habari

Mama wa kambo amchoma mtoto wa mumewe kwa kutumia mwiko, na mateso makali kumpa, ikiwa ni pamoja na kumg'ata meno, kumfinya mwili mzima, hatimaye mama huyo atupwa lumande.

Ujumbe wazazi tuwe na huruma hata kama mtoto si wa kumzaa wewe, je angekuwa mwanao anafanyiwa hivyo wewe ungefurahia hayo.
tuache roho mbaya. watoto ni taifa la kesho
 
Mama wa kambo amchoma mtoto wa mumewe kwa kutumia mwiko, na mateso makali kumpa, ikiwa ni pamoja na kumg'ata meno, kumfinya mwili mzima, hatimaye mama huyo atupwa lumande.

Ujumbe wazazi tuwe na huruma hata kama mtoto si wa kumzaa wewe, je angekuwa mwanao anafanyiwa hivyo wewe ungefurahia hayo.
tuache roho mbaya. watoto ni taifa la kesho
NI POST YAKO YA PILI!
ina akili kwakweli
ila inaonekana hujajua namna ya kurusha thread!haina mbaya UTAZOEA TU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom