upo Mweuesi usijichanganye kabisa.

Dawa ya Ugonjwa wa (Ki) Sukari (Diabetes)Utachukua unga wa Habbat-Sawdaa kiasi cha kikombe kimoja, manemane (myrrh) iliosagwa kiasi cha kijiko kikubwa, habbarrashad nusu kikombe, komamanga iliosagwa kiasi cha kikombe kimoja, mzizi wa kabichi uliosagwa baada ya kukaushwa kiasi cha kikombe kimoja na kijiko kidogo cha mvuje. Vyote hivyo atavichanganya na atakula kabla ya kula chakula kiasi cha kijiko kimoja, atakula na maziwa lala ili iwe rahisi kumeza.

attachment.php
 

Attachments

  • black-white-sesame-seeds-small-bowl-isolated-overhead-view-36400200.jpg
    black-white-sesame-seeds-small-bowl-isolated-overhead-view-36400200.jpg
    146.6 KB · Views: 981
The Remedy for Everything But Death

This humble but immensely powerful seed kills MRSA, heals the chemical weapon poisoned body, stimulates regeneration of the dying beta cells within the diabetic’s pancreas, and yet too few even know it exists.
The seeds of the annual flowering plant, Nigella Sativa, have been prized for their healing properties since time immemorial. While frequently referred to among English-speaking cultures as Roman coriander, black sesame, black cumin, black caraway and onion seed, it is known today primarily as black seed, which is at the very least an accurate description of its physical appearance.
The earliest record of its cultivation and use come from ancient Egypt. Black seed oil, in fact, was found in Egyptian pharoah Tutankhamun’s tomb, dating back to approximately 3,300 years ago. In Arabic cultures, black cumin is so known as Habbatul barakah, meaning the “seed of blessing.” It is also believed that the Islamic prophet Mohammed said of it that it is “a remedy for all diseases except death.”

Many of black cumin’s traditionally ascribed health benefits have been thoroughly confirmed in the biomedical literature. In fact, since 1964, there have been 458 published, peer-reviewed studies referencing it.

We have indexed salient research, available to view on GreenMedInfo.com on our Black Seed(Nigella Sativa) page, on well over 40 health conditions that may be benefited from the use of the herb, including over 20 distinct pharmacological actions it expresses, such as:



    • Analgesic (Pain-Killing)
    • Anti-Bacterial
    • Anti-Inflammatory
    • Anti-Ulcer
    • Anti-Cholinergic
    • Anti-Fungal
    • Ant-Hypertensive
    • Antioxidant
    • Antispasmodic
    • Antiviral
    • Bronchodilator
    • Gluconeogenesis Inhibitor (Anti-Diabetic)
    • Hepatoprotective (Liver Protecting)
    • Hypotensive
    • Insulin Sensitizing
    • Interferon Inducer
    • Leukotriene Antagonist
    • Renoprotective (Kidney Protecting)
    • Tumor Necrosis Factor Alpha Inhibitor
These 22 pharmacological actions are only a subset of a far wider number of beneficial properties intrinsic to the black seed. While it is remarkable that this seed has the ability to positively modulate so many different biological pathways, this is actually a rather common occurrence among traditional plant medicines.
Our project has identified over 1600 natural compounds with a wide range of health benefits, and we are only in our first 5 years of casual indexing. There are tens of thousands of other substances that have already been researched, with hundreds of thousands of studies supporting their medicinal value (MEDLINE, whence our study abstracts come, has over 600,000 studies classified as related to Complementary and Alternative Medicine).
Take turmeric, for example. We have identified research indicating its value in over 600 health conditions, while also expressing over 160 different potentially beneficial pharmacological actions. You can view the quick summary of over 1500 studies we have summarized on our Turmeric Research page, which includes an explorative video on turmeric. Professional database members are further empowered to manipulate the results according to their search criteria, i.e. pull up and print to PDF the 61 studies on turmeric and breast cancer. This, of course, should help folks realize how voluminous the supportive literature indicating the medicinal value of natural substances, such as turmeric and black seed, really is.
Black seed has been researched for very specific health conditions. Some of the most compelling applications include:




