hahahahahaha anawafundisha wachina kutengeneza vi2 fake!kwani huyu nae katoka wapi? ndio kwanza post ya kwanza na anamfundisha babake jinsi ya kutengeneza watoto! M zima kweli huyu?
Umepotea chumba, hiki ni chumba cha masikhara.
Kasome kwanza tuisheni ya Kiswahili na Kiingereza!Napenda kuwapongeza wasomi na wachania mada mbalimbali, nalotaka kuasa we must write topics which will make people to think which should not be bios and too logical,i have been reading some articles which actually we need to be carefully.
Mkuu umeingia choo cha kike., rudi nyuma then kata kushoto, mlango wa pili kusini :msela:
Napenda kuwapongeza wasomi na wachania mada mbalimbali, nalotaka kuasa we must write topics which will make people to think which should not be bios and too logical,i have been reading some articles which actually we need to be carefully.