Habari za miaka Wajasirimali?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,942
Reaction score
9,464
Natumaini Wajasirimali mnaendelea vyema humu ndani, ni long time sana, na naamini mwaka mpya huu Wajasirimali mmejipanga kupiga hatua kadhaa mbele katika kutimiza ndoto au plan.Mimi nipo bado napambana na sijakata tamaa na hatutakiwi kukata tamaa kamwe
 

Mkuu upo!?
I use to read and like ur articles, ghafla ukatoweka, thanx u'r back.
Yaa hatutakiwi kukata tamaa, na ikibidi kukata tamaa basi tuhakikishe pasi na shaka kinachofata haraka sana baada ya kukata tamaa ni kifo, vinginevyo tutajutia maamuz ya kukata tamaa. Na habar nzuri Mungu uwa anamipango ya kuwaweka hai kwa muda mrefu sana wote waliokata tamaa mapema ili wajutie maamuz yao.
 
Nintamani biashara ya ufugaji samaki kambare naomba msaada nina eneo robo heka lindi vijijini
 

Hahaaa ni kweli mkuu unatakiwa kukata tamaa siku unakufa, yaani siku pumzi imekata ndo inakuwa mwisho ila ukiwa na pumzi na nguvu ni kupambana
 
Wajasiliamali weñgi wanakimbilia kwenye magroup ya wassap
 
Karibu... Wengine ndio twataka tuianze..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…