Habari za muda huu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza,kwa wale wazoefu wa jiji ningependa kuuliza ni gym gani ambayo ni nzuri with affordable price kwa maeneo ya kariakoo,upanga,msasani na masaki.Bei isiwe zaidi ya 50000 kwa mwezi au ikienda sana 60000.
Nawasilisha
Kwanini Gym, wakati unaweza kujifua mwenyewe, Ukiamka pasha misuli moto- push ups 50-100, sit-ups 50, ruka kamba, kichura, nk nk. Kama mtu ulipitia jeshini, basi Gym watakusikia tu.
Pigia matizi home au kwenye kiwanja cha mpira,
squat,pushups,situps,skiping rope n.k
then hiyo 50 kila mwezi unaanza kukusanya vifaa vya matizi mdogo mdogo mpaka na ww utamiliki vifaa vyako,
Pigia matizi home au kwenye kiwanja cha mpira,
squat,pushups,situps,skiping rope n.k
then hiyo 50 kila mwezi unaanza kukusanya vifaa vya matizi mdogo mdogo mpaka na ww utamiliki vifaa vyako,
Tabata kituo mangumi kuna kibao cheupe kimeandikwa jina la hiyo Gym.
Gym safii alafu bei chee kwa siku 1500 iko full hii unaweza lipa kwa wiki, siku au hata mwezi
Habari za muda huu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza,kwa wale wazoefu wa jiji ningependa kuuliza ni gym gani ambayo ni nzuri with affordable price kwa maeneo ya kariakoo,upanga,msasani na masaki.Bei isiwe zaidi ya 50000 kwa mwezi au ikienda sana 60000.
NawasilishaView attachment 1144885
Tabata kituo mangumi kuna kibao cheupe kimeandikwa jina la hiyo Gym.
Gym safii alafu bei chee kwa siku 1500 iko full hii unaweza lipa kwa wiki, siku au hata mwezi