    • Type 2 Diabetes: Two grams of black seed a day resulted in reduced fasting glucose, decreased insulin resistance, increased beta-cell function, and reduced glycosylated hemoglobin (HbA1c) in human subjects.[ii]
    • Helicobacter Pylori Infection: Black seeds possess clinically useful anti-H. pylori activity, comparable to triple eradication therapy.[iii]
    • Epilepsy: Black seeds were traditionally known to have anticonvulsive properties. A 2007 study with epileptic children, whose condition was refractory to conventional drug treatment, found that a water extract significantly reduced seizure activity.[iv]
    • High Blood pressure: The daily use of 100 and 200 mg of black seed extract, twice daily, for 2 months, was found to have a blood pressure-lowering effect in patients with mild hypertension.[v]
    • Asthma: Thymoquinone, one of the main active constituents within Nigella sativa (black cumin), is superior to the drug fluticasone in an animal model of asthma.[vi] Another study, this time in human subjects, found that boiled water extracts of black seed have relatively potent antiasthmatic effect on asthmatic airways.[vii]
    • Acute tonsillopharyngitis: characterized by tonsil or pharyngeal inflammation (i.e. sore throat), mostly viral in origin, black seed capsules (in combination with Phyllanthus niruri) have been found to significantly alleviate throat pain, and reduce the need for pain-killers, in human subjects.[viii]
    • Chemical Weapons Injury: A randomized, placebo-controlled human study of chemical weapons injured patients found that boiled water extracts of black seed reduced respiratory symptoms, chest wheezing, and pulmonary function test values, as well as reduced the need for drug treatment.[ix]
    • Colon Cancer: Cell studies have found that black seed extract compares favorably to the chemoagent 5-fluoruracil in the suppression of colon cancer growth, but with a far higher safety profile.[x] Animal research has found that black seed oil has significant inhibitory effects against colon cancer in rats, without observable side effects.[xi]
    • MRSA: Black seed has anti-bacterial activity against clinical isolates of methicillin resistant Staphylococcus aureus.[xii]
    • Opiate Addiction/Withdrawal: A study on 35 opiate addicts found black seed as an effective therapy in long-term treatment of opioid dependence.[xiii]
Sometimes the biblical reference to ‘faith the size of a mustard seed moving mountains’ comes to mind in connection with natural substances like black seeds. After all, do seeds not contain within them the very hope for continuance of the entire species that bore it? This super-saturated state of the seed, where life condenses itself down into an intensely miniaturized holographic fragment of itself, promising the formation of future worlds within itself, is the very emblem of life’s immense and immortal power.
If we understand the true nature of the seed, how much life (past, present and future) is contained within it, it will not seem so far-fetched that it is capable of conquering antibiotic resistant bacteria, healing the body from chemical weapons poisoning, or stimulate the regeneration of dying insulin-producing beta cells in the diabetic, to name but only a fraction of black seed’s experimentally-confirmed powers.
Moving the mountain of inertia and falsity associated with the conventional concept of disease, is a task well-suited for seeds and not chemicals. The greatest difference, of course, between a seed and a patented synthetic chemical (i.e. pharmaceutical drug), is that Nature (God) made the former, and men with profit-motives and a deranged understanding of the nature of the body made the latter.
The time, no doubt, has come for food, seeds, herbs, plants, sunlight, air, clean water, and yes, love, to assume once again their central place in medicine, which is to say, the art and science of facilitating self-healing within the human body. Failing this, the conventional medical system will crumble under the growing weight of its own corruption, ineptitude, and iatrogenic suffering (and subsequent financial liability) it causes. To the degree that it reforms itself, utilizing non-patented and non-patentable natural compounds with actual healing properties, a brighter future awaits on the horizon. To the degree that it fails, folks will learn to take back control over their health themselves, which is why black seed, and other food-medicines, hold the key to self-empowerment.

References:
Domestication of plants in the Old World (3 ed.). Oxford University Press. 2000. p. 206. ISBN 0-19-850356-3.

REVEALED: The Remedy for Everything But Death

 
Mzizi mkavu mwanangu anasumbuliwa na tumbo toka mdogo wakati wa mawingu ana umri WA miaka tisa.watu wananiambia ngilj nitumie dawa gani?
 
Natumia products za black seed ni nzur na zimensaidia kwakwel, nilikuwa na shida ya kuumwa tumbo la hedhi, kipanda uso, Vichomi, kukosa Choo lakn toka nianze kutumia blackseed oil najiona tofauti na mwanzo,.... Ni dawa nzur Sana, kwa wale wakristo mbegu zinatambulika kama 'mbegu za haradan'..... Natumia mafuta yake, steaming, rub black seed for massage ni nzur Sana..... Kama unapata wasiwas Google ujionee ushuhuda wa black seed na madoctor mbalmbal walofanya research juu ya mmea huo
 
Kweli watanzania tunaumwa, congratulation mzizimkavu
Just imagine viwers more 1,000 !!!!!!!!!!!!!!!
Eee Mungu muumba wa Mbingu na Dunia tuepushie mbali janga hili
Mkuu mzima wa Leo mgonjwa wa kesho, huumwi wewe ataumwa ndugu yako au mtu wako wa karibu. Hivyo sio vibaya kujua tiba mbalimbali za maradhi yanayotusumbua binaadamu, Na hii sio Watanzania Tu hata nje mfano Loliondo hata mataifa ya nje walihudhuria pale. Mimi Nyumbani kwangu huwa Ni kibox cha Dawa nimekiweka ukutani sehemu Mtoto Mdogo hawezi fikia, naweka akiba ya Dawa ya maradhi ya Kama kuhara, malaria, kidonda kukohoa na za kupunguza maumivu. Views isikutishe mada nyingi huwa Na views wengi kuliko wachangiaji.
 
Mzizi mkavu mwanangu anasumbuliwa na tumbo toka mdogo wakati wa mawingu ana umri WA miaka tisa.watu wananiambia ngilj nitumie dawa gani?
chukuwa Mizizi 5 ya Mtulatula mchemshie umpe anywe kikombe 1 asubuhi na kikombe 1 jioni tumia hiyo dawa kwa siku 5 au siku 7atapona.
 
Back
Top Bottom