BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
pendeza thanaaa 2
hivi je kwa watoto chini ya miaka 18 kuwashirikisha kwenye maswala ya chama siyo kinyume na haki za watoto? nauliza hivyo mnake hata ccm wanawatoto wao sijui kwa nini wanapenda kuwatumia kwanguu mimi imekaa kama vile kuwafundisha ubaguzi tena ule wa uchochezi.
kamuulize nape kule njombe kwa nini alivalisha watoto wa chekechea nguo za magamba na kuwapeleka kwenye mkutano
Cheaper by dozen
Uwizi mtupuUnajua bei ya kushonewa gwanda? Ni twice of that ya suti ya kichina!
Ze Gwanda Famile hiyo!! nimeshashona yangu