Ha ha ha haaaa

Ha ha ha haaaa

PNC

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
8,105
Reaction score
14,356
PESA IBILISI EBU SOMA HII KWANZA

MZARAMO V/S MCHAGA

Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100,000/= na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako na kukuongeza laki nyingine.

MCHAGA akaona hii fursa ya kujipatia hela haiwezi mpita akaenda kutibiwa.

MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.." Mchaga akatoa.

MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."

Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena, hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu, nasahau sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'

MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'

MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
 
hahahhahahahabbabahhahahhahahahhahahahah.....umenichekesha jamann hahahaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom