selewatatu
Member
- Oct 30, 2018
- 34
- 13
naomba msaada kwa mwenye uzoefu na chuo cha IFM,
nimeajiririwa lakini nataka kujiendeleza kielimu katika chuo kikuu cha IFM katika fani ya procurement and supply management......
swali je IFM wanaprogram ya open university yaan niwe nasoma online then chuoni niende siku ya mitihani?
nimeajiririwa lakini nataka kujiendeleza kielimu katika chuo kikuu cha IFM katika fani ya procurement and supply management......
swali je IFM wanaprogram ya open university yaan niwe nasoma online then chuoni niende siku ya mitihani?