Haahahaahha!!!

Marek18

Member
Apr 26, 2020
20
17
bangi inapokutana na pombe kwenye mkutano wa hadhara...

Jamaa alikua ana date na demu wa kisabato na mambo yalikua hivi.


Jmaa:baby unampenda msanii gani wa kike!?


Demu: me hata siwajui kabsa

Jamaa:mmmh...kwa mfano akina nani hao ambao hata huwajui!??

Demu: kuna kina zuchu,nandy,na anjella

Jmaa: kwani hao ni waimba kwaya wa kanisa lenu!!!?
 
IMG-20210803-WA0004.jpg
IMG-20210731-WA0014.jpg
IMG-20210803-WA0007.jpg
IMG-20210801-WA0022.jpg
IMG-20210803-WA0006.jpg


Screenshot_20210801-004341.png


Screenshot_20210801-004143.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom