Ha!ha!ha! mzee nomaaa

Ha!ha!ha! mzee nomaaa

sebastian longfellow

Senior Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
173
Reaction score
117
Demu mkariiii alikaa na mzee kwenye daladala siti ya nyuma,mzee kavaa viatu vinatema kishenzi demu kashindwa kuvumilia na kurupoka"we mzee ni viatu vyako vinanuka au?mzee akamjibu kwa upole"hapana mjukuu wangu ebu angalia chup yako iko upande mjukuu wangu"
demu kimyaa
 
daah! katisha mdingi.watu si walizimia kwa kicheko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom