karibu!mbona mwoga sana?wadau, mimi ni mgeni ni matumaini yangu mko na moyo mkunjufu kunikaribisha.
NI POST YAKO YA PILI!Mama wa kambo amchoma mtoto wa mumewe kwa kutumia mwiko, na mateso makali kumpa, ikiwa ni pamoja na kumg'ata meno, kumfinya mwili mzima, hatimaye mama huyo atupwa lumande.
Ujumbe wazazi tuwe na huruma hata kama mtoto si wa kumzaa wewe, je angekuwa mwanao anafanyiwa hivyo wewe ungefurahia hayo.
tuache roho mbaya. watoto ni taifa la kesho