wadau mh rais wakati anazindua matokeo ya sensa alisema kuna ajira zaidi ya 400 kwa ajiri ya kufanya tathimini ya sensa,hivyo nawasilisha kwenu wadau mwenye updates kuhusu tathmini hiyo itafanyika lini atupe taarifa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.