Benfamous
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 484
- 375
- Thread starter
- #21
Sijui aiseeeh wewe kama unataka utavipata vyote kwenye hayo maduka wanakuwa navyo.
Habati soda ipo ya chenga na ya unga. Inapatikana maduka ya wahindi mitaa ya kisutuNatafuta hii habati soda msaada anaejua niende wapi ili niipate hii habati soda
Miski ya chupa inapatikana pia katika maduka ya dawa asili si ndio mkuu?Mkuu kwa huku nlipo robo kilo ni 10,000.
Miski pia kuna ya mafuta na ya unga kichupa ni 3000. ya unga unapimiwa kijiko kile kidogo 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu p1Sijui aiseeeh wewe kama unataka utavipata vyote kwenye hayo maduka wanakuwa navyo.
ndio mkuuMiski ya chupa inapatikana pia katika maduka ya dawa asili si ndio mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kama unamuunganishia dili.yap na ndo muhusika na ndo uwa anazunguka misikiti mikubwa anauza hata iyo moshi unayo ambiwa ni uyo uyo ndo muuzaji
Matumizi ni mengi sana.Matumizi yake ni nini?




Kuna shida kwani nikimpa mtu dili?Labda kama unamuunganishia dili.
Lakini habbat sawda haijawahi kuwa adimu kiasi cha kuwa inapatikana kwa mchuuzi mmoja tu maarufu.
inapatikana karibu katika kila duka la dawa za asili.
Na karibu kila msikiti unaoswaliwa sala ya ijumaa hiyo kitu unaweza kupata.
Na sababu ya kupatikana sana karibu na misikitini ni kwavile huo 'mmea' umetajwa katika mafundisho ya mtume Muhammad (SAW) kuwa ni tiba ya magonjwa karibu yote.
wazungu wanaita blackseed mkuumkuu hiyo ni soda mpya nini???
Asante mkuu kwa majibu mazuriMatumizi ni mengi sana.
Kwa mfano ikichanganywa na maziwa ya vuguvugu na asali; ni dawa bora kabisa ya kutafutia watoto!![]()
tembelea Misikiti mikubwa hasa inayoswaliwa ijumaa kama alivisema mdau huko juu ikishindikana kana kabisa wasiliana nami nikufanyie uungwana
tembelea Misikiti mikubwa hasa inayoswaliwa ijumaa kama alivisema mdau huko juu ikishindikana kana kabisa wasiliana nami nikufanyie uungwana