Habari ya kifo

Habari ya kifo

mlokole

Member
Joined
Dec 8, 2006
Posts
14
Reaction score
3
Tunasikitika kuwatangazia kuondokewa na mzazi wetu mpendwa Bwana Omar Hassan Suleiman Huko Zanzibar usiku wa jana Jumanne na kizikwa hii leo Kiembe Samaki Zanzibar saa saba mchana. Mwenyezi mungu ampe malazi mema ya milele na ustahamilivu kwa sisi wafiwa katika kipindi hichi kigumu cha msiba wa mzee wetu, amin.
 
Poleni sana wafiwa. Mungu awape subra ktk kipindi hiki kigumu. Na in sha allah ampe safari ya kheri mzee wetu. Inna lillah wainna ilayh rajiuun
 
Poleni sana,,,,,,,,marehemu alazwe pema peponi.
 
Poleni sana na Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
Tunasikitika kuwatangazia kuondokewa na mzazi wetu mpendwa Bwana Omar Hassan Suleiman Huko Zanzibar usiku wa jana Jumanne na kizikwa hii leo Kiembe Samaki Zanzibar saa saba mchana. Mwenyezi mungu ampe malazi mema ya milele na ustahamilivu kwa sisi wafiwa katika kipindi hichi kigumu cha msiba wa mzee wetu, amin.
 
kazi yake mola haina makosa,sisi sote ni wasafiri hapa duniani.
 
Back
Top Bottom