Habari njema kwa CHAPUTA

Habari njema kwa CHAPUTA

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,776
Taasisi moja ya utafiti huko ughaibuni imegundua kuwa mwanaume anayejichua ananafasi kubwa ya kumzalisha mwanamke ukilinganisha na asiye jichua.
Kwamujibu wa Dk Mike mtu anayejichua mwili wake hujenga tabia za kuzalisha mbegu nyingi kwakuwa matumizi ni makubwa hivyo asipojichua kwa siku 3 mfululizo kabla ya kukutana na mwanadada aliye ktk siku za hatari atamwachia mwachia mbegu nyingi sana (mara 2.3 ya asiye jichua) maana mwili utakuwa umezalisha na hazijatumika kwa siku 3 na zitakuwa na pressure kubwa hivyo kufikia yai kirahisi.
Alipo ulizwa endapo anashauri vijana wengi kujiunga chaputa au la Dr Mike alicheka na kusema yeye ni mtafiti na si mshauri.
My take: Mambo ya kutafiti sikuhizi sijui yameisha!
 
Taasisi moja ya utafiti huko ughaibuni imegundua kuwa mwanaume anayejichua ananafasi kubwa ya kumzalisha mwanamke ukilinganisha na asiye jichua.
Kwamujibu wa Dk Mike mtu anayejichua mwili wake hujenga tabia za kuzalisha mbegu nyingi kwakuwa matumizi ni makubwa hivyo asipojichua kwa siku 3 akikutana na mwanadada aliye ktk siku za hatari atamwachia mwachia mbegu nyingi sana maana mwili utakuwa umezalisha na hazijatumika kwa siku kadhaa....
Alipo ulizwa endapo anashauri vijana wengi kujiunga chaputa au la Dr Mike alicheka na kusema yeye ni mtafiti na si mshauri.
My take: Mambo ya kutafiti sikuhizi sijui yameisha!
[emoji3] "mtafiti si mshauri" amejibu vizuri sana msomi mwenzangu huyo
 
Taasisi moja ya utafiti huko ughaibuni imegundua kuwa mwanaume anayejichua ananafasi kubwa ya kumzalisha mwanamke ukilinganisha na asiye jichua.
Kwamujibu wa Dk Mike mtu anayejichua mwili wake hujenga tabia za kuzalisha mbegu nyingi kwakuwa matumizi ni makubwa hivyo asipojichua kwa siku 3 mfululizo kabla ya kukutana na mwanadada aliye ktk siku za hatari atamwachia mwachia mbegu nyingi sana (mara 2.3 ya asiye jichua) maana mwili utakuwa umezalisha na hazijatumika kwa siku 3 na zitakuwa na pressure kubwa hivyo kufikia yai kirahisi.
Alipo ulizwa endapo anashauri vijana wengi kujiunga chaputa au la Dr Mike alicheka na kusema yeye ni mtafiti na si mshauri.
My take: Mambo ya kutafiti sikuhizi sijui yameisha!
Mkuu...Kwenye Research....Utafiti huwa mwishoni kuna recommendation za huyo mtafiti...yaani Mtazamo au maoni yake kulingana na alichotafiti na taarifa alizonazo.
 
Ama kwa hakika ni habari njema kwa wanachama wa CHAPUTA serikali iwawekee kodi tu ili mambo yawe mubashara sio kila siku wanajificha mabafuni.
 
kwa mlo wa kawaida inachukua karibia siku 60 mpaka 70 kwa mwanaume kutengeneza hizo mbegu...hizo siku tatu mhmh kweli tafiti zingine pasua..ungesema inasaidia kuodoa mbegu mzee ambazo hushidwa kuogelea kwenye papuchi ili kutunga mimba ingekua sawa au hata zilizoumia...mbegu za wananume zipo soo fragile
 
Taasisi moja ya utafiti huko ughaibuni imegundua kuwa mwanaume anayejichua ananafasi kubwa ya kumzalisha mwanamke ukilinganisha na asiye jichua.
Kwamujibu wa Dk Mike mtu anayejichua mwili wake hujenga tabia za kuzalisha mbegu nyingi kwakuwa matumizi ni makubwa hivyo asipojichua kwa siku 3 mfululizo kabla ya kukutana na mwanadada aliye ktk siku za hatari atamwachia mwachia mbegu nyingi sana (mara 2.3 ya asiye jichua) maana mwili utakuwa umezalisha na hazijatumika kwa siku 3 na zitakuwa na pressure kubwa hivyo kufikia yai kirahisi.
Alipo ulizwa endapo anashauri vijana wengi kujiunga chaputa au la Dr Mike alicheka na kusema yeye ni mtafiti na si mshauri.
My take: Mambo ya kutafiti sikuhizi sijui yameisha!
puli ni kama bangi kwangu sidhanikama ntaacha
 
Wacha niendelee kujichua ili cku demu akijipendekezaa atoke na pacha
 
Back
Top Bottom