Gym-oilcom sayansi

Gym-oilcom sayansi

Chuck's

Member
Joined
Oct 10, 2013
Posts
13
Reaction score
2
Habari, nani anajua bei ya gym pale sheli ya oilcom sayansi, na wanakubali kulipia wiki mbili?
 
kama una gari kua makini jamaa angu ashasafishwa kila kitu kuanzia power window, laptop, redio, door rubber nk baada ya kuvunja kioo kidogo pale nje kuna mlinzi kwenye atm baada ya kuulizwa akadai yeye halindi magari analinda ATM..... nadhan mwenye gym aimarishe ulinzi kwa wateja wake!!
 
Trainer wao kimeo kweli...yan mtu anafika gym day one unamweka kwa machine 30 min?then after that anakupeleka nyingine 30 min,beginner???kesho trust me hawez rud,hamu yote ya zoez imemuisha!by the way bei ni buku kumi per day na laki na ishirini per month!
 
Kuna ka gym fulani kapo mitaa ya mapambano nyuma ya shule kapo poa sana japo ni kadogo bei buku 3 kwa siku kwa mwezi elfu 40
 
Mie nafanyiaga hapo oil com sayansi Mara moja moja...ila naambiwa azura pale jkt mlalakuwa wako vzr nenda kajaribu pia
 
mhh....mm wa HOME GYM huniambii kitu...
na book langu kwa siku au buku 20 kwa mwezi sina habari..!saa nyingine gym ni ww mwenyewe na utumiaji wa vifaa vilivyopo...mawazo yangu.
 
mhh....mm wa HOME GYM huniambii kitu...
na book langu kwa siku au buku 20 kwa mwezi sina habari..!saa nyingine gym ni ww mwenyewe na utumiaji wa vifaa vilivyopo...mawazo yangu.

Kwa mfano sisi Makenika. Kazi zetu gym tosha... Au ndg zangu makuli.. Mweh.. Gym anasa.

Hiyo buku 10 bora nipige msosi wa maana tu.
 
Gym ya kichovu kabisa hiyo. Been there and their customer service was god-awful.

kuna watu wanapasifia.....au inategemea ulivyowakuta...mi nakaa kijitonyama, ndo mana nkaona itakuwa karibu pale
 
Back
Top Bottom