Mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendeyo haraka, maaarufu kama mwendokasi awamu ya pili kutoka Gerezani hadi Mbagala kuu jijini Dar es salaam unatarajiwa kuanza wakati
wowote kuanzia sasa.
Mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendeyo haraka, maaarufu kama mwendokasi awamu ya pili kutoka Gerezani hadi Mbagala kuu jijini Dar es salaam unatarajiwa kuanza wakati
wowote kuanzia sasa.
Hiyo ni habari mbaya sana watu wa Mbagala msikubali. Waulizeni wenzenu wa Kimara. Saa 12 alfajiri mpaka saa 2 asubuhi yanakuja mabasi 2 moja ferry moja kariakoo. Bora muendelee na ma eicher yenu.
Mtaniambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.