Gwaride la kimya kimya

Gwaride la kimya kimya

NTEGEYE Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
322
Reaction score
286
Leo katika maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, nimefurahishwa na Kiongozi wa Kikosi cha gwaride la Kimya kimya.

Lakini zaidi sana nimefurahishwa na ushiriki wa Afande Balotel maarufu kama KIWI hasa akiwa anakata Kona na wakati wa kunyoosha mistari.

Anafanya yote kwa umahiri na uimara kama anacheza ngoma vile.
 
mimi nimefurahi yule kiongozi mwanamke hivi kaolewa kweli?
 
Walikuwa vizuri sana.....nimependa.
 
Kubana matumizi ni Kinda upuuzi

Last year ilifutwa this year imefanyika.. Na vyote vimeonekana sawa tu. Ndio tujielewe kuwa ni wapumbavu sisi watanzania mkapa alikuwa yupo right...
 
Kubana matumizi ni Kinda upuuzi

Last year ilifutwa this year imefanyika.. Na vyote vimeonekana sawa tu. Ndio tujielewe kuwa ni wapumbavu sisi watanzania mkapa alikuwa yupo right...
Kunywa kiroba na aspirin 3
 
Kubana matumizi ni Kinda upuuzi

Last year ilifutwa this year imefanyika.. Na vyote vimeonekana sawa tu. Ndio tujielewe kuwa ni wapumbavu sisi watanzania mkapa alikuwa yupo right...
Kunywa kiroba na aspirin 3 utapunguza maumivu
 
Leo katika maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, nimefurahishwa na Kiongozi wa Kikosi cha gwaride la Kimya kimya.

Lakini zaidi sana nimefurahishwa na ushiriki wa Afande Balotel maarufu kama KIWI hasa akiwa anakata Kona na wakati wa kunyoosha mistari.

Anafanya yote kwa umahiri na uimara kama anacheza ngoma vile.
Nadhani kuna haja ya watu kueleweshwa tofauti kati ya kikundi cha gwaride(Guard) na kikosi.

Kikosi kwa lugha rahisi ni kituo kamili cha kijeshi mfano labda 502 KJ, hiyo KJ ni kifupisho cha neno "kikosi cha jeshi"
Kikosi cha jeshi ni kituo kamili chenye uongozi wake na mkuu wake ndo Commandant(Commanding Officer) wengi hufupisha kwa kuita CO, then ana wasaidizi wake na askari wengine kibao.

Jumla ya vikosi katika katika kanda (mikoa kadhaa) tunaita brigedi mfano brigedi ya kusini, hapa mkuu wa brigedi ndo kiongozi mkuu.

Otherwise niseme nami kile kikundi cha gwaride la kimyakimya(silent guard) kimefanya vizuri sanaaa
Hongera zao
 
Hata umri wao sio mkubwa hawafikia miaka 30. Kwa hivyo hata Yule Dada Kamanda wao pengine hajaolewa japo inaweza kuwa chakula ya wakubwa
 
Nadhani kuna haja ya watu kueleweshwa tofauti kati ya kikundi cha gwaride(Guard) na kikosi.

Kikosi kwa lugha rahisi ni kituo kamili cha kijeshi mfano labda 502 KJ, hiyo KJ ni kifupisho cha neno "kikosi cha jeshi"
Kikosi cha jeshi ni kituo kamili chenye uongozi wake na mkuu wake ndo Commandant(Commanding Officer) wengi hufupisha kwa kuita CO, then ana wasaidizi wake na askari wengine kibao.

Jumla ya vikosi katika katika kanda (mikoa kadhaa) tunaita brigedi mfano brigedi ya kusini, hapa mkuu wa brigedi ndo kiongozi mkuu.

Otherwise niseme nami kile kikundi cha gwaride la kimyakimya(silent guard) kimefanya vizuri sanaaa
Hongera zao
Umenipanua Ubongo. Asante mkuu
 
Kubana matumizi ni Kinda upuuzi

Last year ilifutwa this year imefanyika.. Na vyote vimeonekana sawa tu. Ndio tujielewe kuwa ni wapumbavu sisi watanzania mkapa alikuwa yupo right...
Mkuu alisema mwaka Jana sherehe ingefanyika ingegharimu Bil. 4 lakini mwaka huu imefanyika kwakuwa gharama zake ni ndogo (angesema ngapi tungethaminisha kuwa ndogo au kubwa)

Lakini alioongezea kuwa hata chakula hawatakula, sasa sijui chakula ndio kulikuwa kinaongeza gharama hadi kufika Bil.4...???
 
Back
Top Bottom