Marek18
Member
- Apr 26, 2020
- 20
- 17
bangi inapokutana na pombe kwenye mkutano wa hadhara...
Jamaa alikua ana date na demu wa kisabato na mambo yalikua hivi.
Jmaa:baby unampenda msanii gani wa kike!?
Demu: me hata siwajui kabsa
Jamaa:mmmh...kwa mfano akina nani hao ambao hata huwajui!??
Demu: kuna kina zuchu,nandy,na anjella
Jmaa: kwani hao ni waimba kwaya wa kanisa lenu!!!?
Jamaa alikua ana date na demu wa kisabato na mambo yalikua hivi.
Jmaa:baby unampenda msanii gani wa kike!?
Demu: me hata siwajui kabsa
Jamaa:mmmh...kwa mfano akina nani hao ambao hata huwajui!??
Demu: kuna kina zuchu,nandy,na anjella
Jmaa: kwani hao ni waimba kwaya wa kanisa lenu!!!?