Habari ya mjini

Hata jijini dar wapo kibao tena wengine ni maarufu
 
Wasukuma njooni mtuhabarishe.
Wanaongoza kwa kudondosha mkono sweta ni wilaya ya tunduru/songea kule unaweza fika na dem hadi kitandani ila akishagundua umevaa sweta unanyanyanywa tonge mdomoni bila kuamini
 
Hivi kwa nini tunamfundisha Mungu kazi? Yeye katupatia mikono ya sweta, sisi tunaitoa...
 
Hivi kwa nini tunamfundisha Mungu kazi? Yeye katupatia mikono ya sweta, sisi tunaitoa...
Mkuu bila shaka utakuwa ni msukuma hii mikono ya sweta kwa wayao ni sawa na unga kwa serikali ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…