PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
PESA IBILISI EBU SOMA HII KWANZA
MZARAMO V/S MCHAGA
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100,000/= na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako na kukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa ya kujipatia hela haiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.." Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena, hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu, nasahau sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
MZARAMO V/S MCHAGA
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100,000/= na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako na kukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa ya kujipatia hela haiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.." Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena, hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu, nasahau sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.