Habari katika picha: Nape Nnauye katika maandalizi ya sherehe za kuzaliwa CCM, Mbeya

Wamechanganyikiwa hata wakaona wafanye leo, huku wakiwashunikiza watumishi kuhudhuria. Utakuta mabasi yamekodiwa, kama ilivyo sera yao, kuwaleta watu kwenye mikutano yao.
Lazima wachanganyikiwe kwa kuwa CHADEMA wanafanya harakati siku za kazi, na raia wanahudhuria.

mkuu wewe unakunywa gongo ile ya mzee slaa au ile ambayo lema anatengeneza kwake.
 
Musisahau kubeba watu na fuso, Igawilo, iwalanje, mpoloto, ndaga, isyonje, number 1, na kama munaweza fikeni had kiwila.

mkuu mbona tukuyu hakuna watu wehu kama wewe uko tukuyu ya moshi nini.
 
Nani kama ccm????????????????? Chama wa watu, chama cha wanyonge, chama cha maskini, chama cha watz
 
Kuna tetesi kwamba Nape ndiye atakayepitisha kugombea uraisi kupitia ccm. Je, kuna ukweli katika hili? Kama ndivyo basi ccm imeamua kuchezea watanzania
 
wametutesa leo hawa ------- kwa usafiri wamekodisha basi zote za abiria afu zinapeperusha bendela zao hawana watu
 
Leo mzee slaa hatalala akiwaza mafanikio ya wenzake wakati yeye chama chake anakiua kwa kubagua watu wenye upeo mkubwa.
 
Huyu ndo chiz chiiiiiiiiiz kabisa. Hiv wewe akili yako iko sawaswa kweli? Kumbe kucheza draft ndo maendeleo? Ngoja nikachore langu na mm
 
Back
Top Bottom