Asili100
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 240
- 181
Good morning ladies and gentle men wa hapa jamii forums.... napenda kuleta shukrani zangu za dhati na naona hii ni nafasi ya pekee kua member wa huu mtandao mkubwa wa jamii... kilichonleta hapa leo hii ni appreciation za wadau kuleta habari na matukio yanayotokea muda huo huo ambao huwez pata kwenye vyombo vyetu vya habari kwa uharaka huo. nitatoa mfano na kilichonifanya niandike hili jambo; juzi jumatano nilisoma habari ya mama mmoja huko Arusha kupigwa risasi ya mkononi kutokana na ubishi wake katika parking, basi hiyo habari nimeskia ikiripotiwa leo ijumaa (two days afta me kuisoma hapa JF) kwenye magazeti ya mjini hapa kitu ambacho kimenifanya nijivunie sana umemba wangu humu ndani na kutokujutia kupoteza muda wangu humu ndani.... NAWASILISHA