Black Legend
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 208
- 361
Mwenye Gx 110 atupie picha hapa tuoneshe mdau anahitaji, budget haizidi 5ml
Unakutana na wadau kama 10, wanataka posho hapo ndio balaa linaanziaTatizo chain, Gx 110 za kumwaga.
Nishakuja, niambie bwana GlennNgalikihinja njoo huku
Pasuwa kichwa tu.Extrovert lete Gx110, pesa inaelea mfuko wa shati
Aseme hela bei gani kwanza sio tusumbuane tuPasuwa kichwa tu.