Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba Zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana CCM nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame CHADEMA agawe chama. Sidhani kama Zitto anampita Dr Slaa hata kumkaribia
Hili gazeti la wana CCM nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame CHADEMA agawe chama. Sidhani kama Zitto anampita Dr Slaa hata kumkaribia