Kuna ukweli kuwa pesa mpya ya BOT imeibiwa Airport je kuna mwenye ukweli huu??
Namaanisha pesa mpya ambayo imetengenezwa juzi au ujui kama tz tuna new currency??
Voice of reason ni kwamba wakati wanaziimport hizo pesa mpya kuna bunch moja ambayo ni ya 10Billion iliibiwa pale Airport sasa nadhani ndicho kaka kiiza anachotaka kuwa na hakika ila ni kweli zimeibiwa pale airport na hakuna maelezo na wanataka iishie hewani hewani tu..Add some meat kwenye hii habari... Unamaanisha nini by pesa mpya imeibiwa.... Kwani ipo moja?? please elaborate:A S-confused1:
habari ndio hiyo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,weweeeeeeeeee wera wera haijawahi kutokea wizi wa bilon kumi hahahaha kahawa.comVoice of reason ni kwamba wakati wanaziimport hizo pesa mpya kuna bunch moja ambayo ni ya 10Billion iliibiwa pale Airport sasa nadhani ndicho kaka kiiza anachotaka kuwa na hakika ila ni kweli zimeibiwa pale airport na hakuna maelezo na wanataka iishie hewani hewani tu..
....inasikitisha sana,
Hivi kwanini BOT Haitakikuweka wazi swala la wizi pale AIRPORT??Wakati habari zinazidi kuzagaamtaani?kwanini wasiwaondolee wasiwasi wananchi??hii imekaaje wakuu??