Mkuu upo!?
I use to read and like ur articles, ghafla ukatoweka, thanx u'r back.
Yaa hatutakiwi kukata tamaa, na ikibidi kukata tamaa basi tuhakikishe pasi na shaka kinachofata haraka sana baada ya kukata tamaa ni kifo, vinginevyo tutajutia maamuz ya kukata tamaa. Na habar nzuri Mungu uwa anamipango ya kuwaweka hai kwa muda mrefu sana wote waliokata tamaa mapema ili wajutie maamuz yao.