Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,103
- 128,722
Wanabodi,
Jana tulishitushwa na habari ya kufilisika kwa kampuni ya Sahara Media Group, ambayo kampuni wamiliki ni wa kituo cha T cha Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, hivyo na mimi japo sio mfanyakazi wa AMG, lakini kujikuta nimeathirika kwasababu kampuni yangu ya PPR ni mdau mkubwa wa Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM kwa kuwatengenezea contents ambazo ndio survival ya PPR.
Jana kuliibuka taarifa hizi
Kwa sasa mzazi SMG amezeeka, hawezi tena kufanya chochote, ikiwemo kufanya biashara katika mazingira ya kisasa ya kidigiti, na huyo ndiye aliye filisika!, lakini watoto ni wakubwa wanajitegemea na wamesimama.
Kwa wanaojua the corporate world, kampuni is an entity, ikiwa a LTD, kampuni mama inaweza kufilisika, kufa au kufungwa kwa kufungiwa au kusitisha shughuli zake kwa hiari yake au kwa lazima
1. A voluntary wind off
2. Kwa kufilisika
3. Kwa kufilisiwa.
Na zile kampuni Tanzu, zinaweza kukua na kuwa haziitegemei tena kampuni mama, hivyo hizo kampuni tanzu, zinajitegemea, zinajiondoa kwenye utegemezi wa baba na mama na kujitegemea zenyewe kwa kujisajili as separate entities, zinazojiendesha zenyewe bila kumtegemea baba.
Hivyo kampuni mama SMG inaweza kufilisika na kufilisiwa bila kuzigusa hizi kampuni tanzu kwasababu nazo ni limited!, zinajitegemea na zimesimama zenyewe bila kumtegemea Baba yao SMG!
Hivyo kilichotokea ni SMG yenyewe kutangaza kufilisika huku watoto tayari ni wakubwa wanajitegea, tena hapo unaweza kukuta huyo baba SMG, ameisha wagawia watoto chao, hivyo hapo alipo hata asset yoyote ya maana zaidi ya madeni!, kwa vile it's a limited liability company, baada ya kuwa liquidated kinachopatikana ndio kinalipa madeni, kikiisha bila kumaliza madeni, then madeni yaliyobakia, inakuwa imekula kwao!.
Madeni mengine yote ya kampuni yanaweza kusameheka ila kama kuna madeni ya mishahara ya wafanyakazi, na madeni ya michango kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, madeni haya hayafi kwa kufilisika kwa kampuni!.
Waliokuwa wafanyakazi wa SMG wanapaswa kuwasilisha madai yao kwa wakili mfilisi, the liquidator, Wakili Alex Mgongolwa, ili assets za SMG, zisipotosha kukidhi madai yao, then Mahakama inatoa amri ya unveiling the corporate veil ya wamiliki wa SMG, kisheria hii inaitwa piercing the corporate veil, kwa kuzifanyia attachment ya their personal assets, ambapo ndio sasa hizi kampuni za watoto wa SMG, zitafikiwa, na kupitia digital footprints, kila senti ya iliyokuwa SMG, inakuwa traced na kama ilitumika to aquire any asset, hiyo asset acquired asset inakuwa captured and attached, kama ni nyumba, mashamba, magari hadi samani za nyumbani zitapigwa mnada kulipa madeni ya wafanyakazi!.
Hivyo tulizeni pressure, Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, zinaendelea kupiga kazi kama kawa.
Paskali
Rejea za mtoa mada kuhusu Star TV
Jana tulishitushwa na habari ya kufilisika kwa kampuni ya Sahara Media Group, ambayo kampuni wamiliki ni wa kituo cha T cha Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, hivyo na mimi japo sio mfanyakazi wa AMG, lakini kujikuta nimeathirika kwasababu kampuni yangu ya PPR ni mdau mkubwa wa Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM kwa kuwatengenezea contents ambazo ndio survival ya PPR.
Jana kuliibuka taarifa hizi
- Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?
- Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?
- Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?
Kwa sasa mzazi SMG amezeeka, hawezi tena kufanya chochote, ikiwemo kufanya biashara katika mazingira ya kisasa ya kidigiti, na huyo ndiye aliye filisika!, lakini watoto ni wakubwa wanajitegemea na wamesimama.
Kwa wanaojua the corporate world, kampuni is an entity, ikiwa a LTD, kampuni mama inaweza kufilisika, kufa au kufungwa kwa kufungiwa au kusitisha shughuli zake kwa hiari yake au kwa lazima
1. A voluntary wind off
2. Kwa kufilisika
3. Kwa kufilisiwa.
Na zile kampuni Tanzu, zinaweza kukua na kuwa haziitegemei tena kampuni mama, hivyo hizo kampuni tanzu, zinajitegemea, zinajiondoa kwenye utegemezi wa baba na mama na kujitegemea zenyewe kwa kujisajili as separate entities, zinazojiendesha zenyewe bila kumtegemea baba.
Hivyo kampuni mama SMG inaweza kufilisika na kufilisiwa bila kuzigusa hizi kampuni tanzu kwasababu nazo ni limited!, zinajitegemea na zimesimama zenyewe bila kumtegemea Baba yao SMG!
Hivyo kilichotokea ni SMG yenyewe kutangaza kufilisika huku watoto tayari ni wakubwa wanajitegea, tena hapo unaweza kukuta huyo baba SMG, ameisha wagawia watoto chao, hivyo hapo alipo hata asset yoyote ya maana zaidi ya madeni!, kwa vile it's a limited liability company, baada ya kuwa liquidated kinachopatikana ndio kinalipa madeni, kikiisha bila kumaliza madeni, then madeni yaliyobakia, inakuwa imekula kwao!.
Madeni mengine yote ya kampuni yanaweza kusameheka ila kama kuna madeni ya mishahara ya wafanyakazi, na madeni ya michango kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, madeni haya hayafi kwa kufilisika kwa kampuni!.
Waliokuwa wafanyakazi wa SMG wanapaswa kuwasilisha madai yao kwa wakili mfilisi, the liquidator, Wakili Alex Mgongolwa, ili assets za SMG, zisipotosha kukidhi madai yao, then Mahakama inatoa amri ya unveiling the corporate veil ya wamiliki wa SMG, kisheria hii inaitwa piercing the corporate veil, kwa kuzifanyia attachment ya their personal assets, ambapo ndio sasa hizi kampuni za watoto wa SMG, zitafikiwa, na kupitia digital footprints, kila senti ya iliyokuwa SMG, inakuwa traced na kama ilitumika to aquire any asset, hiyo asset acquired asset inakuwa captured and attached, kama ni nyumba, mashamba, magari hadi samani za nyumbani zitapigwa mnada kulipa madeni ya wafanyakazi!.
Hivyo tulizeni pressure, Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, zinaendelea kupiga kazi kama kawa.
Paskali
Rejea za mtoa mada kuhusu Star TV
- Paschal Mayalla: Matangazo ya kumnadi Magufuli Star TV yamelipiwa kiasi gani na CCM?
- M/Kiti wa TEF, Deodatus Balile, M/Kiti wa MPC, Edwin Soko, Moses Mathew wa TBC na Manguli, Chini ya Dotto Bulendu na Pasco Mayalla Live on Star TV.
- Live on Star TV: Mkuu Maxence Melo wa JF, yuko live ndani ya Jicho Letu Ndani ya Habari, JF ikiwa ndie mtoaji mkuu wa habari Tanzania