Gwanda za chadema

Gwanda za chadema

Sijaelewa uhusiano wa swali lako na hayo maeneo.
Angalia usifanye kama yule jamaa anayechukua sare na bendera za chama halafu anapeleka kwenye mikutano na kuvalisha wanyama. Nunua gwanda kwa lengo la kulivaa si vinginevya...
na hautakuja kuelewa kamwe
 
Gwanda limekuwa bidhaa adimu sana maana linasakwa na Watanzania wake kwa waume ndani na nje ya nchi. Subiri labda wanaofahamu linapatikana wapi wanaweza kukusaidia.
BAK naimani wewe pia unalo gwanda lol.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Analivaa akitaka kuonuyesha ushujaa kwa mke wake! Hawezi kulivaa mbele ya Nape maana watoto hawatapishana njia ya msalani.
 
@Sweetlady...Ni lazima tuweze kujitofautisha na magamba popote pale tulipo tena tukitembea vifua mbele.


Safiiiiiiiiiiiiiiiii !......yaani ungesema huna ningekununia sasa hivi lol!
 
Wasiliana na PakaJimmy, na Mwita Maranya, pomoja na Molemo, lakini bei zao tofauti tofauti.
Mkuu siku mbili hizi umekua cool sana aisee.
1) Umechukia matrilioni ya nje
2) Umesapoti waislam kukacha sensa
3) Umesaidia upatikanaji wa Gwanda za CDM
4) ......

Yangu macho!!!
 
Last edited by a moderator:
Analivaa akitaka kuonuyesha ushujaa kwa mke wake! Hawezi kulivaa mbele ya Nape maana watoto hawatapishana njia ya msalani.

Nasikia na wewe unataka kugombea uongozi Bavicha...jina linakuangusha jaribu uone kama ukupata kura 1 ya kwako tu chezea Chadema wewe.
 
dah nikiona gwanda na ile scarf nakuwa crazy mnoo! Peoples power!
 
Siamini kama mkuu umeweza kuongea kwa upole namna hii, kweli ramadhani imekuacha vizuri!!!!

Hujamjua Ritz mkuu, ana akili sana ila wakati flani huwa anaamua kujiondoa ufahamu makusudi, tena akikutana na zomba,majebere,makupa,rejao na MAMA POROJO ndo shida tupu, !! fuatilia posts zake utamgundua
 
Back
Top Bottom