Mzee wa watu alijitoa kubuni nembo ya serikali ambayo ni utambulisho wetu leo hii anaishi kwenye banda la kuku akizongwa ma nzi.. Siriaz something has to be done.. Chanzo. ITV
By then mambo hayakuwa digital. record zilikuwa zinahifadhiwa kwenye mafaili.
Hata hivyo serikali imemsahau kabisa huyu mzee... mtu aliyelitumikia taifa leo anaishi hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.