R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
uzi mreeeeeeeefu picha za kudiarudia tu, pamoja na kutumia mabasi mengi kusomba watu toka vijijini lakini bado watu wamekuwa wachache.
kamanda mawazo na babu mmewatupa pekeyao bila helikopter
uzi mreeeeeeeefu picha za kudiarudia tu, pamoja na kutumia mabasi mengi kusomba watu toka vijijini lakini bado watu wamekuwa wachache.
Mkuu kwa mara ya kwanza nampongeza Mwingereza kwa kusomba watu kwa mabasi, japokuwa watu ni wachache magari ni mengi...
Cdm vurugu mwanzo mwisho hili li-saccos linahangaika sana na tatizo la chadema ni kumiliki wapumbavu wengi kuliko werevu.siasa ni ngumu na haitakiwi kufanywa na wapumbavu kama cdm.viva ccm vivaaaaaaaaaaa
kamanda mawazo na babu mmewatupa pekeyao bila helikopter
hujitambui mbulura wewe!!! ccm ilishakufa siku nyingi!
Basi ulifanyika Kibororoni pale Moshi umefurahi? Swali lingine?mtoa mada pamoja na kuambatanisha picha
hebu tuambie huu uzinduzi ulifanyika wapi hasa? mwanzo umeandika ulifanyika "viwanja vya chuo ifunda"
mwisho umeandika "viwanja vya stand"
au baada ya kuona tutahoji kuhusu hayo mabus yaliyo jaa hapo kuliko idadi ya watu?
hujielewi gamba wewe!!! mafuso yamepigwa stop mnaaibika sasa!!!!!
Ccm ndipo mwisho kwa kumtuma chizi Mwigulu
unatumia sehemu gani ya mwili kufukiri?Basi ulifanyika Kibororoni pale Moshi umefurahi? Swali lingine?
Namsifu mpiga picha
Si nimekujibu kibororoni sasa unataka jibu gani? Basi viwanja vya unga limited! Umefurahi mkuuunatumia sehemu gani ya mwili kufukiri?
ulicho kijibu na ulicho ulizwa havina uhusiano,nimeuliza then unaanza kutoka povu
Hivi huyu dogo anajua kweli hata kujieleza?ccm bana